kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses and rosses...
Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)
Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.
Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.
Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.
Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.
Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.
kali linux
Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)
Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.
Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.
Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.
Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.
Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.
kali linux