Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Haya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.
Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.
Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English
Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.
Am done I simply hook by benefit sharing.
Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.
Let's share
Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.
Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English
Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.
Am done I simply hook by benefit sharing.
Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.
Let's share