Namna gani unaiba mademu wakali wakiwa na wanaume zao mabishoo sehemu za viwanja./Bata

Namna gani unaiba mademu wakali wakiwa na wanaume zao mabishoo sehemu za viwanja./Bata

Haya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.

Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.

Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English

Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.

Am done I simply hook by benefit sharing.

Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.

Let's share
Sasa una pesa halfu huna pisi ya kutoka na e mnaenda kuvizia Pisa za watu

Shortly huna pesa huna mishe ya maan unashinda kwa shemeji Ako
Shenzi sna
 
Haya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.

Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.

Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English

Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.

Am done I simply hook by benefit sharing.

Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.

Let's share
ccm itatuongoza tena miaka 60 ijayo
 
1696009855879.png
 
Ushamba mzigo kwahyo aunaona ww kuchukua dem wa mtu ni ujanja? Alaf umeandika ushamba mjini watu wanabandua bila hata hizo 50k utatoa ngapi? Tafuta ndinga alafu tafuta uhakika madem wazuri hawapatikani bar
 
Kwahiyo huwa unapoteza pesa zako kifala kuvutia malaya wanaokuja na wahuni wenzao, demu wa club sio demu ni malaya, pole kwa kupoteza pesa zako kizembe.
 
Nishavaa cheni ya silver shingoni, bracelet zinang’aa nina saa ya utanashati left hand.
Tshirt on point jeans au pensi, simu natoa cover, ni samsung note 8 colour ya grey, nina 14 colour black.
Shisha mezani, nimenyoa vzuri, nasindikiza na Captain morgan chupa kubwa ile au serengeti lite bucket.
Na sina mambo mengi, mm na simu yangu, kama siangalii jF npo whatsapp au nacheck nguo we chat za mchina.
Nikitaka kuondoka na demu siku hyo naamua mimi.
Na ninapoenda watu wanaponijua.

Humu kuna watu wa kila aina mentally, emotionally, economically and maturity pia.
Hivyo usishangae mimi nikikushangaa au nikimshangaa mleta mada. Mimi sihangaiki na hayo yote, sijali issues za mitoko kuhangaika koteeeee, mara kutoa 50k mara 20k kama alivyoeleza mleta mada. Lakini bado sometimes nashindwa kuwahimili hadi naanza kuchagua nimle yupi au nimwache yupi. In short nashangaa mwanaume anayehangaika na namna ya kumpata mwanamke wa kwenda kula naye starehe.
 
Humu kuna watu wa kila aina mentally, emotionally, economically and maturity pia.
Hivyo usishangae mimi nikikushangaa au nikimshangaa mleta mada. Mimi sihangaiki na hayo yote, sijali issues za mitoko kuhangaika koteeeee, mara kutoa 50k mara 20k kama alivyoeleza mleta mada. Lakini bado sometimes nashindwa kuwahimili hadi naanza kuchagua nimle yupi au nimwache yupi. In short nashangaa mwanaume anayehangaika na namna ya kumpata mwanamke wa kwenda kula naye starehe.
Wanawake anayeongelea mtoa mada ni pisi hizo za kwenda sio madunga embe boss wangu. Hata sisi tunaocomment, kuna mida tunapambana, kuna muda tunakula wa nyumbani, ila starehe pia tunafanya na tunatafuta vitu vile vinavyotusimamisha tukiwa sehemu za starehe, so mtoa mada hana shida. Asilimia 90 tunaotokakwenda sehemu za starehe sometimes tunataka tuwe na happy ending ya usiku wetu. Asante. Ww endelea kutojali issue za mitoko. Umeridhika na dunia hii.
 
Haya maisha ni burudani kuna wanaume masharobaro akili finyu anakuja sehemu za bata huku ana pesa mbuzi kama elfu50 tu then anavimba, anamleta demu huku haja exhaust fully likes za demu kwenye mitoko wao wanadhani Heineken na savanna ndio kila kitu.

Sasa mimi silaha yangu kuu huwa ni kula naagiza misosi types tofauti kama awamu 3, na mziki kila mziki nacheza style kama tatu, kama unapenda za mbinga na hujui kucheza mziki jifiche na demu wako.

Mimi sina kazi nafanya advertize zangu binafsi kisha nampa mhudumu elfu20 akaongee na demu ampe namba na elfu50 ampe huyo demu wa bishoo huku ashaona vibes zangu. Natulia demu akiwa chooni anamaliza kwa simple and basic English

Thank you ur a carer and a giver,
I just reply I was meant for your coming, am hostely ur dream man, home is sweet and am the greatest home you gonna have.

Am done I simply hook by benefit sharing.

Unapataje kuwaibia hao sharobaro mademu zao.

Let's share
Masumbuko, kamchukua Shida ambaye ni Demu wa Mawazo.
 
Wanawake anayeongelea mtoa mada ni pisi hizo za kwenda sio madunga embe boss wangu. Hata sisi tunaocomment, kuna mida tunapambana, kuna muda tunakula wa nyumbani, ila starehe pia tunafanya na tunatafuta vitu vile vinavyotusimamisha tukiwa sehemu za starehe, so mtoa mada hana shida. Asilimia 90 tunaotokakwenda sehemu za starehe sometimes tunataka tuwe na happy ending ya usiku wetu. Asante. Ww endelea kutojali issue za mitoko. Umeridhika na dunia hii.
Huyu ngedere haelewi maisha ya pesa pesa amezoea njaa, mida hii nipo sehemu nakula Bata na pisi kali mbili naenda kula threesome bila kelele, atafute pesa aache seminar za bure
 
Back
Top Bottom