Namna Mwekezaji Bill Ackman alivyogeuza $27m kuwa $2.6b ndani ya mwezi mmoja (almost 10,000% ROI)

Namna Mwekezaji Bill Ackman alivyogeuza $27m kuwa $2.6b ndani ya mwezi mmoja (almost 10,000% ROI)

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses and rosses...

Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)

Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.

images (38).jpeg


Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.

Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.

Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.

Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.


kali linux
 
Hello bosses and rosses...

Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)

Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.

View attachment 2562655

Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.

Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.

Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.

Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.


kali linux
Hii mambo inabidi uwe unajua kusoma alama za nyakati vizuri sana.

Kuna wengine walibet against the US housing market prior to the economic crash ya 2008. Michael Burry alipata dola milioni 100, kuna team nyingine ilipata dola bilioni 1. Imeelezewa vizuri kwenye the big short.
 
Pale kwenye mafuta hata mimi nilipiga pesa.

It was obvious easy money.

Una-swing kwenye forex, futures na ku-hold ETFs zinazo-track bei ya mafuta.

Bei ikifika 0 hakuna jinsi itaenda negative. It must come back to positive.
 
Hello bosses and rosses...

Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)

Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.

View attachment 2562655

Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.

Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.

Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.

Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.


kali linux
Hiyo series inabidi niitafute.
 
Hii mambo inabidi uwe unajua kusoma alama za nyakati vizuri sana.

Kuna wengine walibet against the US housing market prior to the economic crash ya 2008. Michael Burry alipata dola milioni 100, kuna team nyingine ilipata dola bilioni 1. Imeelezewa vizuri kwenye the big short.
Sure, play alofanya Ackman inataka kufanana na ya mike burry sema hii ya Ackman ilikua na perfect entry, ya burry aliingia mapema sana na kidogo afirisike sababu alilipa hizo premiums kwa muda mref kiasi, huyu ackman yy kalipia premium ya mwezi mmoja tu kitu hio imo
 
Pale kwenye mafuta hata mimi nilipiga pesa.

It was obvious easy money.

Una-swing kwenye forex, futures na ku-hold ETFs zinazo-track bei ya mafuta.

Bei ikifika 0 hakuna jinsi itaenda negative. It must come back to positive.
Mie hapo mafuta yameshuka bana so nikanunua Ile Kuja kurudi yakawa ama price ime gap up Sasa Ile profit ikawa broker ameniwekea Kama commission yaani karibia paundi 300 zote eti akakata kamisheni yaani nilimaindi kinyama Basi tu.
 
Mie hapo mafuta yameshuka bana so nikanunua Ile Kuja kurudi yakawa ama price ime gap up Sasa Ile profit ikawa broker ameniwekea Kama commission yaani karibia paundi 300 zote eti akakata kamisheni yaani nilimaindi kinyama Basi tu.
Sijaelewa hii, najaribu kuvuta picha bado siipati, yaan price ikigap juu si mzigo wako huo kama umebuy?

mfano kwa mtu alo shortsell $SVB last last week kabla haijafall si ili tengeneza gap kwenda chini na watu wakapiga hela balaa
 
Sijaelewa hii, najaribu kuvuta picha bado siipati, yaan price ikigap juu si mzigo wako huo kama umebuy?

mfano kwa mtu alo shortsell $SVB last last week kabla haijafall si ili tengeneza gap kwenda chini na watu wakapiga hela balaa
Hujanielewa hayo yalikuwa Ni mafuta, so yalipofika minus yanarudi price around 1.8$ per barrel so nikanunua Nina uhakika hapa lazima yapande siku iliyofuata yaka open up kwa gap kubwa ,so broker sijui alikuwa Ni wa mchongo ama alikuwa fxchoice yaani Ile nimeamka asubuhi nacheki floating Profit kubwa mzee ,Mara kucheki balance kidogo,kuangalia ndani nakutana na kamisheni sio ya dunia hii na lot size ilikuwa Ni micro
 
Hujanielewa hayo yalikuwa Ni mafuta, so yalipofika minus yanarudi price around 1.8$ per barrel so nikanunua Nina uhakika hapa lazima yapande siku iliyofuata yaka open up kwa gap kubwa ,so broker sijui alikuwa Ni wa mchongo ama alikuwa fxchoice yaani Ile nimeamka asubuhi nacheki floating Profit kubwa mzee ,Mara kucheki balance kidogo,kuangalia ndani nakutana na kamisheni sio ya dunia hii na lot size ilikuwa Ni micro
Alikuchezea kiini macho au ulikua na wasiwasi lot size ukaweka ndogo
 
Hivi kwanini Tanzania hatuna watu kama hawa? Carl, Auckman, Soros?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bado mno mkuu kwanza ndio jogoo anawika.
Ingawa tunaye sister mmoja anafanya kazi kwa American bank ya Merrill Lynch ,kwenye kitengo Cha investment namtafuta mno Mana Naona pia Yuko passionate kuwapa watu financial literacy
 
Bado mno mkuu kwanza ndio jogoo anawika.
Ingawa tunaye sister mmoja anafanya kazi kwa American bank ya Merrill Lynch ,kwenye kitengo Cha investment namtafuta mno Mana Naona pia Yuko passionate kuwapa watu financial literacy
Anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom