Namna 'Royal Tour' ilivyoikoa sekta ya utalii kutoka ICU

Kwa hiyo NBS waongo!??..kwa ujuaji watz
 
Kwa hiyo NBS waongo!??..kwa ujuaji watz

taasisi nyingi za kisiasa ni za kumfurahisha kiongozi, no wonder ukasikia resersch zinasema hosp zote zina xray but nenda site ukaone, hata panado hakuna

ukitaka kuamini njoo site, ongea na watalii, wahoji utashangaa,

warussia wengi au wote waliokuja hata kizungu hawajui then unasemaje Royo Tour documentary ndio imewafanya waje?

impact ya hiyo documentary tutaiona this time
 
Muwe mnaacha ujinga mbuzi nyie
 
Kwenye mambo ambayo hamna utaalam nayo muwe mnanyamaza kimya na kujifunza...
Nje ya mada..
The Boss huu uandishi hauvutii kwa asiyejua kujifunza.
Siku hizi umetoka nje sana ya aina ya uandishi wa busara uliokuwa unautumia.
 
Mjinga uliyezeeka,na takwimu za sensa huzitaki!?..zimekaa kisiasa,au unachagua Cha kukubali na kukataa!?

sensa si kila mtu kahesabiwa?

so unataka kusema na hao wageni waliulizwa kama sensa na jibu likawa wamejua tz kupitia royol tour?
 
Nje ya mada..
The Boss huu uandishi hauvutii kwa asiyejua kujifunza.
Siku hizi umetoka nje sana ya aina ya uandishi wa busara uliokuwa unautumia.
Fafanua please...uandishi Kwa maana ya wapi pa kuweka nukta na wapi space au Una maana nnayo andika mengi hayavutii since ni Pro Samia?.sipingi serikali kama zamani?
 
sensa si kila mtu kahesabiwa?

so unataka kusema na hao wageni waliulizwa kama sensa na jibu likawa wamejua tz kupitia royol tour?
Ungesoma Uzi vizuri na siyo kukurupukia komenti
 
Ungesoma Uzi vizuri na siyo kukurupukia komenti

kaka hapa ni africa tena africa ya tanzania, achana na hizo taasisi za data kama una jambo lako serious,

nenda site, fanya mwenyewe kwa sample zako,

taasisi nyingi zinafanya kazi kwa kufurahisha viongozi na sio uhalisia

rudi kwenye hizi mambo za research wakati wa magufuli je kulikuwa na uhalisia?

watu wanakaa na wageni, watu wana connection na wageni watu wanajua mambo meeeeeeengi na changamoto nyingi kuliko hao watu wa data
 

Hujui hata unalosema
 
Tatizo humu wengi mnawaza siasa!
Unaposema hisia una maanisha nini?

Kwamba NBS hawajui chanzo cha booking za wageni,bali wanachojua ni idadi tu!
(je hii ni hisia?)

Kwamba wageni unaowahusisha na Royal Tour sio sahihi,sababu ni prior bookings nayo ni husia?

Kwamba miundombinu ya mabarabara ni mibovu na haikarabatiwi kwa wakati.
Jambo ambalo linappelekea ajali nyingi na kupoteza uhai wa baadhi ya wageni.
Pia hii unanijibu kiuhuni uhuni kwamba wageni hufa popote hata mlima Everest!
Hivi unajua complaint za insurance wanazolipa baadhi ya travel agents kutokana na matukio kama hayo?

Tunaposema miondombinu mibovu hatumaanishi Lami,bali mashimo na makorongo kwenye hizo Barabara za vumbi.

Tunaongea live events toka site.tunajua mlolongo wa upatikanaji wa wageni.
Tofauti na wewe unaeamini katika Royal tour .

Tanzania imekuwa ikitangazwa na wadau kwa muda mrefu,tena kwenye Documentary za nguvu na utaalamu wa hali ya juu,kuliko hiyo story yenu ya kisiasa ya Peter Greenberg.

Nenda YouTube na National Geographic utanielewa.

Au nenda TripAdvisor na Safari bookings utanielewa.

Royal Tour haiwezi hata kuisogelea Filamu ya Alan Root na Michael Grizmek ya "Serengeti Shall not Die"

Tunapoongea hatufanyi uchawa,tunaongea facts

Tunaongea kile tunachokijua,tembea hapo Arusha na ujaribu kufanya reseach kwa wageni live.

Jaribu kuwauliza wageni kumi utakaokutana nao kama wanakijua kitu kinaitwa Royal Tour,
Usikie majibu yao,ndio uje kushupaza shingo yako ya Royal Tour!

Nyinyi mnaotumia Identity zenu humu,mnachokisaka ni kile alichokipata Kafulila juzi.

.....and that's it!
 

kula dinner kwa bill yangu
 
Chawa kazini.
 
2021 kulikua na corona.

Sijui kwanini mnapenda kuandika ujinga ili kumdhalilisha Rais??

Acha kuamdhalilisha Rais kwa kuandika ujinga mkuu.
 

..mpaka sasa hivi Royal Tour Tanzania imeangaliwa na watu wangapi?

..pia umesema hivi tunavyozungumza Royal Tour inaonyeshwa ktk kumbi za senema.

..Je mapato kiasi gani yamepatikana kwa kuonyesha senema hiyo?

..Senema yoyote ile lazima ijulikane imeangaliwa na watu wangapi, na imeingiza mapato kiasi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…