Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Hiyo elevetion ya mlima ndivyo inavyopatikana ndg msomi?Md Gertrude unayosema ni kweli tupu, ila kuna kitu kidogo naomba lukusaidia.
Si wewe tu, wengi hawajui kwamba Mlima Kilimanjaro is the highest FREESTANDING mountain IN THE WORLD.
Ni kwamba mlima unaanzia huku chini Rundgai huku chini kupitia Kinong'oto hadi Lukani, hapo ndiyo unaanza kuupanda hadi Uhuru Peak. Hii ni njia iitwayo Lukani Route, kuna zingine za Marangu au Kiruru au YMCA pale mjini, ila best ni hii ya kwetu Lukani Route kwa Mbunge Mbowe.
Habari ya Mlima huu imekaa vizuri kwenye wimbo wa TYL:
SISI TUNATAKA KUWASHA MWENGE, TUNATAKA KUWASHA MWENGE. NA KUUWEKA JUU YA MLIMA, MLIMA KILIMANJARO*
Twende polepole, kuna wanaharakati huku ndani, Activists, watakwambia eti Mlima Everest ndiyo mrefu kuliko yote, ukifuatiwa na K2 na Qongrong za Tibet.
Hii si kweli. Mount Evarist is a series ofsmallsmall hills from Saudi Arabia and Afghanistan through Pakistan and Indian Kashmir, each on top of the other, hadi kileleni. Ndiyo maana the second and third highest (hiyo K2 na Qonrong, actually ni vilima vinatizamana kama sisi huku tuba Kibo na Mawenzi, eti kila kimoja ujitegemee.
Ni hayo tu.
Changamoto moja tunapata wapandamlima ni vyoo (loos, (toilets) As you know, njia nyepesi kwa Kitanzania ni kuchimba dawa, hawa tunafanya hivyo kwetu Meatu ukitoka nje ya mji, Tanganyika Bus husimama pembeni mnapewa dakika tano.
Mlima Kilimanjaro huwezi kuchimba dawa kwa sababu haitokauka, if you see what I mean. Any suggestions? Hapo ndiyo ndugu zetu diaspora wangetusaidia (badala ya kuomba passport waliyoikana): wangetufanyia utafiti huko Ulaya na Marekani wao hujimbaje dawa zao? Huwa zinakaugaga? How? Tukipata jibu itaokoa Mlima wetu ubaki kuwa the highest and cleanest reestandi mountain in the world.
UMULIKE HATA NJE YA MIPAKA YETU ULETE TUMAINI. PALE AMBAPO HAKUNA MATUMAINI, UPENDO MAHALA AMBAPO PANA CHUKI, HESHIMA AMBAPO PAMEJA DHARAU.
Mama karuhusu maandamano napendekekeza pawe na sharti la kila chama kuimba huu wimbo katikati ya hutuba, baada ya kuanza lakini kabla ya kumaliza
ZFZMWCCM
Elimu ya shule gani hii?