Namna China ilivyoweza kujiendeleza, Tanzania tuna yapi ya kujifunza?

Namna China ilivyoweza kujiendeleza, Tanzania tuna yapi ya kujifunza?

Hiyo pekee haikuisaidia China kupata maendeleo ya haraka. Ndiyo maana miaka ya 1990, ikaamua kuja na mbinu mpya, ya kubadilisha sera zake za uchumi, na kufanya ushawishi mkubwa kwa makampuni makubwa ya America na Ulaya kwenda kuwekeza nchini China.

Uwekezaji wa mataifa ya Magharibi nchini China ulibadilisha kila kitu, na kuupandisha ukuuaji wa uchumi wa China mpaka kufikia 12%. Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza Duniani katika kuvutia wawekezaji wa nje ya nchi yao. Uwekezaji wa mataifa ya nje nchini China, kwa mwaka ni zaidi ya dola billion 80 (linganisha na uwekezaji wa dola bilioni 3 kwa mwaka, wa juu kabisa ambao Tanzania imewahi kuupata).

Makampuni ya nje yanafurahia uwekezaji wake nchini China kutokana na sera madhubuti zisizobadilikabadilika za kulinda uwekezaji.

Mpaka sasa, nchini China kuna makampuni zaidi ya milioni moja kutoka mataifa ya kigeni.

By the end of 2020, a total of 1,040,480 foreign companies were registered in Mainland China, the Official data was provided by the Ministry of Commerce (MOFCOM).2 Nov 2021.

Kwa hiyo kilichowasaidia sana China kubadilika kwa haraka, ni uwekezaji mkubwa wa makampuni ya nje. Mpaka leo, viongozi wa China, wakati wote wapo mataifa ya kigeni kutafuta wawekezaji wa kwenda kuwekeza nchini China.
Mkuu nime zungumzia kipengele moja wapo kati ya vipengele vinne vya usasa vilivyo tambulishwa na Deng Xiaoping katika mkutano wa chama cha kikomunisti baada ya yeye kushika hatamu.

Vipengele hivyo alivyo taja vilikuwa vinne:-
i, Viwanda
ii, Ulinzi
iii, Kilimo
iv, Elimu[ sayansi na teknolojia ]

Mimi sasa nime zungumzia kipengele cha nne hasa hasa mchango wa elimu ya ng'ambo walio pata wachina walio enda kusomeshwa na serikali wakati wa utekelekaji wa sera ya mageuzi na ufunguzi mkubwa miaka ya 1970s.

Hivyo vipengele vitatu vilivyo baki navyo nita vielezea kimoja baada ya kingine, lakini hatupaswi kupuuza mchango wa elimu ya ng'ambo katika kukuza maendeleo ya haraka ya uchina.
 
Hiyo pekee haikuisaidia China kupata maendeleo ya haraka. Ndiyo maana miaka ya 1990, ikaamua kuja na mbinu mpya, ya kubadilisha sera zake za uchumi, na kufanya ushawishi mkubwa kwa makampuni makubwa ya America na Ulaya kwenda kuwekeza nchini China.

Uwekezaji wa mataifa ya Magharibi nchini China ulibadilisha kila kitu, na kuupandisha ukuuaji wa uchumi wa China mpaka kufikia 12%. Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza Duniani katika kuvutia wawekezaji wa nje ya nchi yao. Uwekezaji wa mataifa ya nje nchini China, kwa mwaka ni zaidi ya dola billion 80 (linganisha na uwekezaji wa dola bilioni 3 kwa mwaka, wa juu kabisa ambao Tanzania imewahi kuupata).

Makampuni ya nje yanafurahia uwekezaji wake nchini China kutokana na sera madhubuti zisizobadilikabadilika za kulinda uwekezaji.

Mpaka sasa, nchini China kuna makampuni zaidi ya milioni moja kutoka mataifa ya kigeni.

By the end of 2020, a total of 1,040,480 foreign companies were registered in Mainland China, the Official data was provided by the Ministry of Commerce (MOFCOM).2 Nov 2021.

Kwa hiyo kilichowasaidia sana China kubadilika kwa haraka, ni uwekezaji mkubwa wa makampuni ya nje. Mpaka leo, viongozi wa China, wakati wote wapo mataifa ya kigeni kutafuta wawekezaji wa kwenda kuwekeza nchini China.

Nchini China, ukihujumu uwekezaji, adhabu yako ni kifo. Mwekezaji nchini China analindwa kwa nguvu zote. Na bila hiyo China ingekuwa na shida kubwa ya unemployment.

Hapa kwetu, mkurugenzi wa kiwanda cha kusindika tumbaku pale Morogoro, RCO, kwa sababu za kijinga kabisa, alimweka ndani kwa masaa 8. Alipotoka tu, akaanza utaratibu wa kufunga kiwanda. Ndipo Rais Magufuli akaanza kuhangaika na kumtuma waziri kwenda kumbembeleza asifunge kiwanda, na akamtimua RCO wa mkoa wa Morogoro. Lakini hata hivyo, pamoja kutofunga, alipunguza sana uwekezaji wake, kiasi cha kuifanya tumbuka zaidi ya 50% mwaka ule ikose mnunuzi.

Wawekezaji ni wachache, Dunua nzima wanatafutwa. Ni yule mwenye mazingira mazuri ndiye anayewavuta wengi.
Asante mkuu kwa ufafanuzi huu.
 
