Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mkongwe umefikia huku Mkuu?Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkongwe umefikia huku Mkuu?Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Unapewa yote halafu bila masharti wala gharama 😀😀Unapewa yoteeee
Wewe tembea na mafuta ya mgando popote uendapo. Hii ndio Kinga kiboko.Mko poa humu watu wa mapenzi?
Nina mahusiano na mke wa mtu.
So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote?
Muwe na jioni njema.
Isije ikawa ni mke wako mkuu.Mleta mada ameomba ushauri wa nini cha kufanya ili asikamatwe. Badala ya kumshauri, naona wengi mnakuja na vitisho mara atafumuliwa marinda, mara atazibuliwa mtaro, mara atembee na mafuta..
Guys.. you are not helping..!🤷♂️
Hivi nyie mnadhani huyu jamaa ataachana na huyo mke wa mtu kisa vitisho vyenu hivi..? Hebu kuweni serious kidogo bana..
Umenena vyema. Wanawake chenga sana, ila ukipata smart hadi mtoto anakutunuku na hakuna mwingine anajua zaidi yenu wawiliKikubwa kwenye aina hii ya mahusiano ni huyo mwanamke ndio anatakiwa kuwa smart. Wewe hata uwe smart kiasi gani, atakaesababisha mkamatwe ni huyo mwanamke!
Kawaida wanawake hua wana matatizo mawili makubwa;
1. Kujisahau sana anapokua na mtu nje, na hii hupelekea kuanza kufanya makosa ya kizembe mpaka mwisho mnabambwa.
2. Mwanamke anapokua na mtu, ni kama anakua anataka kila mtu ajue kwamba yuko na fulani. Yaani we mwanaume utakuta unajitahidi watu wasijue, ila mwenzio yeye waala ni kama anaona fahari. Hapo ndio habari kusambaa hadi kumfikia mumewe.
Mkuu we umeoa?Isije ikawa ni mke wako mkuu.
Exactly.Umenena vyema. Wanawake chenga sana, ila ukipata smart hadi mtoto anakutunuku na hakuna mwingine anajua zaidi yenu wawili
Apa naona umemaliza uzi ufungwe
Demi pita hapa tuchekeeeeUnapewa yote halafu bila masharti wala gharama 😀😀
Halafu nimegundua unapokua na mke/mume wa mtu, vile vitu ambavyo unaogopa kufanya na mke/mume wako kwa kuogopa atajiuliza umejulia wapi, unakua huru kuvifanya 😀
TheChoji kanogeshwa hukuKwani mnaongea kuhusu nini eti? 😅😅😅