Namna nilivyonusurika kufa kwenye ajali ya gari, Bongo unakufa huku unajiona

Namna nilivyonusurika kufa kwenye ajali ya gari, Bongo unakufa huku unajiona

Aiseh mkuu pole sana.....me nakumbuka kabla ya mwaka mpya....nlikua ndani kwangu nmelala gafla nkasikia kishindo kikubwa nje me naish karibu na barabara.....basi roho inanambia toka nje nkajisogeza mdogo mdogo kufika sehem ya tukio nkaona watu kama watatu mmja ni mwanamke analia kwa uchungu sana.......kumuangalia usoni bwana we nkamjua ni Dem wa mshikaji.......nkaanza kuomba msaada tumsaidie huyo dada....hakuna anaenisikiliza.....ikabid nitafute namba ya mshikaji.... mshikaji akasema ametuma mtu aje.....hapo nishahangaika mno Sina hata mtu wa kunisaidia.....badae akaja traffic ndo kumpeleka huyo dada hospital......kumbe alipasuka figo yule dada akawa amefariki........ nakumbuka hyo siku nlikua na mia 800 ndani ...... nkasema Mungu naomba unipatie maisha mazuri niweze kuwasaidia watu kipindi Cha shida

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Apo ulitamani uwe na gari umkimbize hospital chap
 
Kwema wadau?

Mwaka huu mwanzoni nikiwa nimetoka kusheherekea sikukuu ya mwaka mpya na nikiwa nimefanya maombi ya mipango yangu mingi kwa mwaka huu na kumsihi sana Mungu wangu aliye hai anijalie afya, uhai, furaha na amani tu mengine nayaweza hayanisumbui kabisa, basi sikuwa najua siku chache zijazo nitakutana na jambo baya na la kutisha kiasi icho.

Siku ya Tukio;

Nikiwa nawahi zangu kwenye majukumu yangu ya kikazi asubuhi kabisa hapa ndani ya Dar es Salaam tena nikiwa sina hofu wala kuwaza lolote, ile wazungu wanaita "the fear of unknown" kwamba kama kuna jambo baya linaenda kutokea basi kuna ishara flani huwa zinakusumbua kama kukosa amani and so, but mie siku hiyo haikuwa hivyo wala na nilikuwa nawaza tu niwahi kufika ofisini.

Ni asubuhi hio nikiwa ktk mwendo wa kawaida kabisa katika chombo private tu, ghafla kitu kikaniambia "be very careful" na nikaitii hii sauti so nikapunguza kabisa mwendo wa chombo changu na nikawa kawaida kabisa, haikupita hata dk 10 mbele yangu nikaona daladala mbili zinafukuzana kuwahiana abiria, kama kawaida yao hawa mabwana na ujinga wao wa kuwawahi abiria wa mbele zao, so hizi daladala hazikuwa upande wangu zilikuwa kulia kwanguwmie nikiwa kushoto so nilikuwa naziona face to face na nikajua kila mtu ni lazima aheshimu sheria za barabara na kukaa upande wake, sasa haikuwa hivi, yule dereva aliyekuwa anapitwa akafanya kumu overtake mwenzake nadhani bila kuangalia na labda atakuwa ni mjinga wa kuzaliwa wa kweli kweli, na ikumbukwe njia ilikuwa imenyooka so nimeanza kuwaona toka ka distance flani hivi mbele yangu wakifanya huo ujinga na haikuchukua hata dakika tatu tangu nianze kuwaona na kuniletea changamoto mbaya sana, yule dereva mwingine wa daladala alie overtake bila kuangalia nadhani ile gari ilimshinda au sijui kama shetani aliingilia kati ila nilishangaa tu kishindo kanigonga face to face wakuu, aisee nilishangaa sana lakini kuja kustuka naona damu zimejaa chini ya gari langu, airbag na watu wanapiga kelele, sikuzimia wala sikuskia maumivu ila nilikuwa kwenye mshtuko mkubwa sana sana.

Ile gari ilivyonigonga na ilizima pale pale yenyewe tu na kwangu huku sikuona tena ya mbele, nikawa najipapasa nikihofu yasije yakawa mambo ya uti wa mgongo kushtuka na kushindwa kuamka forever, nikajaribu kutikisha miguu naona mguu mmoja haurespond na kama bega linaniuma hivi, sikujua tena nini kimetokea ila mguu ulivunjika, bega kustuka na huu mguu uliovunjika ni tuseme ulikuwa umepasuka na ndo chanzo cha zile damu, na hii baadae nilikuja kujua ni kwamba nilikanyaga break kwa nguvu na kunyoosha mguu kwa kukaza labda kwa kustuka au hofu so gari ilivyopigwa kwa nguvu na kubonyea so presha yake na effect ndo ikaniletea hayo madhara.

Kilichofuata kuanzia hapo ikawa sina sauti tena, naona naamriwa tu vitu na wananchi waliokuwa wamejazana pale, kila mmoja akisema hivi na mwingine akisema vile na wangine wakirekodi kwa simu tukio lile na mie mwenyewe nikiwa bado nna mstuko mkubwa sana nawaza hivi ni mimi au naota? Nikiaskia sauti mkagueni vizuri labda ameumia kichwa?

Nikaskia shauri likiendeshwa juu yangu, wananchi wakasema tumpeleke polisi tukachukue PF3, wakaja kunitoa huku naona watu wameshika vichwa wakina mama wanalia na mie sasa nikaanza kuogopa uende nimeumia sana kuliko ambavyo najiwazia wakati huo, so najaribu kusimama mwenyewe siwezi, wananibeba na wanasema twende polisi, damu kila mahala na huo ni mguu tu, japo nna maumivu ya bega na mkono lakini najishangaa nasema kwa namna damu hizi zinavyotoka huko polisi ntafika nikiwa mzima kweli? Na kwa maeneo hayo kituo cha polisi kipo wapi sasa? Na je kutokea hapo mpaka kufika Hospitali itakuaje? Naona kabisa wananchi hawana elimu juu ya kuzuia damu kutoka na i feel like labda nijisaidie ila siwezi kufanya lolote, moyo unaenda speed sana na bado niko shocked tu.

Polisi hapakuwa mbali na hawakuwa na hiyana, ni kakituo ka dogo hakukuwa na jam ni walinihudumia ndani ya dakika 5 tu nikaipata pf3 tukaondoka na wananchi ambao walikuwa wamenibeba kwenye kirikuu.

