kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
- Thread starter
-
- #21
Kwanza access ya markets hamna.Hivi kwanini Tanzania hatuna watu kama hawa? Carl, Auckman, Soros?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wape akili mkuu. Ukiona shimo lizibe so nawewe lizibe pleaseHivi mimi kwanini nakosa hii akili??
Unanunua sema initial capital ndio imechangamka na sio leveraged Kama hizi CFD. Ila still na hizi CFD Kama upo poa unameki 💰 💰 mbona Ila ama huwezi hold muda mrefu Mana daily swap zitamaliza faida yote ama kuongeza hasara. Huyo jamaa aliyekupa info kuwa naye karibu mno. Sie tunapata level two data najua wapo wanaopata level one dataor information faster mnoUS stock tu au Stock options huwezi nunua utaishia kupata CFDs tu.
Hii huwa Ni bulls trap. Ukicheki chart inapanda in tfnacheki charts nikaona inapanda
Alikuwa fxchoiceDuh! Broker gani huyoView attachment 2563575
Enzi hizo nasikia mtikisiko wa uchumi hata sijui Ni Nini yaani nauliza ndio nini hicho hivi. Billionaire anashuka nafasi ya kwanza to ya tano Ni kutokana na stock market cap zake Ila sooni Mambo yakikaa POA anarudi ghetoni kwakeeconomic crash ya 2008
Wale wa jikoni ama unaye mshkaji anafanya kazi humo mlisoma naye ama mmekuwa naye kitaa. Mkikutana jioni mcity baada ya kazi anakupa za ndani chumbani.Jamaa alinielezea kwa nn inapanda na kwa nn yy akazidi kushort,
Ilikua kwamba $SVB walivyokua hawana cash ya kutosha na baada ya kuuza MBS zao kwa loss wakaona waissue na wauze shares zaidi, sasa mauzo ya hizo shares ndo yakasababisha ipande kdg ila kwa walokua na taarifa za kwamba SVB waliuza MBS zao toka mwisho wa mwaka jana kwa loss ndio wakawa wanacheza na charts tu. Taarifa ziliposambaa zaidi kwamba jamaa hawana cash ndipo downfall ikatokea, ila hizo taarifa kuna watu walikua nazo toka december mwaka jana
Ukiachana na initial capital bado kununua haiwezekani kama ww ni mtanzania unless utumie mtu kama proxy wako anaekaa nchi inayoruhusiwaUnanunua sema initial capital ndio imechangamka na sio leveraged Kama hizi CFD. Ila still na hizi CFD Kama upo poa unameki 💰 💰 mbona Ila ama huwezi hold muda mrefu Mana daily swap zitamaliza faida yote ama kuongeza hasara. Huyo jamaa aliyekupa info kuwa naye karibu mno. Sie tunapata level two data najua wapo wanaopata level one dataor information faster mno
haiwezekani kama ww ni mtanzania
Hawa hapo juu umeshajaribu wote. Ila pia Kuna habari nzuri jamaa wanakuja kufungua bank yao Kenya nadhani Ni meril lunch Kama sio jp Morgan so nadhani tutafanya ishu kubwa Ni skills and experience Basi. Usiwe unapendelea brokers ambao wako registered na Cyprus sijui wapi huko Kama Seychelles,Bahamas,nk Mana huko hawana very strict rules za ku regulate brokers wa investment stocks or wa cfdNmeshajaribu hadi FlowBank ya uswizi ukiachilia mbali brokers kadhaa kutoka Cyprus lkn wananambia siruhusiwi sababu TZ ni blacklisted.
Mkuu hapo hayupo hata mmoja anaepokea wateja kutoka TZ, yaan umeweka hadi Robinhood kweli?NerdWallet's Best Online Stock Brokers for Beginners of March 2023
- Fidelity
- E*TRADE
- Merrill Edge
- Interactive Brokers IBKR Lite
- J.P. Morgan Self-Directed Investing
- Vanguard
- TD Ameritrade
- Ally Invest
- Robinhood
- Firstrade
- Charles Schwab
Hawa hapo juu umeshajaribu wote. Ila pia Kuna habari nzuri jamaa wanakuja kufungua bank yao Kenya nadhani Ni meril lunch Kama sio jp Morgan so nadhani tutafanya ishu kubwa Ni skills and experience Basi. Usiwe unapendelea brokers ambao wako registered na Cyprus sijui wapi huko Kama Seychelles,Bahamas,nk Mana huko hawana very strict rules za ku regulate brokers wa investment stocks or wa cfd
Na ndo maana inabidi uwatumie hao, baniani mbaya kiatu chake dawa.Cyprus sijui wapi huko Kama Seychelles,Bahamas,nk Mana huko hawana very strict rules za ku regulate brokers wa investment stocks or wa cfd
Mie nimekuuliza tu kuwa umewajaribu. Huyo akakubali USA tu nadhani.Mkuu hapo hayupo hata mmoja anaepokea wateja kutoka TZ, yaan umeweka hadi Robinhood kweli?
