Namna 'Royal Tour' ilivyoikoa sekta ya utalii kutoka ICU

Wewe mpuuzi
 
Kenya na Egypt, walishajitangaza kwa nguvu kubwa wakati huo Tanzania ikiwa imelala fofofo, Kiongozi wa Tanzania ambaye amesimama seriously kunyanyua sector hii kwa dhati ni Dr. Samia.
 
Mara nyingi documentary huwa ni kama aina fulani ya ufundishaji, au uonyeshaji aidha utangazaji wa jambo lililokuwa pengine haijulikani kwa mapana.
 
Mara nyingi documentary huwa ni kama aina fulani ya ufundishaji, au uonyeshaji aidha utangazaji wa jambo lililokuwa pengine haijulikani kwa mapana.

Jambo gani pale lilikuwa halijulikani Kwa mapana?
 
Si bezi Juhudi za Mh. Rais kutangaza utalii. Inawezekana Royal tour imechangia au itachingia ujio wa watalii siku zijazo, ila ongezeka la watalii mwaka 2022 ni kutokana na kiwa watu wengi walikuwa wamejifungia ndani kutokana na janga la COVID na pia wengine walikuwa wame cancell safari zao. Hivyo baada ya kufunguliwa wengi waliona wanahitaji kutoka na wale bao walikuwa wame cancel safari zao walikuja maana wengine walisha lipia.

Ni hayo tu
 
Mara nyingi documentary huwa ni kama aina fulani ya ufundishaji, au uonyeshaji aidha utangazaji wa jambo lililokuwa pengine haijulikani kwa mapana.

..mtoa mada amesema Royal Tour inaonyeshwa ktk majumba ya senema ktk nchi mbalimbali.

..kama ni hivyo anatakiwa atueleze senema hiyo imeangaliwa na watu wangapi.

..pia atueleze senema hiyo imeingiza mapato kiasi gani. Na Tanzania tumepata kiasi gani.
 
Africa bwana. Utalii wa asili unajitangaza wenyewe ila leo mtu anajitokeza kuforce hapa.
siyo kweli kabisa kabisa. Ingekuwa ni hivyo Kenya wasingetupita kimapato ya utalii wakati sisi ndiyo wenye vivutio vingi vya asili.

Hata huo mlima unaojisifia wazungu walikuwa wanajua uko Kenya na siyo Tanzania.
 
Kwenye hili hata wale wanaobisha wanakubali kuwa mama ameupiga mwingi! HONGERA SANA MAMA KWA UBUNIFU HUU WENYE TIJA KWA NCHI YETU. UTAKUMBUKWA KWA VIZAZI NA VIZAZI NDANI NA NJE YA RAIFA LETU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…