So tukaelekea hospitali na hapa ntaomba nisitaje majina ya hospitali wananchi wasije wakaamua kwenda kuzichoma moto, so nikapelekwa hospital ya wilaya, mpaka nafika hospitali hapo nadhani labda nilikuwa nimebakiza damu lita mbili tu nadhani, so jamaa hakuna wanachokifanya, manesi wananitizama tu, nikawa mkali, wakasema wewe mgonjwa unamfokea nani? Daah bongo😂😂, akaja muuguzi mmoja akanichoma sindano ya tetenasi na nyingine sijui ni nini, nikamwambia wewe bwana embu fanya kitu kuzuia damu basi, wakaanza kunizuia damu na wakafanikiwa lakini nadhani mpaka muda huo labda nilikua nna lita moja tu mwilini, nikaanza kuskia kabisa moyo unasukuma kitu kisicho kuwepo.

Lakini pale pale najiuliza ina maana nchi hii mtu anaweza kufariki kisa mguu, mkono na bega? how could that be possible? Ila nikajisemea "mimi sitokufa mahala hapa na wakati wangu bado haujafika, ewe Mungu wa haki usinichukue nikiwa katika umri huu nna deni na wewe", sasa Mungu ni muaminifu sana, baada ya kusema maneno hayo nikawa najipa moyo mkuu na imani na japo naskia sina damu na ata kuongea tu tabu, moyo una push kitu kisicho kuwepo, kazi yangu ikawa ni kurudia tu hayo maneno hapo juu, natamani labda nilale niamke nikiwa fresh ila hakuna kitu siwezi ata kusinzia au kuzimia.

Ile hospital ya wilaya wakasema hatuwezi kumtibu, mpelekeni hospital ile ya taifa, na mpaka muda huo hapo kwenye hio hospitali wamenichoma sindano mbili tu, drip ya maji na wakanipa rufaa kwenda kwenye ile hospitali nyingine baba lao.

Mpaka muda huo, wadau wangu washafika so ikabidi tutafute private ambulance sababu hio hospital wanasema ambulance ipo moja na imempeleka mgonjwa mmoja hospital ya taifa so tuisubirie na hapo tumesubiria saa na nusu haiji ndo kufanya maamuzi ya private ambulance.

Kufika kwenye ile hospital baba lao la taifa aisee kumbe bora kule wilayani ambako hawana kitu, wale wako too slow, yaani unawaona kabisa hakuna kitu kinachoweza kuwastua, wamezoea matatizo na kila mtu anapita tu ana shangaa shangaa hivi anaondoka, vijana wadogo ndo wajinga zaidi pale yaani wako sector ya emergence ila wanachezea tu simu ambazo ata ukiziangalia simu zenyewe ni tecno na samsung A series, hakuna humanity, samahani kwa kuyasema haya ila ndo nimeyaona tena emergence kabisa sasa fikiria kule kwengine ndo kupoje?

So wadau wangu wakaanza kutilia mkazo na mikwala mingi ndo na wale kuanza kunihudumia, na kila dakika hapo emergence wanaletwa watu ambao wanalia kila mtu kama anachinjwa hivi.

Sina damu na moyo unapambana sana kwa zaidi ya masaa matano sasa toka tukio litokee, naskia njaa naskia kiu na kama siwezi kupumua vizuri iv yaan nna fosi, ajab sizimii wala sisinzii, so hawa nao wakaniwekea drip za maji, nawaambia wazee nahitaji damu nitoleeni haya ma maji yenu hakuna kitu yanacho nisaidia hapa, wananiambia ngoja tukuchukue vipimo kwanza na tuone, basi wadau wangu waka fosi ki mjini mjini mambo yakaanza kukimbizwa na nini, mpaka naingia chumba cha upasuaji ni masaa 11 yamepita toka nipate ajali na damu kuniisha mwilini.

Basi baadae nikaingia wodini tena na nini, kuanza kupona sasa na nini ila expirience ambayo sio ya kuombea.

Namshukuru Mungu wangu alie mkuu sana, sikufa siku ile na sitarajii kufaa miaka hii hii na amenipa uhai na ataendelea kunipa uhai na tukio hili limeniweka karibu sana na yeye.

Kule wodini na tiba zingine unashangaa wataalam wanakwambia "aah kitu ichi hakiwi covered na bima ya nhif, aah hapa inabidi ulipe kiasi flani, aah kamuone flani" yaan unashangaa jambo dogo lina mlolongo mrefu ambao ni very unnecessary.

Wodini mule wadau wakaanza kunipa habari za namna watu wanavyoteseka na wengine ambao hua wanafia emergence, so scarry wazee. Bongo hauna kitu unaondoka unajiona wakuu, so hata kutafta room private nalo mpaka mchongo eti daah 😂😂 aisee.

Naomba kuishia hapo, nilitoka hospital sikumaliza hata siku saba, nilifosi nikaondoka kibishi tu na kuendelea na tiba tokea nyumbani kwangu na Mungu mwingi wa rehema na neema basi nimepona ndio niko narudi rudi na mimi kwenye majukumu yangu mengine, wale walionosababishia hayo matatizo ndo nataka kuanza kuwashughulikia sasa na sitokuwa na msamaha ktk hili. Lakini sitosahau miezi miwili iliyopita wazee nilikuwa kama niko Ukraine mstari wa mbele pale kumpinga bwana Putin asiendelee na majeshi yake kuichukua Kyiv.

Sijajua wewe umewahi kuyapata yapi au umewahi kuyaona yapi ya kuhusu ajali hizi za barabarani na experience za ma hospital yetu ambayo unaweza uka dead unajiona! Basi itakua vyema ukishare nasi basi tukapata la kujifunza.

Wasalaam.
Nilipofikia "yule dereva aliyekuwa anapitwa akafanya kumuovateki mwenzake bila kuangalia nyuma" basi nami sikutaka kuendelea kusoma nikijua hizi ni kamba.
Wikiendi njema.
 
Ebu wapumzisheni wahudumu wa Afya wanafanya mengi kuokoa Uhai na bahati mbaya huwa hawasifiwi yaani huwezi Kuja ukakuta Uzi hapa Jf unasifia mtoa huduma wa Afya ila wakienda kinyume cha matarajio yenu hamuachi kulaumu, nakuhakikishia kama wangekuwa wabaya kwa Kadri mnavyoelezea wagonjwa mahospitalini wasingepona kabisa! ebu tuwapende na kuwasapoti wanafanya kazi kwenye Mazingira magumu Sana na lakini bado wanajitoa kutuhudumia tuweke matarajio yetu pembeni na tuheshimu professionalism.
kwenye wahudumu
Ebu wapumzisheni wahudumu wa Afya wanafanya mengi kuokoa Uhai na bahati mbaya huwa hawasifiwi yaani huwezi Kuja ukakuta Uzi hapa Jf unasifia mtoa huduma wa Afya ila wakienda kinyume cha matarajio yenu hamuachi kulaumu, nakuhakikishia kama wangekuwa wabaya kwa Kadri mnavyoelezea wagonjwa mahospitalini wasingepona kabisa! ebu tuwapende na kuwasapoti wanafanya kazi kwenye Mazingira magumu Sana na lakini bado wanajitoa kutuhudumia tuweke matarajio yetu pembeni na tuheshimu professionalism.
ona hiki kisa

