Namna mbalimbali za jinsi ya kutumia rice cooker

Namna mbalimbali za jinsi ya kutumia rice cooker

aaahhh...mkaka mtanashati ukitoka nje majirani wanajua kabisa sahizi mzee umepiga kitu cha harage😀 kimya kimya ndio mwake
Hapa napitia mahindi mabichi shambani naenda kuchemsha na presha coocker kitu dakika 20 naepua natafuna mahindi.
 
Umeme ghali kivipi wakati unit ni 298
Hii ni ya umeme. Ipo ya kupikia kwenye gesi. Kumbuka umeme wa tanzania ni wa ghali sana. Na hua aliivishi vizuri maharage labda uloweke kwanza maharage kwa masaa kadhaa kabla ya kuyapika
 
Acha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.

Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
Majirani wanahusika vipi kwenye bili yake ya umeme?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rice cooker sio kwa ajili ya wali tu, watu tushapikia magimbi, tushapikia maharage, tushapikia mchemsho, tushasongea ugali...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ni kweli mkuu,mi mwenyewe nimechemshia nyungu muda huu. Nataka nijifukize
 
Mkuu ushawahi kuchemsha magimbi/ndizi kwenye electric kettle? [emoji38][emoji38]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Duh,we ni nyoko 🤭 mimi hiyo siafanya na uzee huu...labda zamani sana shule tulizosoma boarding,kuchemsha mahindi ya walimu na heater darini
 
Unachemshia hata maji ya kuoga ???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipindi hicho umeme ndio kila kitu, kettle zilipata tabu [emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Duh,we ni nyoko [emoji2960] mimi hiyo siafanya na uzee huu...labda zamani sana shule tulizosoma boarding,kuchemsha mahindi ya walimu na heater darini
Kabla ya kuja kettle za umeme, heater watu tumechemsha maji ya kuoga kwa umeme na vipisi vya nondo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Acha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.

Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
Sawa
 
Kama rice cooker yako ina ichokitu unaweza fanya steaming unaweka ata kuku apo juu au nyama ina ivaa ayo nimatumizi sahihi pia ya hyoo kitu
1590567750643.jpeg
1590567786484.jpeg
 
Back
Top Bottom