Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Siku utakijutia kijambio chako na kukililia ndani ya chama chako Cha ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa una pesa halfu huna pisi ya kutoka na e mnaenda kuvizia Pisa za watuHaya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.
Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.
Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English
Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.
Am done I simply hook by benefit sharing.
Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.
Let's share
ccm itatuongoza tena miaka 60 ijayoHaya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.
Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.
Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English
Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.
Am done I simply hook by benefit sharing.
Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.
Let's share
Wewe jamaa utakuwa under 30!!Amapiano hunigusi mwamba numeiva tutorial za you tube kama zote
Nenda hospitali haraka ukapigwe Panadul kiboko ya wazinzi utakuwa sawa tu mkuu sema kalio uliandae inauma mnooMkuuu Mimi uume wangu unatoa usaha msaada please
NB; usinitusi boss
Nishavaa cheni ya silver shingoni, bracelet zinang’aa nina saa ya utanashati left hand.
Tshirt on point jeans au pensi, simu natoa cover, ni samsung note 8 colour ya grey, nina 14 colour black.
Shisha mezani, nimenyoa vzuri, nasindikiza na Captain morgan chupa kubwa ile au serengeti lite bucket.
Na sina mambo mengi, mm na simu yangu, kama siangalii jF npo whatsapp au nacheck nguo we chat za mchina.
Nikitaka kuondoka na demu siku hyo naamua mimi.
Na ninapoenda watu wanaponijua.
Wanawake anayeongelea mtoa mada ni pisi hizo za kwenda sio madunga embe boss wangu. Hata sisi tunaocomment, kuna mida tunapambana, kuna muda tunakula wa nyumbani, ila starehe pia tunafanya na tunatafuta vitu vile vinavyotusimamisha tukiwa sehemu za starehe, so mtoa mada hana shida. Asilimia 90 tunaotokakwenda sehemu za starehe sometimes tunataka tuwe na happy ending ya usiku wetu. Asante. Ww endelea kutojali issue za mitoko. Umeridhika na dunia hii.Humu kuna watu wa kila aina mentally, emotionally, economically and maturity pia.
Hivyo usishangae mimi nikikushangaa au nikimshangaa mleta mada. Mimi sihangaiki na hayo yote, sijali issues za mitoko kuhangaika koteeeee, mara kutoa 50k mara 20k kama alivyoeleza mleta mada. Lakini bado sometimes nashindwa kuwahimili hadi naanza kuchagua nimle yupi au nimwache yupi. In short nashangaa mwanaume anayehangaika na namna ya kumpata mwanamke wa kwenda kula naye starehe.
Masumbuko, kamchukua Shida ambaye ni Demu wa Mawazo.Haya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.
Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.
Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English
Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.
Am done I simply hook by benefit sharing.
Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.
Let's share
Mkuuu hii inachomwa kwa awamu ngapi?Nenda hospitali haraka ukapigwe Panadul kiboko ya wazinzi utakuwa sawa tu mkuu sema kalio uliandae inauma mnoo
Huyu ngedere haelewi maisha ya pesa pesa amezoea njaa, mida hii nipo sehemu nakula Bata na pisi kali mbili naenda kula threesome bila kelele, atafute pesa aache seminar za bureWanawake anayeongelea mtoa mada ni pisi hizo za kwenda sio madunga embe boss wangu. Hata sisi tunaocomment, kuna mida tunapambana, kuna muda tunakula wa nyumbani, ila starehe pia tunafanya na tunatafuta vitu vile vinavyotusimamisha tukiwa sehemu za starehe, so mtoa mada hana shida. Asilimia 90 tunaotokakwenda sehemu za starehe sometimes tunataka tuwe na happy ending ya usiku wetu. Asante. Ww endelea kutojali issue za mitoko. Umeridhika na dunia hii.