Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

Salamu wana jamvi...

Baada ya salaam niende moja kwa moja kwenye Mada

Kijana mmoja anaefahamika kwa Jina la Maziku kutoka Kibaha alichukua maamuzi ya kumuweka mke wake bond ikiwa tu timu ya Simba itaweza kuifunga timu ya Yanga.

Tukio hilo lilifanyika mbele ya mashahidi kabla ya mechi ya Yanga vs Simba kuanza, wakasainishana na mashahidi wakiwepo ambao nao pia walisaini.

Baada ya mechi kuisha na matokea yakasoma Yanga imeweza kuishinda Simba, bwana Maziku alichukua maamuzi magumu ya kwenda kukabidhi mke wake kwa mtani wake bila kubisha.

Inavyosemekana kwa sasa bwana Maziku yupo single.

Swali
Je! Ni kitu gan unaweza kuweka km bond kwenye ushabiki wa hizi derby za Simba na Yanga?
Inabidi afikishwe polisi na apelekwe mahakamani yeye na hao mashahidi kwa sababu mke siyo bidhaa na haina tofauti na biashara ya utumwa.
Ni udhalilishaji na unyanyasaji na inapingana na misingi ya utu na haki za binadamu
 
Salamu wana jamvi...

Baada ya salaam niende moja kwa moja kwenye Mada

Kijana mmoja anaefahamika kwa Jina la Maziku kutoka Kibaha alichukua maamuzi ya kumuweka mke wake bond ikiwa tu timu ya Simba itaweza kuifunga timu ya Yanga.

Tukio hilo lilifanyika mbele ya mashahidi kabla ya mechi ya Yanga vs Simba kuanza, wakasainishana na mashahidi wakiwepo ambao nao pia walisaini.

Baada ya mechi kuisha na matokea yakasoma Yanga imeweza kuishinda Simba, bwana Maziku alichukua maamuzi magumu ya kwenda kukabidhi mke wake kwa mtani wake bila kubisha.

Inavyosemekana kwa sasa bwana Maziku yupo single.

Swali
Je! Ni kitu gan unaweza kuweka km bond kwenye ushabiki wa hizi derby za Simba na Yanga?
Hivi haya matukio ya ushabiki wa hivi hayaishi tu?
 
Inabidi afikishwe polisi na apelekwe mahakamani yeye na hao mashahidi kwa sababu mke siyo bidhaa na haina tofauti na biashara ya utumwa.
Ni udhalilishaji na unyanyasaji na inapingana na misingi ya utu na haki za binadamu
Kwa hio jamaa kakosea ila inavyosemekana mke ameshaenda tayari
 
Alikosea maana haina tofauti ni biashara ya utumwa. Ipo siku watu watabet mpaka watoto
Kumbe ila wamecheza Kamari na Kamari inatambulika na serikali, ukiweka Gari ukabashiri ukafungwa watu wanabeba Gari, ukiweka Nyumba ukishindwa kubashiri vizuri watu wanachukua Nyumba na ukiweka Pesa ukakosea kubashiri watu wanachukua Pesa, ukiweka mke na ukakosea kubashiri watu wanachukua mke
 
Niwape tu angalizo. Kamwe usihusishe mapenzi na vitu visivyo vya msingi. Imemkuta jirani yangu. Hii ni baada ya yeye na jirani mwenzake kuwaweka bond wake zao ilihali na wanawake wenyewe wanalijua hilo, na kushilikishwa katika makubaliano hayo. Uzuri kila mwanamke alikuwa shabiki wa timu ya mumewe. Pia mashahidi wa tukio la makubaliano tulikuwa mahali pale. Na mechi nzima tumeitazama tukiwa ndani ya sebule ya huyu jilani upande wa Yanga.

