Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

Chimbo la printer ni vifaa vya steshenari mtaa wa kipata na kongo
Chinbo la vifaa vya Steshenar linaitwa "AWALE" na chimbo la printer ni hili
 

Attachments

  • 20240817_101049.jpg
    1.6 MB · Views: 24
Tupo, upo?

Ebwana nina shida na weight za gym zile za mtumba zinazouzwa gerezani kule. Una connection ya kule?
 
Tupo, upo?

Ebwana nina shida na weight za gym zile za mtumba zinazouzwa gerezani kule. Una connection ya kule?
Naona mpaka nipate siku ya kwenda kama unataka free, ila ukitaka nifanye kazi yako bila kukupangia mm ndo unanisapot posho. Tuwasiliane kuanzia kesho mana leo nipo tu
 
Naona mpaka nipate siku ya kwenda kama unataka free, ila ukitaka nifanye kazi yako bila kukupangia mm ndo unanisapot posho. Tuwasiliane kuanzia kesho mana leo nipo tu
Kama unajua bei zao, nakuzingatia posho.
 
siku hizi mawinga watakufa njaa labdakwenye spare part used...waliopo dukani nao ni kama mawinga wameshaona mawinga wanafaidi sijui au mawinga wamejiajiri dukani ndani..tuliozoea kufanya shoping uhuru na congo miaka hio ulikuwa unaenda siku ya kwanza bila hela unacheki mizigo unatafiti machimbo na logistic za kudeliver hela na sehemu ya kutuma mzigo..ulikuwa na uwezo wa kukutana na don kabisa mwenye mzigo au kufika mpaka godown.... hivi majuzi nimefika k'kooo baada ya kitambo kidogo wauzaji ndio wengi dukani kuliko wanunuzi...taa ikawaka....bei kuuliza sawa na ya mikoani yaani wanakusonga mpaka kero...vitu vingi bei ipo instagram na bidhaa kama zote zipo...kwenda kwenye rimu...msomali ananiambia bei sawa na nilipotokea mkoa tofauti ni buku...hahaha nikaona wasinichoshe...mawinga kila kona.... mawinga wanaonipa raha ni wale wa mnazi mmoja kwenye mitumba...nilimpata dogo mmmoja...nilimuhakikishia posho yake...aisee alinipeleka upanga huko kuna mchina kakodi nyumba kajaza baloo ni htari na akishakufikisha bei utakayouziwa ten yake ipo kutoka kwa mchina....
 
Mitumba hata keko au Tazara unaipata kuna godaun ipo karibu na ofisi za BC muda wote iko wazi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…