kuna mtoto akiwa anaongea na kutembea aliletwa na bibi yake hospital X, doctor akamuangalia mtoto akaandika diazepam inj lakin dose akasaau kuandika, nurse akachukua cheti akenda famasi akachukua diazepam 10mg, mkuu hiyo diazepam na anapewa mtoto chini ya miaka 4, nurse kavuta dawa kamdunga mtoto 10mg ya diazepam, kumbuka mtoto alikuja hospital anongea anatembea na alikuwa na uwezo wa kucheza.. baada ya mtoto kupewa hiyo dawa dakika chache tu mtoto akaanza kutetemeka nurse akaitwa, nurse akaangalia akaulizwa na wenzake umempa kiasi gan cha dawa? nurse kuangalia vizuri cheti akaanza kuogopa na yeye, baada ya kumuita doctor amsaidie nurse akaenda famasi eti kutafuta antdote ya diazepam, baada ya dakika chache zingine mtoto akaanza kutoa povu na badae akafariki. bibi wa watu alikuja na mjukuu wake akiwa mzima lakini akaondoka na msiba, kifo cha kizembe kabisaa

haya hapo huyo nurse na doctor kuna kazi gani kubwa waliifanya kwenye mazingira magumu yakupewa pongezi zaidi ya kuleta kifo cha bure bure.

kuna kesi kama hizo za kijingajinga watu wanakufaa kizembe kwa sababu ya uzembe tu.

mimi sio muandikaji sana, lakin nina vingi tu vya aina hiyoo. hospital uzembee mwingi tu, watoa huduma hawana utu, wapo waluwalu (sijui ni ujana) hawana pride na kazi zao.
 
Mkuu pole Mimi binafsi nilifiwa na baba mzazi pale reception tulifika akiwa bado mzima na anaongea wakaanza kujadiliana wampokee au raha wakafikia maamuzi yao tushakaa saa moja bila huduma na mzee aliaga dunia hapo nimemlaza mapajani mwangu kisa walihisi ni covid case. RIP father.
Doooh, mkuu pole sana aisee, i cant even imagine, Baba mzazi aisee dooh, poleni sana.
 
Chai. Kuna viashiria vingi kuwa hii ni chai. Kwa wale wataalam wanaojua makosa wanaofanya wasimulizi wa ''story chai'' wa Bongo watakubaliana na mimi.
Dogo acha ujinga, hakuna mtu wa kupoteza muda wake hapa, kwani tunalipwa? yaani niandike hayo yote ili nipate nini? Hili ni darsa huru uenda likawa msaada kwa watu wengine, by the way haujafa haujaumbika what if the next person ukawa ni wewe na tena ukasuswa mapokezi tu? si utaukumbuka huu uzi huku unatubu dhambi zako zote.
 
kwenye wahudumu

ona hiki kisa

kuna mtoto akiwa anaongea na kutembea aliletwa na bibi yake hospital X, doctor akamuangalia mtoto akaandika diazepam inj lakin dose akasaau kuandika, nurse akachukua cheti akenda famasi akachukua diazepam 10mg, mkuu hiyo diazepam na anapewa mtoto chini ya miaka 4, nurse kavuta dawa kamdunga mtoto 10mg ya diazepam, kumbuka mtoto alikuja hospital anongea anatembea na alikuwa na uwezo wa kucheza.. baada ya mtoto kupewa hiyo dawa dakika chache tu mtoto akaanza kutetemeka nurse akaitwa, nurse akaangalia akaulizwa na wenzake umempa kiasi gan cha dawa? nurse kuangalia vizuri cheti akaanza kuogopa na yeye, baada ya kumuita doctor amsaidie nurse akaenda famasi eti kutafuta antdote ya diazepam, baada ya dakika chache zingine mtoto akaanza kutoa povu na badae akafariki. bibi wa watu alikuja na mjukuu wake akiwa mzima lakini akaondoka na msiba, kifo cha kizembe kabisaa

haya hapo huyo nurse na doctor kuna kazi gani kubwa waliifanya kwenye mazingira magumu yakupewa pongezi zaidi ya kuleta kifo cha bure bure.

kuna kesi kama hizo za kijingajinga watu wanakufaa kizembe kwa sababu ya uzembe tu.

mimi sio muandikaji sana, lakin nina vingi tu vya aina hiyoo. hospital uzembee mwingi tu, watoa huduma hawana utu, wapo waluwalu (sijui ni ujana) hawana pride na kazi zao.
Doooh huyo bibi angefungua kesi ya madai, na hapo kuna pure jinai ya malpractice kabisa. So sorry aisee.
 
Watu wa daladala wa hovyo sana kuna siku hivyohivyo tupo kwenye gari wanashindana karibu na victoria tushafika kabisa safari yetu morroco jamaa mwengine akahama kaja kwetu ilibaki al manusura tupinduke dereva wetu alijitahidi akapeleka kwenye zile sehemu zakati zinazotenganisha upande yani tuliyumba mara 6 Mungu amuweke yule dereva ..Cha ajabu Magari yote kampuni moja 😂
 
Dogo acha ujinga, hakuna mtu wa kupoteza muda wake hapa, kwani tunalipwa? yaani niandike hayo yote ili nipate nini? Hili ni darsa huru uenda likawa msaada kwa watu wengine, by the way haujafa haujaumbika what if the next person ukawa ni wewe na tena ukasuswa mapokezi tu? si utaukumbuka huu uzi huku unatubu dhambi zako zote.
Fafanua hili, unataka kumpita aliyeko mbele yako lakini anaamua kukupita bila kuangalia nyuma! Mimi nilipofikia hapo sikutaka kuendelea kusoma.
 
Kwema wadau?

Mwaka huu mwanzoni nikiwa nimetoka kusheherekea sikukuu ya mwaka mpya na nikiwa nimefanya maombi ya mipango yangu mingi kwa mwaka huu na kumsihi sana Mungu wangu aliye hai anijalie afya, uhai, furaha na amani tu mengine nayaweza hayanisumbui kabisa, basi sikuwa najua siku chache zijazo nitakutana na jambo baya na la kutisha kiasi icho.

Siku ya Tukio;

Nikiwa nawahi zangu kwenye majukumu yangu ya kikazi asubuhi kabisa hapa ndani ya Dar es Salaam tena nikiwa sina hofu wala kuwaza lolote, ile wazungu wanaita "the fear of unknown" kwamba kama kuna jambo baya linaenda kutokea basi kuna ishara flani huwa zinakusumbua kama kukosa amani and so, but mie siku hiyo haikuwa hivyo wala na nilikuwa nawaza tu niwahi kufika ofisini.