Matokeo ndo hayo kama mlivyoyaona. Hakukuwa na namna. Imembidi huyu mume, shabiki wa simba kukubali matokeo kisha kushuhudia mkewe akienda kuchakatwa mbususu na shabiki huyo wa Yanga kwa makubaliano ya lisaa limoja kama walivyoahidiana, wakati huo mke wa mchakataji akiridhia jambo hilo kwa moyo mweupe ndani ya chumba chake anacholala yeye na mumewe. [emoji23][emoji23] Hii dunia ina mambo asikwambie mtu. Mke wa shabiki huyo wa simba ameingizwa chumbani humo huku machozi ya timu yake kushindwa yakimmiminikia usoni, muda huo anaenda kuugulia maumivu ya mkuyenge!

Ndivyo ilivyokuwa.

Tusihusishe masuala ya ushabiki wa mpira kwenye mahusiano!
[emoji41][emoji41]
Baada ya hapo mke anaachika
 
Niwape tu angalizo. Kamwe usihusishe mapenzi na vitu visivyo vya msingi. Imemkuta jirani yangu. Hii ni baada ya yeye na jirani mwenzake kuwaweka bond wake zao ilihali na wanawake wenyewe wanalijua hilo, na kushilikishwa katika makubaliano hayo. Uzuri kila mwanamke alikuwa shabiki wa timu ya mumewe. Pia mashahidi wa tukio la makubaliano tulikuwa mahali pale. Na mechi nzima tumeitazama tukiwa ndani ya sebule ya huyu jilani upande wa Yanga.

Matokeo ndo hayo kama mlivyoyaona. Hakukuwa na namna. Imembidi huyu mume, shabiki wa simba kukubali matokeo kisha kushuhudia mkewe akienda kuchakatwa mbususu na shabiki huyo wa Yanga kwa makubaliano ya lisaa limoja kama walivyoahidiana, wakati huo mke wa mchakataji akiridhia jambo hilo kwa moyo mweupe ndani ya chumba chake anacholala yeye na mumewe. [emoji23][emoji23] Hii dunia ina mambo asikwambie mtu. Mke wa shabiki huyo wa simba ameingizwa chumbani humo huku machozi ya timu yake kushindwa yakimmiminikia usoni, muda huo anaenda kuugulia maumivu ya mkuyenge!

Ndivyo ilivyokuwa.

Tusihusishe masuala ya ushabiki wa mpira kwenye mahusiano!
[emoji41][emoji41]
Uoongoo huo bhna duh[emoji1787]
 
Salamu wana jamvi...

Baada ya salaam niende moja kwa moja kwenye Mada

Kijana mmoja anaefahamika kwa Jina la Maziku kutoka Kibaha alichukua maamuzi ya kumuweka mke wake bond ikiwa tu

Swali
Je! Ni kitu gan unaweza kuweka km bond kwenye ushabiki wa hizi derby za Simba na Yanga?
Hiyo nibiashara haramu ya binadamu.
Hivi kwenye kusaini hayo makubaliano Kuna mahali mwanamke alishirikishwa kusaini?
Vipi siku moja wanawake nao wakiamua kuwaweka bond waume zao kwa wanawake wengine kwa sababu yoyote Ile?
 
Salamu wana jamvi...

Baada ya salaam niende moja kwa moja kwenye Mada

Kijana mmoja anaefahamika kwa Jina la Maziku kutoka Kibaha alichukua maamuzi ya kumuweka mke wake bond ikiwa tu timu ya Simba itaweza kuifunga timu ya Yanga.

Tukio hilo lilifanyika mbele ya mashahidi kabla ya mechi ya Yanga vs Simba kuanza, wakasainishana na mashahidi wakiwepo ambao nao pia walisaini.

Baada ya mechi kuisha na matokea yakasoma Yanga imeweza kuishinda Simba, bwana Maziku alichukua maamuzi magumu ya kwenda kukabidhi mke wake kwa mtani wake bila kubisha.

Inavyosemekana kwa sasa bwana Maziku yupo single.

Swali
Je! Ni kitu gan unaweza kuweka km bond kwenye ushabiki wa hizi derby za Simba na Yanga?
[emoji1787] Kambaa...
 
Back
Top Bottom