Tulipata kiongozi wa kutufikisha mbali tukamtupia mawe ya lawama hadi MUNGU kamchukua. Sasa sijui mnatakaje enyi majuha watanzania.
Mikakati ipi serikali imeweka juu ya hili suala nililo lizungumzia hapa ?
 
Tuwe na sera za kitaifa za muda mfupi na mrefu na si sera za vyama vya siasa. Chama kikishashinda uchaguzi kitakuta sera zipo tayari kwa utekelezaji, chama kitakachoshindwa kutekeleza kinapigwa chini kinaingia kingine.
Sera za kitaifa za muda mrefu na muda mfupi kuhusu hili suala ni jambo la muhimu sana.
 
Ni kweli lakini ingekuwa vizuri tukajiuliza sababu ya kufanya hivyo ni nini? Sababu kubwa ni kwamba mazingira ya nyumbani kiajira siyo mazuri. Na mazingira ya kiajira yanakuwa siyo mazuri kwa sababu ya uongozi na siasa mbovu. Tunatakiwa tuwe na malengo na mikakati mizuri ya uongozi ili kuvutia wale wanaokwenda kusoma. Siyo mwanafunzi anarudi baada ya kupata utaalam, anapewa eg cheo wizara ya fedha au benki kuu, rais anatoa amri fedha za uchaguzi zichotwe na mtaalam anapokataa anapelekewa watu wasiojulikana ku-deal naye.
Kweli uongozi mbovu unachangia sana suala hili kuto kuleta matunda hapa nchini.
 
Hakuna maendeleo yeyeto nchi yeyeto duniani bila kumshirikisha Mzungu
 
Hiyo pekee haikuisaidia China kupata maendeleo ya haraka. Ndiyo maana miaka ya 1990, ikaamua kuja na mbinu mpya, ya kubadilisha sera zake za uchumi, na kufanya ushawishi mkubwa kwa makampuni makubwa ya America na Ulaya kwenda kuwekeza nchini China.

Uwekezaji wa mataifa ya Magharibi nchini China ulibadilisha kila kitu, na kuupandisha ukuuaji wa uchumi wa China mpaka kufikia 12%. Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza Duniani katika kuvutia wawekezaji wa nje ya nchi yao. Uwekezaji wa mataifa ya nje nchini China, kwa mwaka ni zaidi ya dola billion 80 (linganisha na uwekezaji wa dola bilioni 3 kwa mwaka, wa juu kabisa ambao Tanzania imewahi kuupata).

Makampuni ya nje yanafurahia uwekezaji wake nchini China kutokana na sera madhubuti zisizobadilikabadilika za kulinda uwekezaji.

Mpaka sasa, nchini China kuna makampuni zaidi ya milioni moja kutoka mataifa ya kigeni.

By the end of 2020, a total of 1,040,480 foreign companies were registered in Mainland China, the Official data was provided by the Ministry of Commerce (MOFCOM).2 Nov 2021.

Kwa hiyo kilichowasaidia sana China kubadilika kwa haraka, ni uwekezaji mkubwa wa makampuni ya nje. Mpaka leo, viongozi wa China, wakati wote wapo mataifa ya kigeni kutafuta wawekezaji wa kwenda kuwekeza nchini China.

Nchini China, ukihujumu uwekezaji, adhabu yako ni kifo. Mwekezaji nchini China analindwa kwa nguvu zote. Na bila hiyo China ingekuwa na shida kubwa ya unemployment.

Hapa kwetu, mkurugenzi wa kiwanda cha kusindika tumbaku pale Morogoro, RCO, kwa sababu za kijinga kabisa, alimweka ndani kwa masaa 8. Alipotoka tu, akaanza utaratibu wa kufunga kiwanda. Ndipo Rais Magufuli akaanza kuhangaika na kumtuma waziri kwenda kumbembeleza asifunge kiwanda, na akamtimua RCO wa mkoa wa Morogoro. Lakini hata hivyo, pamoja kutofunga, alipunguza sana uwekezaji wake, kiasi cha kuifanya tumbuka zaidi ya 50% mwaka ule ikose mnunuzi.

Wawekezaji ni wachache, Dunua nzima wanatafutwa. Ni yule mwenye mazingira mazuri ndiye anayewavuta wengi.
Aiseeh
 
Inategemea kama watu wetu hao wakipelekwa nje, je watakuwa ni wenye akili kiasi sawa na Wachina au lah...
 
Kwetu wakipelekwa wanazamia na kuchana passport kabisa na majina wanabadilisha ili wasirudi Tz...😂
Wa bongo tulivyo wabinasfi, tukipata hizo nafasi tunahamishia na familia zetu kabisa ughaibuni..🤣
Hata China siyo wote walirejea nyumbani. Wapo waliogomea ughaibuni hadi leo. Lakini majority walirudi. Na sisi tupeleke wengi sana. Mfano Serikali ipeleke wanafunzi 15,000 Ulaya na USA kwenye vyuo bora kabisa mfululizo kwa walau miaka 30 utaona matokeo yake.

Tena nasisitiza wapelekwe Ulaya au North America (USA & Canada). Wasiende China maana kule hamna elimu wanagawa vyeti tu kwa wanafunzi wetu
 
Inategemea kama watu wetu hao wakipelekwa nje, je watakuwa ni wenye akili kiasi sawa na Wachina au lah...
Nadhani tuna hitaji falsafa bora ya kimalezi ya kumjenga mtu kuwa bora.
 
Back
Top Bottom