Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Unatupiga Kamba tu, wasinufaike Watoto wa kuwazaa mwenyewe ndio anufaishe ndugu za mama yako?

Hukuwahi kumjuwa Nyerere, kwake hakukuwa na deal la kupiga naye wala kutowa upendeleo maalum never.
Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Wakoloni walituletea maendeleo sema tu wivu na tamaa ya wapigania UHURU ndio waliwadanganya waafrika kwamba watawaletea maendeleo baada ya UHURU wakajiletea maendeleo yao na ya familia zao ndio zinazolamba asali.
Walikuja kubadilika baadaye sio wale walioudai Uhuru !!
 
Waliondoka baada ya uhuru
Na wakaahidiwa watakaribishwa tena waione Tanganyika baada ya miaka kumi jinsi itakavyokua ili walinganishe na walivyokuwepo wao kama wakoloni watawala ! Na Alitimiza hiyo ahadi !
 
Nyerere ana mapungufu ila atleast alivyoona ameshindwa alisema jqmani ngoja nipumzike. Akapumzika akatuachia nchi yetu tuamue wenyewe.
 
Tatizo ni watu na sio katiba. Hii hii iliyopo huwa haifuatwi kikamilifu na hakuna chochote kinatokea, Sasa hapo unamlaumu vipi Nyerere?
 
Kusini na Pwani ni masikini kwa sababu ya laana ya matambiko. Ukijua chimbuko la uchawi wa Mwenge utaelewa kwann kusini ni masikini.
Pamoja na hayo ila kuna changamoto kwenye utamaduni wao. Something more than uchawi na matambiko. They need to liberalize themselves first.
 
Nyerere hawezi kukwepa lawama. Maana alijua kabisa hii ni mbovu na haifai. Ila aliacha tu iendelee kutumika wakati alikuwa na uwezo wa kushawishi ibadilishwe. Chanzo cha shida zetu ni ccm. Wao ccm wanazidumisha na kuziendeleza
Hii hii mbovu inafuatwa kikamilifu?
 
Sera zake zilikuwa nzuri sema utekelezaji, hapakuwa na wasomi wa kutosha na waliokuwepo waligeuka kuwa wapiga madili, angalia mashirika ya umma yalivyokufa kifo cha mende. SU ilimaanisha "soma ule"
 
Sifa za kijinga, anahutubia lisaa na nusu hana hata kipande cha karatasi mkononi, akaonekana ana akili nyingi, kumbe ni upuuzi wa hali ya juu leo utagundua kumbe alikuwa anatuzamisha kwenye bwawa la ujinga/umasikini, na vicheko vyake vya kulazimisha, matokeo yake ndo haya.. Elimu hakuna na hata wale waliosoma wengi wao wajinga.... angalia mataifa makubwa raisi hotuba zote zimetayarishwa na wataalamu husika, hadi vizazi wanazikuta... katunyima elimu ili atutawale matokeo yake kajikuta anatawala "MAFISI" uoga kujipendekeza, unafiki + Umajaliwa vs Precision air...
 
We ni mpuuzi sana kenge maji we
 
Kabisa
 
Wote ni wale wale
 
Kale ka babu kametuyumbisha sana kwenye uchumi, elimu na siasa hasa ikichagizwa na ujamaa wake. Kwangu he is no hero, japo upande wa mama yangu ni watu wa Mara na kwa kiasi fulani walinufaika kifursa wakati wa utawala wake.
Watu wa kusini wanamlalamikia sana
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…