Ni asubuhi hio nikiwa ktk mwendo wa kawaida kabisa katika chombo private tu, ghafla kitu kikaniambia "be very careful" na nikaitii hii sauti so nikapunguza kabisa mwendo wa chombo changu na nikawa kawaida kabisa, haikupita hata dk 10 mbele yangu nikaona daladala mbili zinafukuzana kuwahiana abiria, kama kawaida yao hawa mabwana na ujinga wao wa kuwawahi abiria wa mbele zao, so hizi daladala hazikuwa upande wangu zilikuwa kulia kwanguwmie nikiwa kushoto so nilikuwa naziona face to face na nikajua kila mtu ni lazima aheshimu sheria za barabara na kukaa upande wake, sasa haikuwa hivi, yule dereva aliyekuwa anapitwa akafanya kumu overtake mwenzake nadhani bila kuangalia na labda atakuwa ni mjinga wa kuzaliwa wa kweli kweli, na ikumbukwe njia ilikuwa imenyooka so nimeanza kuwaona toka ka distance flani hivi mbele yangu wakifanya huo ujinga na haikuchukua hata dakika tatu tangu nianze kuwaona na kuniletea changamoto mbaya sana, yule dereva mwingine wa daladala alie overtake bila kuangalia nadhani ile gari ilimshinda au sijui kama shetani aliingilia kati ila nilishangaa tu kishindo kanigonga face to face wakuu, aisee nilishangaa sana lakini kuja kustuka naona damu zimejaa chini ya gari langu, airbag na watu wanapiga kelele, sikuzimia wala sikuskia maumivu ila nilikuwa kwenye mshtuko mkubwa sana sana.

Ile gari ilivyonigonga na ilizima pale pale yenyewe tu na kwangu huku sikuona tena ya mbele, nikawa najipapasa nikihofu yasije yakawa mambo ya uti wa mgongo kushtuka na kushindwa kuamka forever, nikajaribu kutikisha miguu naona mguu mmoja haurespond na kama bega linaniuma hivi, sikujua tena nini kimetokea ila mguu ulivunjika, bega kustuka na huu mguu uliovunjika ni tuseme ulikuwa umepasuka na ndo chanzo cha zile damu, na hii baadae nilikuja kujua ni kwamba nilikanyaga break kwa nguvu na kunyoosha mguu kwa kukaza labda kwa kustuka au hofu so gari ilivyopigwa kwa nguvu na kubonyea so presha yake na effect ndo ikaniletea hayo madhara.

Kilichofuata kuanzia hapo ikawa sina sauti tena, naona naamriwa tu vitu na wananchi waliokuwa wamejazana pale, kila mmoja akisema hivi na mwingine akisema vile na wangine wakirekodi kwa simu tukio lile na mie mwenyewe nikiwa bado nna mstuko mkubwa sana nawaza hivi ni mimi au naota? Nikiaskia sauti mkagueni vizuri labda ameumia kichwa?

Nikaskia shauri likiendeshwa juu yangu, wananchi wakasema tumpeleke polisi tukachukue PF3, wakaja kunitoa huku naona watu wameshika vichwa wakina mama wanalia na mie sasa nikaanza kuogopa uende nimeumia sana kuliko ambavyo najiwazia wakati huo, so najaribu kusimama mwenyewe siwezi, wananibeba na wanasema twende polisi, damu kila mahala na huo ni mguu tu, japo nna maumivu ya bega na mkono lakini najishangaa nasema kwa namna damu hizi zinavyotoka huko polisi ntafika nikiwa mzima kweli? Na kwa maeneo hayo kituo cha polisi kipo wapi sasa? Na je kutokea hapo mpaka kufika Hospitali itakuaje? Naona kabisa wananchi hawana elimu juu ya kuzuia damu kutoka na i feel like labda nijisaidie ila siwezi kufanya lolote, moyo unaenda speed sana na bado niko shocked tu.

Polisi hapakuwa mbali na hawakuwa na hiyana, ni kakituo ka dogo hakukuwa na jam ni walinihudumia ndani ya dakika 5 tu nikaipata pf3 tukaondoka na wananchi ambao walikuwa wamenibeba kwenye kirikuu.

So tukaelekea hospitali na hapa ntaomba nisitaje majina ya hospitali wananchi wasije wakaamua kwenda kuzichoma moto, so nikapelekwa hospital ya wilaya, mpaka nafika hospitali hapo nadhani labda nilikuwa nimebakiza damu lita mbili tu nadhani, so jamaa hakuna wanachokifanya, manesi wananitizama tu, nikawa mkali, wakasema wewe mgonjwa unamfokea nani? Daah bongo😂😂, akaja muuguzi mmoja akanichoma sindano ya tetenasi na nyingine sijui ni nini, nikamwambia wewe bwana embu fanya kitu kuzuia damu basi, wakaanza kunizuia damu na wakafanikiwa lakini nadhani mpaka muda huo labda nilikua nna lita moja tu mwilini, nikaanza kuskia kabisa moyo unasukuma kitu kisicho kuwepo.

Lakini pale pale najiuliza ina maana nchi hii mtu anaweza kufariki kisa mguu, mkono na bega? how could that be possible? Ila nikajisemea "mimi sitokufa mahala hapa na wakati wangu bado haujafika, ewe Mungu wa haki usinichukue nikiwa katika umri huu nna deni na wewe", sasa Mungu ni muaminifu sana, baada ya kusema maneno hayo nikawa najipa moyo mkuu na imani na japo naskia sina damu na ata kuongea tu tabu, moyo una push kitu kisicho kuwepo, kazi yangu ikawa ni kurudia tu hayo maneno hapo juu, natamani labda nilale niamke nikiwa fresh ila hakuna kitu siwezi ata kusinzia au kuzimia.

Ile hospital ya wilaya wakasema hatuwezi kumtibu, mpelekeni hospital ile ya taifa, na mpaka muda huo hapo kwenye hio hospitali wamenichoma sindano mbili tu, drip ya maji na wakanipa rufaa kwenda kwenye ile hospitali nyingine baba lao.

Mpaka muda huo, wadau wangu washafika so ikabidi tutafute private ambulance sababu hio hospital wanasema ambulance ipo moja na imempeleka mgonjwa mmoja hospital ya taifa so tuisubirie na hapo tumesubiria saa na nusu haiji ndo kufanya maamuzi ya private ambulance.

