Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Hebu wewe mrundi jifunze kuandika kiswahili fasaha kwanza ndiposa urudi hapa! 🤣 🤣Hio ndo imebakia saivi kuzushiana uongo eti frani anaumwa mala frani huyu nae anaumwa kwani kuugua CK hizi ni dhambi? Maladhi ni kawaida Kwa binamu.tumekuwa na roho mbaya yakutakiana mabaya hivi roho za hivi tumezitoa wapi haraka haraka Ivo?