Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
www.jamiiforums.com
Kuna kiwanda Kisafi Zaidi ya Viwanda vya Dawa Ttuma Picha ya kiwanda kisafi 🤣🤣jamaa anaongea kama yeye ndiye mgunduzi wa kuwa soda na juice zina tengenezwa hivi..
kwa mujibu wa picha jongeo mtandaoni. watu wa nchi hiyo inaonekana kwao usafi mwiko..
sehemu kubwa ya mchakato wana shika kwa mikono
Wanaweka kibiashara kakaSasa si unasoma tu ingredients za kinywaji husika utaona kila kilichomo pamoja na asilimia zake.
Mpaka kiwanda kinafanya kazi na bidhaa inafika sokoni maana yake wataalamu wamejiridhisha, kazi inabaki kwako mlaji kujua kipi kinafaa na kipi hakifai kwa matumizi yako. Soda na vinywaji vingine vya viwandani vinajulikana toka miaka kuwa siyo vizuri kwa matumizi ya mara kwa mara.
Sijaku"channya" na wewe.Ngoja niku-confuse!Mshipa Mfupa? mbona wanichannya na wewe
Nenda njia panda....Kahama Tinde.....ukifika utawapata wote....Tupe mawasiliano na waouza hayo maembe watuambie
ila hawa magabachori wame zidi aisee . maandalizi ya chakula wanatumia bare hands .Kuna kiwanda Kisafi Zaidi ya Viwanda vya Dawa Ttuma Picha ya kiwanda kisafi 🤣🤣
Vyote hivyo hesabu zimepigwa tu...(chemical)Bado Ukwaju, na Energy Drink
Mkuu uishalipiga hili sio bureWe unashangaa hilo. Ukija kuliona toy lenye mbususu bandia si ndio utalia na kusaga meno.
Ina weight unayotaka na Ina kispika na kitufe cha kutolea moaning sounds, yaani unacharaza huku toy inakulilia,
We viiipii... Wee thedi wedi nini
hizo mbususu bandia zina joto na utelezi? Wapi zinakopatikanana bado tushaletewa nambususu za bandia!,nikujidofya tu.
Hakuna kiwanda kinatumia maembe ya kutoka shambaniAzam anapeleka lorry kama 100 zinapakia maembe huko.....tembea ujionee....usiseme kitu huna uhakika nacho
Ooohhh bakia hapo hapo.....nime supply sana maembe kwa azamHakuna kiwanda kinatumia maembe ya kutoka shambani
Uache uongo wako
Kweli nimeamini Ego is the Enemy 🤣🤣Mkuu uishalipiga hili sio bure
Hayo malori yaliyopo kiwanda cha Azam kule Mwandege Dar es Salaam yakiwa yamebeba embe anapelekewa nani kuyala? Na wale wanawake ndani ya kiwanda wakiwa kwenye mkanda wa kuchagua na kusafisha embe wanazila wao peke yao bila kuwapelekea watoto na waume zao?Kuna mtu nilishawahi kumuuliza Hivi Kutengeneza Juice ya Ukwaju na Ikawa Nzito kama ya Mzee wetu, inahitaji utengeneze na Ukwaju kiasi gani?.
na je ushawahi kuona au kusikia wamenunu maembe au ukwaju sehemu ukaingizwa kiwandani..
Hii Video inaonesha ni kiasi gani tunatumia Chemical nyingi sana katika Juice na Soda mbalimbali zinazokuwa na Flavor ya matunda, Ni mfano tu wa namna hizi Juice na Soda za matunda zinavyotengenezwa
View attachment 3014615
Azam inasaplai na kuuza rojo za matunda hadi kwa viwanda vingine vya juisi pia. That's a fact.Hakuna kiwanda kinatumia maembe ya kutoka shambani
Uache uongo wako