Kufika kwenye ile hospital baba lao la taifa aisee kumbe bora kule wilayani ambako hawana kitu, wale wako too slow, yaani unawaona kabisa hakuna kitu kinachoweza kuwastua, wamezoea matatizo na kila mtu anapita tu ana shangaa shangaa hivi anaondoka, vijana wadogo ndo wajinga zaidi pale yaani wako sector ya emergence ila wanachezea tu simu ambazo ata ukiziangalia simu zenyewe ni tecno na samsung A series, hakuna humanity, samahani kwa kuyasema haya ila ndo nimeyaona tena emergence kabisa sasa fikiria kule kwengine ndo kupoje?

So wadau wangu wakaanza kutilia mkazo na mikwala mingi ndo na wale kuanza kunihudumia, na kila dakika hapo emergence wanaletwa watu ambao wanalia kila mtu kama anachinjwa hivi.

Sina damu na moyo unapambana sana kwa zaidi ya masaa matano sasa toka tukio litokee, naskia njaa naskia kiu na kama siwezi kupumua vizuri iv yaan nna fosi, ajab sizimii wala sisinzii, so hawa nao wakaniwekea drip za maji, nawaambia wazee nahitaji damu nitoleeni haya ma maji yenu hakuna kitu yanacho nisaidia hapa, wananiambia ngoja tukuchukue vipimo kwanza na tuone, basi wadau wangu waka fosi ki mjini mjini mambo yakaanza kukimbizwa na nini, mpaka naingia chumba cha upasuaji ni masaa 11 yamepita toka nipate ajali na damu kuniisha mwilini.

Basi baadae nikaingia wodini tena na nini, kuanza kupona sasa na nini ila expirience ambayo sio ya kuombea.

Namshukuru Mungu wangu alie mkuu sana, sikufa siku ile na sitarajii kufaa miaka hii hii na amenipa uhai na ataendelea kunipa uhai na tukio hili limeniweka karibu sana na yeye.

Kule wodini na tiba zingine unashangaa wataalam wanakwambia "aah kitu ichi hakiwi covered na bima ya nhif, aah hapa inabidi ulipe kiasi flani, aah kamuone flani" yaan unashangaa jambo dogo lina mlolongo mrefu ambao ni very unnecessary.

Wodini mule wadau wakaanza kunipa habari za namna watu wanavyoteseka na wengine ambao hua wanafia emergence, so scarry wazee. Bongo hauna kitu unaondoka unajiona wakuu, so hata kutafta room private nalo mpaka mchongo eti daah 😂😂 aisee.

Naomba kuishia hapo, nilitoka hospital sikumaliza hata siku saba, nilifosi nikaondoka kibishi tu na kuendelea na tiba tokea nyumbani kwangu na Mungu mwingi wa rehema na neema basi nimepona ndio niko narudi rudi na mimi kwenye majukumu yangu mengine, wale walionosababishia hayo matatizo ndo nataka kuanza kuwashughulikia sasa na sitokuwa na msamaha ktk hili. Lakini sitosahau miezi miwili iliyopita wazee nilikuwa kama niko Ukraine mstari wa mbele pale kumpinga bwana Putin asiendelee na majeshi yake kuichukua Kyiv.

Sijajua wewe umewahi kuyapata yapi au umewahi kuyaona yapi ya kuhusu ajali hizi za barabarani na experience za ma hospital yetu ambayo unaweza uka dead unajiona! Basi itakua vyema ukishare nasi basi tukapata la kujifunza.

Wasalaam.
Pole sn mkuu
 
Fafanua hili, unataka kumpita aliyeko mbele yako lakini anaamua kukupita bila kuangalia nyuma! Mimi nilipofikia hapo sikutaka kuendelea kusoma.

Hapa mleta mada amechanganya kidogo maelezo sijui labda sabab ya ajali…..

Kwanza kabsa gari zilkua znaenda one direction ile single phase sasa kilichotokea ni hiki……..huyu dereva aliokuwa nyuma kipindi ana overtake tayari alikua ameingiza gari kwenye line ya pili(upande ambao bro alikua anakuja na gari yake hapa wangekutana uso kwa uso)…

Ilibid busara itumike ambayo ni dereva wa gari ilyokua kushoto amuachie jamaa apite kiroho safi maana yeye tayari anakua mtu ambaye kwanza ajali anaiona kabsa hii hapa lakin pia alkua na uwezo wa kuizuia isitokee(nidhamu ya barabara) kibaya zaid na yeye akaamua kukaza ubongo…

Pia inategemea na hali ya barabara ilkuaje na watumiaji wengine wako vip,hapo ilibid bro(aliepata ajal) aweke gari pemben yaan atoke barabaran kabsa huku akiangalia usalama(udereva wa kujihami)…

Yote kwa yote pole sana bro kwa ajali naelewa nn maana ya ajal na huwa inatokea within seconds tu inahitaji akili ya haraka kuzuia unachokiona mbele
 
Afrika ni kama njia panda ya kuzimu...kuna mambo ya kipumbavu sana huwezi imagine kabisa

Watu wengi sana wamepoteza uhai kwa makosa ya makusudi ya wenye walau kuweza okoa maisha ya watu...
 
Kwema wadau?

Mwaka huu mwanzoni nikiwa nimetoka kusheherekea sikukuu ya mwaka mpya na nikiwa nimefanya maombi ya mipango yangu mingi kwa mwaka huu na kumsihi sana Mungu wangu aliye hai anijalie afya, uhai, furaha na amani tu mengine nayaweza hayanisumbui kabisa, basi sikuwa najua siku chache zijazo nitakutana na jambo baya na la kutisha kiasi icho.

Siku ya Tukio;

Nikiwa nawahi zangu kwenye majukumu yangu ya kikazi asubuhi kabisa hapa ndani ya Dar es Salaam tena nikiwa sina hofu wala kuwaza lolote, ile wazungu wanaita "the fear of unknown" kwamba kama kuna jambo baya linaenda kutokea basi kuna ishara flani huwa zinakusumbua kama kukosa amani and so, but mie siku hiyo haikuwa hivyo wala na nilikuwa nawaza tu niwahi kufika ofisini.

Ni asubuhi hio nikiwa ktk mwendo wa kawaida kabisa katika chombo private tu, ghafla kitu kikaniambia "be very careful" na nikaitii hii sauti so nikapunguza kabisa mwendo wa chombo changu na nikawa kawaida kabisa, haikupita hata dk 10 mbele yangu nikaona daladala mbili zinafukuzana kuwahiana abiria, kama kawaida yao hawa mabwana na ujinga wao wa kuwawahi abiria wa mbele zao, so hizi daladala hazikuwa upande wangu zilikuwa kulia kwanguwmie nikiwa kushoto so nilikuwa naziona face to face na nikajua kila mtu ni lazima aheshimu sheria za barabara na kukaa upande wake, sasa haikuwa hivi, yule dereva aliyekuwa anapitwa akafanya kumu overtake mwenzake nadhani bila kuangalia na labda atakuwa ni mjinga wa kuzaliwa wa kweli kweli, na ikumbukwe njia ilikuwa imenyooka so nimeanza kuwaona toka ka distance flani hivi mbele yangu wakifanya huo ujinga na haikuchukua hata dakika tatu tangu nianze kuwaona na kuniletea changamoto mbaya sana, yule dereva mwingine wa daladala alie overtake bila kuangalia nadhani ile gari ilimshinda au sijui kama shetani aliingilia kati ila nilishangaa tu kishindo kanigonga face to face wakuu, aisee nilishangaa sana lakini kuja kustuka naona damu zimejaa chini ya gari langu, airbag na watu wanapiga kelele, sikuzimia wala sikuskia maumivu ila nilikuwa kwenye mshtuko mkubwa sana sana.

