Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga kijana ukikomaa na mke wa mtu utazibuliwa mtaro mbele ya huyo malaya wako.Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Humo kama kuna mtu anatembea na mke wako, njoo nikupe number ya mganga iko kigoma hamna haja ya kusafiri unamlipa baada ya kuona matokeo, anambadilisha mpaka mwanaume ana kua paka au mbwa, pia kama wataka radi, au apigwe na stroke ni wewe tu, ila shariti iwe ni kweli usiwe muongo......Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Mleta mada ameomba ushauri wa nini cha kufanya ili asikamatwe. Badala ya kumshauri, naona wengi mnakuja na vitisho mara atafumuliwa marinda, mara atazibuliwa mtaro, mara atembee na mafuta..Acha ujinga kijana ukikomaa na mke wa mtu utazibuliwa mtaro mbele ya huyo malaya wako.
muwe mna chati kupitia comment za humuMko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
NakaziaHakikisha kila unapokuwa nae uwe na mafuta ya baby care kama dharura, maana ukidakwa.
Penzi la mke wa mtu ni kitu ingine kabisa naona watu wanachukulia simplePenzi kilo 150 😹
Unapewa yoteeeePenzi la mke wa mtu ni kitu ingine kabisa naona watu wanachukulia simple
Ni wanaume dhaifu tu ndio wanakuwa na mahusiano na wake za watu. Na wanaume dhaifu hufa vifo vya hovyo na vya aibu.Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni ni
👏👏👏 💯safi sanaa.. ushauri murua kama huu ndio unaotakiwa sio vitisho vitishomuwe mna chati kupitia comment za humu
Jifanye shogaMko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Sisi wabongo bure kabisa!Yani wabongo hbana🤣🤣🤣wanauwoga kishenzi.sisiwachache wenye ujasiri tunafaidi tuu.
mkuu jiulize wewe unaweza kumfr mtu ukimfumania namkeo?
kula mkehuyo acha uoga uoga hutapata mambo mazuri.
nawala sana wakezawatu
Vifo vyote ni vya hovyo mkuu, hata usipotembea na wake za watu bado utakufa kifo cha hovyo na cha aibu. 😀Ni wanaume dhaifu tu ndio wanakuwa na mahusiano na wake za watu. Na wanaume dhaifu hufa vifo vya hovyo na vya aibu.
Wazaramo Wana usemi wao MWANA KULI FIND MWANA KULI GETMko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Mkuu inaonekana umenogeshwa, hauambiliki 😹😹😹Sisi wabongo bure kabisa!