Namna Mwekezaji Bill Ackman alivyogeuza $27m kuwa $2.6b ndani ya mwezi mmoja (almost 10,000% ROI)

Hivi kwanini Tanzania hatuna watu kama hawa? Carl, Auckman, Soros?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwanza access ya markets hamna.

Bongo utanunua CDS kutokea wapi? Hata US stock tu au Stock options huwezi nunua utaishia kupata CFDs tu.

Mambo kama analysis na speculation kila mtu mwenye knowledge na ambae yuko informed anaweza fanya regardless ni mtanzania au mzungu.

Mfano issue ya $SVB nilikua informed na jamaa fln wiki kabla, cha kushangaza nacheki charts nikaona inapanda, jamaa akanitumia screenshot kwamba ka-short zaidi na akasema itablow soon. Five days later ngoma chali, the thing ni knowledge, information na access ya market
 
US stock tu au Stock options huwezi nunua utaishia kupata CFDs tu.
Unanunua sema initial capital ndio imechangamka na sio leveraged Kama hizi CFD. Ila still na hizi CFD Kama upo poa unameki 💰 💰 mbona Ila ama huwezi hold muda mrefu Mana daily swap zitamaliza faida yote ama kuongeza hasara. Huyo jamaa aliyekupa info kuwa naye karibu mno. Sie tunapata level two data najua wapo wanaopata level one dataor information faster mno
 
Wale wa jikoni ama unaye mshkaji anafanya kazi humo mlisoma naye ama mmekuwa naye kitaa. Mkikutana jioni mcity baada ya kazi anakupa za ndani chumbani.
Ingawa Kuna jamaa mmoja ameshawahi fungwa ama shtakiwa kwa ki trade with inside information,anamiliki hedge fund so alilipa almost $900M Kama sio bilioni hivi. Alikuwa ni Steven Cohen huyu jamaa aliotea game
 
Ukiachana na initial capital bado kununua haiwezekani kama ww ni mtanzania unless utumie mtu kama proxy wako anaekaa nchi inayoruhusiwa

Nmeshajaribu hadi FlowBank ya uswizi ukiachilia mbali brokers kadhaa kutoka Cyprus lkn wananambia siruhusiwi sababu TZ ni blacklisted.

CFDs nzr tu kwa hedging ili kula points za hz flactuations endapo unajua trade itapay within a day or two lkn kwa long term trader itakuumiza sana na hakuna faida nzr utapata.

Ukiwa na access ya kununua both stock na stock options, af uko informed na una knowledge ya hiz mambo basi utajiri upo wazi kabisa
 
haiwezekani kama ww ni mtanzania

NerdWallet's Best Online Stock Brokers for Beginners of March 2023​

 
Mkuu hapo hayupo hata mmoja anaepokea wateja kutoka TZ, yaan umeweka hadi Robinhood kweli?

Labda unioneshe proof, I'm in this fulltime practically, I cant wait to learn something new from u.
 
Cyprus sijui wapi huko Kama Seychelles,Bahamas,nk Mana huko hawana very strict rules za ku regulate brokers wa investment stocks or wa cfd
Na ndo maana inabidi uwatumie hao, baniani mbaya kiatu chake dawa.

Wao wanapokea hata pesa za magaidi ndo maana nikajaribu baada ya kila kona kushindikana, ila the bad news ni hawakuruhusu kutrade real Stocks
 
Mie nimekuuliza tu kuwa umewajaribu. Huyo akakubali USA tu nadhani.
Hapo nmejaribu Amertrade na robinhood tu, hao wengine nasoma terms tu naona hawatoniruhusu hata kabla ya kusignup sababu wanakua wameelezea kila kitu kwenye masharti yao, baadhi pia wana list ya nchi zinazoruhusiwa na sikuikuta Tanzania
 
Ila stocks ukisubiria ule muda ambao wawekezaji Wana wenge Mana hela zao zinashuka Kama korona hivi hapo wewe ndipo unapokuwa greedy unanunua kinyama wakati wengine wanauza wanaogopa kufilisika. So hapa Warren anasema be greedy when others are fearful and vice versa
 
Ivi ukitaka kununua stock za nje ni application ipi inatumika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…