Ile gari ilivyonigonga na ilizima pale pale yenyewe tu na kwangu huku sikuona tena ya mbele, nikawa najipapasa nikihofu yasije yakawa mambo ya uti wa mgongo kushtuka na kushindwa kuamka forever, nikajaribu kutikisha miguu naona mguu mmoja haurespond na kama bega linaniuma hivi, sikujua tena nini kimetokea ila mguu ulivunjika, bega kustuka na huu mguu uliovunjika ni tuseme ulikuwa umepasuka na ndo chanzo cha zile damu, na hii baadae nilikuja kujua ni kwamba nilikanyaga break kwa nguvu na kunyoosha mguu kwa kukaza labda kwa kustuka au hofu so gari ilivyopigwa kwa nguvu na kubonyea so presha yake na effect ndo ikaniletea hayo madhara.

Kilichofuata kuanzia hapo ikawa sina sauti tena, naona naamriwa tu vitu na wananchi waliokuwa wamejazana pale, kila mmoja akisema hivi na mwingine akisema vile na wangine wakirekodi kwa simu tukio lile na mie mwenyewe nikiwa bado nna mstuko mkubwa sana nawaza hivi ni mimi au naota? Nikiaskia sauti mkagueni vizuri labda ameumia kichwa?

Nikaskia shauri likiendeshwa juu yangu, wananchi wakasema tumpeleke polisi tukachukue PF3, wakaja kunitoa huku naona watu wameshika vichwa wakina mama wanalia na mie sasa nikaanza kuogopa uende nimeumia sana kuliko ambavyo najiwazia wakati huo, so najaribu kusimama mwenyewe siwezi, wananibeba na wanasema twende polisi, damu kila mahala na huo ni mguu tu, japo nna maumivu ya bega na mkono lakini najishangaa nasema kwa namna damu hizi zinavyotoka huko polisi ntafika nikiwa mzima kweli? Na kwa maeneo hayo kituo cha polisi kipo wapi sasa? Na je kutokea hapo mpaka kufika Hospitali itakuaje? Naona kabisa wananchi hawana elimu juu ya kuzuia damu kutoka na i feel like labda nijisaidie ila siwezi kufanya lolote, moyo unaenda speed sana na bado niko shocked tu.

Polisi hapakuwa mbali na hawakuwa na hiyana, ni kakituo ka dogo hakukuwa na jam ni walinihudumia ndani ya dakika 5 tu nikaipata pf3 tukaondoka na wananchi ambao walikuwa wamenibeba kwenye kirikuu.

So tukaelekea hospitali na hapa ntaomba nisitaje majina ya hospitali wananchi wasije wakaamua kwenda kuzichoma moto, so nikapelekwa hospital ya wilaya, mpaka nafika hospitali hapo nadhani labda nilikuwa nimebakiza damu lita mbili tu nadhani, so jamaa hakuna wanachokifanya, manesi wananitizama tu, nikawa mkali, wakasema wewe mgonjwa unamfokea nani? Daah bongo😂😂, akaja muuguzi mmoja akanichoma sindano ya tetenasi na nyingine sijui ni nini, nikamwambia wewe bwana embu fanya kitu kuzuia damu basi, wakaanza kunizuia damu na wakafanikiwa lakini nadhani mpaka muda huo labda nilikua nna lita moja tu mwilini, nikaanza kuskia kabisa moyo unasukuma kitu kisicho kuwepo.

Lakini pale pale najiuliza ina maana nchi hii mtu anaweza kufariki kisa mguu, mkono na bega? how could that be possible? Ila nikajisemea "mimi sitokufa mahala hapa na wakati wangu bado haujafika, ewe Mungu wa haki usinichukue nikiwa katika umri huu nna deni na wewe", sasa Mungu ni muaminifu sana, baada ya kusema maneno hayo nikawa najipa moyo mkuu na imani na japo naskia sina damu na ata kuongea tu tabu, moyo una push kitu kisicho kuwepo, kazi yangu ikawa ni kurudia tu hayo maneno hapo juu, natamani labda nilale niamke nikiwa fresh ila hakuna kitu siwezi ata kusinzia au kuzimia.

Ile hospital ya wilaya wakasema hatuwezi kumtibu, mpelekeni hospital ile ya taifa, na mpaka muda huo hapo kwenye hio hospitali wamenichoma sindano mbili tu, drip ya maji na wakanipa rufaa kwenda kwenye ile hospitali nyingine baba lao.

Mpaka muda huo, wadau wangu washafika so ikabidi tutafute private ambulance sababu hio hospital wanasema ambulance ipo moja na imempeleka mgonjwa mmoja hospital ya taifa so tuisubirie na hapo tumesubiria saa na nusu haiji ndo kufanya maamuzi ya private ambulance.

Kufika kwenye ile hospital baba lao la taifa aisee kumbe bora kule wilayani ambako hawana kitu, wale wako too slow, yaani unawaona kabisa hakuna kitu kinachoweza kuwastua, wamezoea matatizo na kila mtu anapita tu ana shangaa shangaa hivi anaondoka, vijana wadogo ndo wajinga zaidi pale yaani wako sector ya emergence ila wanachezea tu simu ambazo ata ukiziangalia simu zenyewe ni tecno na samsung A series, hakuna humanity, samahani kwa kuyasema haya ila ndo nimeyaona tena emergence kabisa sasa fikiria kule kwengine ndo kupoje?

So wadau wangu wakaanza kutilia mkazo na mikwala mingi ndo na wale kuanza kunihudumia, na kila dakika hapo emergence wanaletwa watu ambao wanalia kila mtu kama anachinjwa hivi.