Labda unioneshe proof, I'm in this fulltime practically, I cant wait to learn something new from u.
Hapo nmejaribu Amertrade na robinhood tu, hao wengine nasoma terms tu naona hawatoniruhusu hata kabla ya kusignup sababu wanakua wameelezea kila kitu kwenye masharti yao, baadhi pia wana list ya nchi zinazoruhusiwa na sikuikuta TanzaniaMie nimekuuliza tu kuwa umewajaribu. Huyo akakubali USA tu nadhani.
Yes ,huwa wana list nchi nadhaniHapo nmejaribu Amertrade na robinhood tu, hao wengine nasoma terms tu naona hawatoniruhusu hata kabla ya kusignup sababu wanakua wameelezea kila kitu kwenye masharti yao, baadhi pia wana list ya nchi zinazoruhusiwa na sikuikuta Tanzania
Ivi ukitaka kununua stock za nje ni application ipi inatumikaHello bosses and rosses...
Leo nmekaa mahala fln nikakumbuka pilikapilika za COVID-19. Kipindi hicho yalitokea mengi sana kwenye historia ya uchumi wa dunia, likiwemo lile ya bei ya mafuta ghafi(crude oil) kufikia zero hadi negative. Hapa nchini kwetu nakumbuka the rate Magufuli (RIP) alipeleka sampuli feki kwa mkemia mkuu zikakutwa na Covid (hahahahahahaaa)
Kilichofanya niandike huu uzi ni trade moja alofanya huyu jamaa anaitwa Bill Ackman, Bill ni bilionea mwekezaji na mfanyabiashara wa kimarekani na anamiliki Hedge fund pia.
View attachment 2562655
Huyu jamaa alipoona crisis ya COVID-19 mwanzon kabisa alibet kwamba taasisi/makampuni mengi yata-default kwenye bonds zao, hivyo yeye aliamua kununua securities fln zinaitwa CDS. Kiufupi CDS ni kama bima ila kwenye mikopo na bonds.
Kiufupi kabisa mfano mimi nikaenda kuchukua mkopo bank, bank ikanipa mkopo lkn ikaja kuona nina hatari ya kushindwa kuulipa(default) basi wanaweza kwenda kununua CDS kwenye taasisi inayouza hizo securities, ni kama BIMA fln tu. Sasa bank ikishanunua CDS kutoka kwa hio taasisi basi endapo mimi nitashindwa kulipa huo mkopo then hio taasisi itabidi kuilipa bank kiasi kilichobaki pamoja na interest. LAKINI ndani ya muda huo wa mkopo bank inakua inalipia fee fln kila mwezi/kila mwaka (ni kama premium kwenye bima) kwenda kwa hio taasisi iliowauzia CDS.
Kama umenielewa basi utaona endapo mwekezaji akinunua CDS anategemea kwamba BONDS zitadefault ili apate faida.
Sasa Bill Ackman alichofanya ni kununua CDS ambazo ilibidi awe analipia premium ya $27m kila mwezi, ambayo kwa mwaka inakua $324m. Na kinachomfanya jamaa awe legend ni kwamba aliingia at the right time, sababu baada ya kununua tu hizo CDS ndani ya mwezi mmoja zile bonds alizobet against zikadefault. Hio inamaanisha alilipia premium ya mwezi mmoja tu yaan $27m na baada ya mwezi ikageuka kuwa $2.6b. Hii trade ni kati ya trades kubwa sana kwa kizazi chetu. Na imeigizwa kwenye Season 2 ya HBO TV series INDUSTRY.
kali linux
Wanakuja kwenye hii generation ya 2000's wapo wengi tuh sema ndio bado wanajikusanya kwanzaHivi kwanini Tanzania hatuna watu kama hawa? Carl, Auckman, Soros?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huwa Ni wakala ama brokers unatumia kununulia sio kuwa app gani.Ivi ukitaka kununua stock za nje ni application ipi inatumika
Okay broker ganiHuwa Ni wakala ama brokers unatumia kununulia sio kuwa app gani.
Ama umeuliza mfano wa mt4 inavyotumika kwenye cfd speculation world so na huko na huko nako wanatumia app gani