Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Raba hii bei y jumla elfu 11 kariakoo! Winga utaiuzaje?
 

Attachments

  • 20240812_140814.jpg
    20240812_140814.jpg
    3.7 MB · Views: 25
Chimbo la printer ni vifaa vya steshenari mtaa wa kipata na kongo
Chinbo la vifaa vya Steshenar linaitwa "AWALE" na chimbo la printer ni hili
 

Attachments

  • 20240817_101049.jpg
    20240817_101049.jpg
    1.6 MB · Views: 24
Na Mwalim M. A, Mkombozi (Kalaga baho)

Kanusho : Hakuna mgogoro wowote wa kimaslahi utakaojiyokeza kwenye darasa hili endelevu. Ushauri utatolewa bure kabisa na hakuna nia ya moja kwa moja ya kuumiza hisia ya mtu.

Asee niaje? Wazee mpo??
Ni vyema kwa kias chake kuendelea kumwaga nondo na kushea uzoefu katika mapambano kwa vijana wenzetu. Kuendelea kupeana maujanja na michongo ili tuendeshe gurudum la maisha. Ni katika harakati tu za kujikwamua na kujitegemea, juhudi za kuusaka utajiri badobado!.. Ofkoooz ni jambo linalotia moyo, na kupendeza sana!

Leo, kalaga baho ninazungumzia machache sana, japo mengi kwa kadiri ya uchache utakaofikirika. Yote yatahusu kona mbili tu yani 1. "Uwinga kariakoo", 2. "Pointa Ilala boma" na yote mawili yatabeba dhima ya kumsaidia kijana walau kuanza kuthubutu kufanya jambo.

Niliwahi kuzungumzia kuhusu mitumba- uzoefu wa ilala boma 2018-2021, na nina uzoefu wa uwinga kariakoo. Vyote kwa pamoja nitashea humuhumu.

1. WINGA
Winga ni mtu kati, dalali anayeuza kitu cha mwingine kwa bei juu ili apate chochote "ganji". Winga huwepo masoko yote makubwa yanayouza nguo, simu au bidhaa ambazo si chakula kilichopikwa. Hata chakula katika mfumo wa nafaka winga huwepo. Madalali hawa wanakabidhiwa mizigo wauze ili wapeleke hesabu.. wengine hupeleka wateja na kupewa ganji na muuza duka. Ni wazuri sana kwa wauzaji mana wachangamfu na wanauza kweli, wabaya kwa mteja mana huwa na bei juu sana. Huwa na sifa ya kubambikia wateja vitu vibovu. Mawinga ni wengi sna Kariakoo, Ilala, Manzese, Tandika,Mbagala na karume. Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mawinga wanatumia mitandao ya kufanya biashara zao. Wanaunda magroup wasap na kubust matangazo Instagram. Uwinga ni pesa, kazi na fursa kama zilivyo nyingine.

Shida ya mawinga
1. Ulevi na anasa, wengi huwa hawaon cha maana cha kufanyia pesa wanayopata. Ilala yote ile mawinga ni walevi walevi na vijana wasioleweka tu.
2. Dhulma na ujanja ujanja
Hakuna watu ambao hawafai kuaminiwa kama hawa jamaa. Mkiuza kitu mgawane hapohapo mana ukitoa kisogo umekwisha. Pia wajanja sana, huwez kutoa gepu hata kidogo mana waharibifu
3. Winga wanauza kila kitu kwa bei juu.
4. Ugumu ulipotiliza kukua kibiashara kama mfanyabiashara. Yani winga wote wanasafa kukuza biashara zao mana hawana uwezo wa kupeleka wateja dukan.. wanapoteza wateja kila leo kwa sabab ya kufika dukani tu

Uzuri wake
1. Exposure ya biashara, kujua bei na machimbo
2. Haihitaji mtaji, hupati hasara wala hulipi kodi.
3. Networking na kukua kiujuzi
Tupo, upo?

Ebwana nina shida na weight za gym zile za mtumba zinazouzwa gerezani kule. Una connection ya kule?
 
Tupo, upo?

Ebwana nina shida na weight za gym zile za mtumba zinazouzwa gerezani kule. Una connection ya kule?
Naona mpaka nipate siku ya kwenda kama unataka free, ila ukitaka nifanye kazi yako bila kukupangia mm ndo unanisapot posho. Tuwasiliane kuanzia kesho mana leo nipo tu
 
Naona mpaka nipate siku ya kwenda kama unataka free, ila ukitaka nifanye kazi yako bila kukupangia mm ndo unanisapot posho. Tuwasiliane kuanzia kesho mana leo nipo tu
Kama unajua bei zao, nakuzingatia posho.
 
siku hizi mawinga watakufa njaa labdakwenye spare part used...waliopo dukani nao ni kama mawinga wameshaona mawinga wanafaidi sijui au mawinga wamejiajiri dukani ndani..tuliozoea kufanya shoping uhuru na congo miaka hio ulikuwa unaenda siku ya kwanza bila hela unacheki mizigo unatafiti machimbo na logistic za kudeliver hela na sehemu ya kutuma mzigo..ulikuwa na uwezo wa kukutana na don kabisa mwenye mzigo au kufika mpaka godown.... hivi majuzi nimefika k'kooo baada ya kitambo kidogo wauzaji ndio wengi dukani kuliko wanunuzi...taa ikawaka....bei kuuliza sawa na ya mikoani yaani wanakusonga mpaka kero...vitu vingi bei ipo instagram na bidhaa kama zote zipo...kwenda kwenye rimu...msomali ananiambia bei sawa na nilipotokea mkoa tofauti ni buku...hahaha nikaona wasinichoshe...mawinga kila kona.... mawinga wanaonipa raha ni wale wa mnazi mmoja kwenye mitumba...nilimpata dogo mmmoja...nilimuhakikishia posho yake...aisee alinipeleka upanga huko kuna mchina kakodi nyumba kajaza baloo ni htari na akishakufikisha bei utakayouziwa ten yake ipo kutoka kwa mchina....
 
siku hizi mawinga watakufa njaa labdakwenye spare part used...waliopo dukani nao ni kama mawinga wameshaona mawinga wanafaidi sijui au mawinga wamejiajiri dukani ndani..tuliozoea kufanya shoping uhuru na congo miaka hio ulikuwa unaenda siku ya kwanza bila hela unacheki mizigo unatafiti machimbo na logistic za kudeliver hela na sehemu ya kutuma mzigo..ulikuwa na uwezo wa kukutana na don kabisa mwenye mzigo au kufika mpaka godown.... hivi majuzi nimefika k'kooo baada ya kitambo kidogo wauzaji ndio wengi dukani kuliko wanunuzi...taa ikawaka....bei kuuliza sawa na ya mikoani yaani wanakusonga mpaka kero...vitu vingi bei ipo instagram na bidhaa kama zote zipo...kwenda kwenye rimu...msomali ananiambia bei sawa na nilipotokea mkoa tofauti ni buku...hahaha nikaona wasinichoshe...mawinga kila kona.... mawinga wanaonipa raha ni wale wa mnazi mmoja kwenye mitumba...nilimpata dogo mmmoja...nilimuhakikishia posho yake...aisee alinipeleka upanga huko kuna mchina kakodi nyumba kajaza baloo ni htari na akishakufikisha bei utakayouziwa ten yake ipo kutoka kwa mchina....
Mitumba hata keko au Tazara unaipata kuna godaun ipo karibu na ofisi za BC muda wote iko wazi tu
 
Back
Top Bottom