matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mkuu mbona kwa Bahresa huwa wanaunua maembe kutoka kwa wafanyabiashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwanda kama SAYONA wanauza Pulp germanyAzam inasaplai na kuuza rojo za matunda hadi kwa viwanda vingine vya juisi pia. That's a fact.
Ni kweli wanatumia matunda, japo kemikali za kuongeza ladha, rangi, vihifadhi (preservatives), nk plus sukari kali zinatumika kwa wingi.
Hivyo ni sahihi kusema juisi ya matunda viwandani si pyua juisi.
Ndiyo maana hata kitaalamu na kiafya zaidi zinapaswa zinyweke zikiwa za baridi.
Healthy life is too great a possession to be trifled with.
Hili mbona lipo wazi pale kwenye compositions wameandika muwe mnaangalia.Kuna mtu nilishawahi kumuuliza Hivi Kutengeneza Juice ya Ukwaju na Ikawa Nzito kama ya Mzee wetu, inahitaji utengeneze na Ukwaju kiasi gani?.
na je ushawahi kuona au kusikia wamenunu maembe au ukwaju sehemu ukaingizwa kiwandani..
Hii Video inaonesha ni kiasi gani tunatumia Chemical nyingi sana katika Juice na Soda mbalimbali zinazokuwa na Flavor ya matunda, Ni mfano tu wa namna hizi Juice na Soda za matunda zinavyotengenezwa
View attachment 3014615
Makafiri mna chuki na utajiri wa mzee wa watuHayo yanaedna Sokoni Ndugu, Hayaendi kiwandani ni Plan tu hizo za kibiashara
Wanatumia maembe kutoka kwwnye masaburi yako basiHakuna kiwanda kinatumia maembe ya kutoka shambani
Uache uongo wako
Achana nao wana chuki zao za kidini mbwa haoMkuu mbona kwa Bahresa huwa wanaunua maembe kutoka kwa wafanyabiashara.
Washkaji wangu ilikuwa ndio kazi zao kutoa maembe kagongwa kahama wanamuuzia bahresa. Chemical zimo hatukatai ila sioni kama ni kwa hiyo mechanism ya huyo muhindi kwenye videoAchana nao wana chuki zao za kidini mbwa hao