Sina damu na moyo unapambana sana kwa zaidi ya masaa matano sasa toka tukio litokee, naskia njaa naskia kiu na kama siwezi kupumua vizuri iv yaan nna fosi, ajab sizimii wala sisinzii, so hawa nao wakaniwekea drip za maji, nawaambia wazee nahitaji damu nitoleeni haya ma maji yenu hakuna kitu yanacho nisaidia hapa, wananiambia ngoja tukuchukue vipimo kwanza na tuone, basi wadau wangu waka fosi ki mjini mjini mambo yakaanza kukimbizwa na nini, mpaka naingia chumba cha upasuaji ni masaa 11 yamepita toka nipate ajali na damu kuniisha mwilini.

Basi baadae nikaingia wodini tena na nini, kuanza kupona sasa na nini ila expirience ambayo sio ya kuombea.

Namshukuru Mungu wangu alie mkuu sana, sikufa siku ile na sitarajii kufaa miaka hii hii na amenipa uhai na ataendelea kunipa uhai na tukio hili limeniweka karibu sana na yeye.

Kule wodini na tiba zingine unashangaa wataalam wanakwambia "aah kitu ichi hakiwi covered na bima ya nhif, aah hapa inabidi ulipe kiasi flani, aah kamuone flani" yaan unashangaa jambo dogo lina mlolongo mrefu ambao ni very unnecessary.

Wodini mule wadau wakaanza kunipa habari za namna watu wanavyoteseka na wengine ambao hua wanafia emergence, so scarry wazee. Bongo hauna kitu unaondoka unajiona wakuu, so hata kutafta room private nalo mpaka mchongo eti daah 😂😂 aisee.

Naomba kuishia hapo, nilitoka hospital sikumaliza hata siku saba, nilifosi nikaondoka kibishi tu na kuendelea na tiba tokea nyumbani kwangu na Mungu mwingi wa rehema na neema basi nimepona ndio niko narudi rudi na mimi kwenye majukumu yangu mengine, wale walionosababishia hayo matatizo ndo nataka kuanza kuwashughulikia sasa na sitokuwa na msamaha ktk hili. Lakini sitosahau miezi miwili iliyopita wazee nilikuwa kama niko Ukraine mstari wa mbele pale kumpinga bwana Putin asiendelee na majeshi yake kuichukua Kyiv.

Sijajua wewe umewahi kuyapata yapi au umewahi kuyaona yapi ya kuhusu ajali hizi za barabarani na experience za ma hospital yetu ambayo unaweza uka dead unajiona! Basi itakua vyema ukishare nasi basi tukapata la kujifunza.

Wasalaam.
pole sana sana
 
Kwema wadau?

Mwaka huu mwanzoni nikiwa nimetoka kusheherekea sikukuu ya mwaka mpya na nikiwa nimefanya maombi ya mipango yangu mingi kwa mwaka huu na kumsihi sana Mungu wangu aliye hai anijalie afya, uhai, furaha na amani tu mengine nayaweza hayanisumbui kabisa, basi sikuwa najua siku chache zijazo nitakutana na jambo baya na la kutisha kiasi icho.

Siku ya Tukio;

Nikiwa nawahi zangu kwenye majukumu yangu ya kikazi asubuhi kabisa hapa ndani ya Dar es Salaam tena nikiwa sina hofu wala kuwaza lolote, ile wazungu wanaita "the fear of unknown" kwamba kama kuna jambo baya linaenda kutokea basi kuna ishara flani huwa zinakusumbua kama kukosa amani and so, but mie siku hiyo haikuwa hivyo wala na nilikuwa nawaza tu niwahi kufika ofisini.

Ni asubuhi hio nikiwa ktk mwendo wa kawaida kabisa katika chombo private tu, ghafla kitu kikaniambia "be very careful" na nikaitii hii sauti so nikapunguza kabisa mwendo wa chombo changu na nikawa kawaida kabisa, haikupita hata dk 10 mbele yangu nikaona daladala mbili zinafukuzana kuwahiana abiria, kama kawaida yao hawa mabwana na ujinga wao wa kuwawahi abiria wa mbele zao, so hizi daladala hazikuwa upande wangu zilikuwa kulia kwanguwmie nikiwa kushoto so nilikuwa naziona face to face na nikajua kila mtu ni lazima aheshimu sheria za barabara na kukaa upande wake, sasa haikuwa hivi, yule dereva aliyekuwa anapitwa akafanya kumu overtake mwenzake nadhani bila kuangalia na labda atakuwa ni mjinga wa kuzaliwa wa kweli kweli, na ikumbukwe njia ilikuwa imenyooka so nimeanza kuwaona toka ka distance flani hivi mbele yangu wakifanya huo ujinga na haikuchukua hata dakika tatu tangu nianze kuwaona na kuniletea changamoto mbaya sana, yule dereva mwingine wa daladala alie overtake bila kuangalia nadhani ile gari ilimshinda au sijui kama shetani aliingilia kati ila nilishangaa tu kishindo kanigonga face to face wakuu, aisee nilishangaa sana lakini kuja kustuka naona damu zimejaa chini ya gari langu, airbag na watu wanapiga kelele, sikuzimia wala sikuskia maumivu ila nilikuwa kwenye mshtuko mkubwa sana sana.

Ile gari ilivyonigonga na ilizima pale pale yenyewe tu na kwangu huku sikuona tena ya mbele, nikawa najipapasa nikihofu yasije yakawa mambo ya uti wa mgongo kushtuka na kushindwa kuamka forever, nikajaribu kutikisha miguu naona mguu mmoja haurespond na kama bega linaniuma hivi, sikujua tena nini kimetokea ila mguu ulivunjika, bega kustuka na huu mguu uliovunjika ni tuseme ulikuwa umepasuka na ndo chanzo cha zile damu, na hii baadae nilikuja kujua ni kwamba nilikanyaga break kwa nguvu na kunyoosha mguu kwa kukaza labda kwa kustuka au hofu so gari ilivyopigwa kwa nguvu na kubonyea so presha yake na effect ndo ikaniletea hayo madhara.

Kilichofuata kuanzia hapo ikawa sina sauti tena, naona naamriwa tu vitu na wananchi waliokuwa wamejazana pale, kila mmoja akisema hivi na mwingine akisema vile na wangine wakirekodi kwa simu tukio lile na mie mwenyewe nikiwa bado nna mstuko mkubwa sana nawaza hivi ni mimi au naota? Nikiaskia sauti mkagueni vizuri labda ameumia kichwa?

Nikaskia shauri likiendeshwa juu yangu, wananchi wakasema tumpeleke polisi tukachukue PF3, wakaja kunitoa huku naona watu wameshika vichwa wakina mama wanalia na mie sasa nikaanza kuogopa uende nimeumia sana kuliko ambavyo najiwazia wakati huo, so najaribu kusimama mwenyewe siwezi, wananibeba na wanasema twende polisi, damu kila mahala na huo ni mguu tu, japo nna maumivu ya bega na mkono lakini najishangaa nasema kwa namna damu hizi zinavyotoka huko polisi ntafika nikiwa mzima kweli? Na kwa maeneo hayo kituo cha polisi kipo wapi sasa? Na je kutokea hapo mpaka kufika Hospitali itakuaje? Naona kabisa wananchi hawana elimu juu ya kuzuia damu kutoka na i feel like labda nijisaidie ila siwezi kufanya lolote, moyo unaenda speed sana na bado niko shocked tu.

