Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Kaka kuna mamtu yanapikia hadi ugali. YaanRice=rice.
Unatak upike maharage?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kuna mamtu yanapikia hadi ugali. YaanRice=rice.
Unatak upike maharage?
Uharibifu lazima utokee, hasa ukipikia vigumu kuiva kuliko wali, jina lake linajieleza ni kwa ajili ya nini, sasa nyinyi mnalazimisha kupika mpaka maharage halafu mnaenda kuwalaumu wenye maduka eti limeungua harakaUnaweza kupika/kuchemshia chakula kingine kipi pasipo kuifanyia uharibifu?
thanksInaweza pia kupika vyakula vinavyoiva kwa muda mfupi kuliko wali mfano mboga,kupashia vyakula,chai n.k
Sio matumizi yake sahihi ila kama huna mkaa au gesi inaweza kukusaidia
Ndio maana nimeuliza,kama yatakuwepo kwenye orodha nasongesha tuRice=rice.
Unatak upike maharage?
Naomba picha ya iyo presha cooker unayoiongelea.Acha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.
Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
Nenda maduka makubwa ya vyombo, mkuu utapata bei elfu 70 mpaka elfu 90Naomba picha ya iyo presha cooker unayoiongelea.
Naomba picha ya iyo presha cooker unayoiongelea.
KisamvuRice=rice.
Unatak upike maharage?
Pikia hata ugali mkuuUnaweza kupika/kuchemshia chakula kingine kipi pasipo kuifanyia uharibifu?
Rice cooker sio kwa ajili ya wali tu, watu tushapikia magimbi, tushapikia maharage, tushapikia mchemsho, tushasongea ugali...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Unaweza kupika/kuchemshia chakula kingine kipi pasipo kuifanyia uharibifu?
Haaa...kumbe 😀Rice cooker sio kwa ajili ya wali tu, watu tushapikia magimbi, tushapikia maharage, tushapikia mchemsho, tushasongea ugali...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Hii ni ya umeme. Ipo ya kupikia kwenye gesi. Kumbuka umeme wa tanzania ni wa ghali sana. Na hua aliivishi vizuri maharage labda uloweke kwanza maharage kwa masaa kadhaa kabla ya kuyapika
Ndio hivyo ukitaka kujua rice cooker lina kazi nyingi usiwe na gesi wala mkaa kwako[emoji38][emoji38]haaa...kumbe 😀
Kaomba picha na sio bei...Nenda maduka makubwa ya vyombo, mkuu utapata bei elfu 70 mpaka elfu 90
Mi napikiaga mpaka ugali na makande mzeee babaAcha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.
Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
dah mkuu mimi sijawahi kuiona.Hakunaga pressure cooker ya kupikia kwenye gesi?
Yako haijawahi kuharibika kwa matumizi hayo?Ndio hivyo ukitaka kujua rice cooker lina kazi nyingi usiwe na gesi wala mkaa kwako[emoji38][emoji38]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
mhh...hii sidhani kama inakubali nakale kamwiko kakePikia hata ugali mkuu