Namna gani unaiba mademu wakali wakiwa na wanaume zao mabishoo sehemu za viwanja./Bata

Sasa una pesa halfu huna pisi ya kutoka na e mnaenda kuvizia Pisa za watu

Shortly huna pesa huna mishe ya maan unashinda kwa shemeji Ako
Shenzi sna
 
ccm itatuongoza tena miaka 60 ijayo
 
Ushamba mzigo kwahyo aunaona ww kuchukua dem wa mtu ni ujanja? Alaf umeandika ushamba mjini watu wanabandua bila hata hizo 50k utatoa ngapi? Tafuta ndinga alafu tafuta uhakika madem wazuri hawapatikani bar
 
Kwahiyo huwa unapoteza pesa zako kifala kuvutia malaya wanaokuja na wahuni wenzao, demu wa club sio demu ni malaya, pole kwa kupoteza pesa zako kizembe.
 

Humu kuna watu wa kila aina mentally, emotionally, economically and maturity pia.
Hivyo usishangae mimi nikikushangaa au nikimshangaa mleta mada. Mimi sihangaiki na hayo yote, sijali issues za mitoko kuhangaika koteeeee, mara kutoa 50k mara 20k kama alivyoeleza mleta mada. Lakini bado sometimes nashindwa kuwahimili hadi naanza kuchagua nimle yupi au nimwache yupi. In short nashangaa mwanaume anayehangaika na namna ya kumpata mwanamke wa kwenda kula naye starehe.
 
Wanawake anayeongelea mtoa mada ni pisi hizo za kwenda sio madunga embe boss wangu. Hata sisi tunaocomment, kuna mida tunapambana, kuna muda tunakula wa nyumbani, ila starehe pia tunafanya na tunatafuta vitu vile vinavyotusimamisha tukiwa sehemu za starehe, so mtoa mada hana shida. Asilimia 90 tunaotokakwenda sehemu za starehe sometimes tunataka tuwe na happy ending ya usiku wetu. Asante. Ww endelea kutojali issue za mitoko. Umeridhika na dunia hii.
 
Masumbuko, kamchukua Shida ambaye ni Demu wa Mawazo.
 
Huyu ngedere haelewi maisha ya pesa pesa amezoea njaa, mida hii nipo sehemu nakula Bata na pisi kali mbili naenda kula threesome bila kelele, atafute pesa aache seminar za bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…