Polisi hapakuwa mbali na hawakuwa na hiyana, ni kakituo ka dogo hakukuwa na jam ni walinihudumia ndani ya dakika 5 tu nikaipata pf3 tukaondoka na wananchi ambao walikuwa wamenibeba kwenye kirikuu.

So tukaelekea hospitali na hapa ntaomba nisitaje majina ya hospitali wananchi wasije wakaamua kwenda kuzichoma moto, so nikapelekwa hospital ya wilaya, mpaka nafika hospitali hapo nadhani labda nilikuwa nimebakiza damu lita mbili tu nadhani, so jamaa hakuna wanachokifanya, manesi wananitizama tu, nikawa mkali, wakasema wewe mgonjwa unamfokea nani? Daah bongo😂😂, akaja muuguzi mmoja akanichoma sindano ya tetenasi na nyingine sijui ni nini, nikamwambia wewe bwana embu fanya kitu kuzuia damu basi, wakaanza kunizuia damu na wakafanikiwa lakini nadhani mpaka muda huo labda nilikua nna lita moja tu mwilini, nikaanza kuskia kabisa moyo unasukuma kitu kisicho kuwepo.

Lakini pale pale najiuliza ina maana nchi hii mtu anaweza kufariki kisa mguu, mkono na bega? how could that be possible? Ila nikajisemea "mimi sitokufa mahala hapa na wakati wangu bado haujafika, ewe Mungu wa haki usinichukue nikiwa katika umri huu nna deni na wewe", sasa Mungu ni muaminifu sana, baada ya kusema maneno hayo nikawa najipa moyo mkuu na imani na japo naskia sina damu na ata kuongea tu tabu, moyo una push kitu kisicho kuwepo, kazi yangu ikawa ni kurudia tu hayo maneno hapo juu, natamani labda nilale niamke nikiwa fresh ila hakuna kitu siwezi ata kusinzia au kuzimia.

Ile hospital ya wilaya wakasema hatuwezi kumtibu, mpelekeni hospital ile ya taifa, na mpaka muda huo hapo kwenye hio hospitali wamenichoma sindano mbili tu, drip ya maji na wakanipa rufaa kwenda kwenye ile hospitali nyingine baba lao.

Mpaka muda huo, wadau wangu washafika so ikabidi tutafute private ambulance sababu hio hospital wanasema ambulance ipo moja na imempeleka mgonjwa mmoja hospital ya taifa so tuisubirie na hapo tumesubiria saa na nusu haiji ndo kufanya maamuzi ya private ambulance.

Kufika kwenye ile hospital baba lao la taifa aisee kumbe bora kule wilayani ambako hawana kitu, wale wako too slow, yaani unawaona kabisa hakuna kitu kinachoweza kuwastua, wamezoea matatizo na kila mtu anapita tu ana shangaa shangaa hivi anaondoka, vijana wadogo ndo wajinga zaidi pale yaani wako sector ya emergence ila wanachezea tu simu ambazo ata ukiziangalia simu zenyewe ni tecno na samsung A series, hakuna humanity, samahani kwa kuyasema haya ila ndo nimeyaona tena emergence kabisa sasa fikiria kule kwengine ndo kupoje?

So wadau wangu wakaanza kutilia mkazo na mikwala mingi ndo na wale kuanza kunihudumia, na kila dakika hapo emergence wanaletwa watu ambao wanalia kila mtu kama anachinjwa hivi.

Sina damu na moyo unapambana sana kwa zaidi ya masaa matano sasa toka tukio litokee, naskia njaa naskia kiu na kama siwezi kupumua vizuri iv yaan nna fosi, ajab sizimii wala sisinzii, so hawa nao wakaniwekea drip za maji, nawaambia wazee nahitaji damu nitoleeni haya ma maji yenu hakuna kitu yanacho nisaidia hapa, wananiambia ngoja tukuchukue vipimo kwanza na tuone, basi wadau wangu waka fosi ki mjini mjini mambo yakaanza kukimbizwa na nini, mpaka naingia chumba cha upasuaji ni masaa 11 yamepita toka nipate ajali na damu kuniisha mwilini.

Basi baadae nikaingia wodini tena na nini, kuanza kupona sasa na nini ila expirience ambayo sio ya kuombea.

Namshukuru Mungu wangu alie mkuu sana, sikufa siku ile na sitarajii kufaa miaka hii hii na amenipa uhai na ataendelea kunipa uhai na tukio hili limeniweka karibu sana na yeye.

Kule wodini na tiba zingine unashangaa wataalam wanakwambia "aah kitu ichi hakiwi covered na bima ya nhif, aah hapa inabidi ulipe kiasi flani, aah kamuone flani" yaan unashangaa jambo dogo lina mlolongo mrefu ambao ni very unnecessary.

Wodini mule wadau wakaanza kunipa habari za namna watu wanavyoteseka na wengine ambao hua wanafia emergence, so scarry wazee. Bongo hauna kitu unaondoka unajiona wakuu, so hata kutafta room private nalo mpaka mchongo eti daah 😂😂 aisee.

Naomba kuishia hapo, nilitoka hospital sikumaliza hata siku saba, nilifosi nikaondoka kibishi tu na kuendelea na tiba tokea nyumbani kwangu na Mungu mwingi wa rehema na neema basi nimepona ndio niko narudi rudi na mimi kwenye majukumu yangu mengine, wale walionosababishia hayo matatizo ndo nataka kuanza kuwashughulikia sasa na sitokuwa na msamaha ktk hili. Lakini sitosahau miezi miwili iliyopita wazee nilikuwa kama niko Ukraine mstari wa mbele pale kumpinga bwana Putin asiendelee na majeshi yake kuichukua Kyiv.

Sijajua wewe umewahi kuyapata yapi au umewahi kuyaona yapi ya kuhusu ajali hizi za barabarani na experience za ma hospital yetu ambayo unaweza uka dead unajiona! Basi itakua vyema ukishare nasi basi tukapata la kujifunza.

Wasalaam.
Pole sana kiongozi
 
Chai. Kuna viashiria vingi kuwa hii ni chai. Kwa wale wataalam wanaojua makosa wanaofanya wasimulizi wa ''story chai'' wa Bongo watakubaliana na mimi.
Hatuwezi kukubaliana na wewe hadi utoe uchambuzi wako wa Uzi huu
 
Back
Top Bottom