Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

Inabidi afikishwe polisi na apelekwe mahakamani yeye na hao mashahidi kwa sababu mke siyo bidhaa na haina tofauti na biashara ya utumwa.
Ni udhalilishaji na unyanyasaji na inapingana na misingi ya utu na haki za binadamu
 
Hivi haya matukio ya ushabiki wa hivi hayaishi tu?
 
Inabidi afikishwe polisi na apelekwe mahakamani yeye na hao mashahidi kwa sababu mke siyo bidhaa na haina tofauti na biashara ya utumwa.
Ni udhalilishaji na unyanyasaji na inapingana na misingi ya utu na haki za binadamu
Kwa hio jamaa kakosea ila inavyosemekana mke ameshaenda tayari
 
Alikosea maana haina tofauti ni biashara ya utumwa. Ipo siku watu watabet mpaka watoto
Kumbe ila wamecheza Kamari na Kamari inatambulika na serikali, ukiweka Gari ukabashiri ukafungwa watu wanabeba Gari, ukiweka Nyumba ukishindwa kubashiri vizuri watu wanachukua Nyumba na ukiweka Pesa ukakosea kubashiri watu wanachukua Pesa, ukiweka mke na ukakosea kubashiri watu wanachukua mke
 
Baada ya hapo mke anaachika
 
Uoongoo huo bhna duh[emoji1787]
 
Hiyo nibiashara haramu ya binadamu.
Hivi kwenye kusaini hayo makubaliano Kuna mahali mwanamke alishirikishwa kusaini?
Vipi siku moja wanawake nao wakiamua kuwaweka bond waume zao kwa wanawake wengine kwa sababu yoyote Ile?
 
[emoji1787] Kambaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…