Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

Hio ndo imebakia saivi kuzushiana uongo eti frani anaumwa mala frani huyu nae anaumwa kwani kuugua CK hizi ni dhambi? Maladhi ni kawaida Kwa binamu.tumekuwa na roho mbaya yakutakiana mabaya hivi roho za hivi tumezitoa wapi haraka haraka Ivo?
Hebu wewe mrundi jifunze kuandika kiswahili fasaha kwanza ndiposa urudi hapa! 🤣 🤣
 
Mlimtoa Dr. Mipango mbiombio kuja kuwaprove watu wrong akiwa mgonjwa tena anakohoa.

Imeshindikana nini kufanya hivyo kwa huyu?

Mwaka juzi wakati amezushiwa ndani ya siku mbili tu alijitokeza na kuwaprove watu wrong, inashindikana nini sasa hivi?

Mnatumia nguvu kubwa sana.
 
Tatizo jamaa anapenda mno kuuza sura kideoni.
 
Lakini kwanini watu wakuombea mabaya? Tujifunze kuishi vizuri na watu vyeo ni vya kupita lakini ubinadamu utabaki.
Watu waliuwa hadi mitume kisa wanawaeleza habari za Mungu na hata huyo Mungu mwenyewe hapendwi na wote.
 
Hajui huyo kwamba Daily Nation kwa mfano ni gazeti lenye heshima zote nchini kenya.
Ile kitu serkali ya Kenya imehusika na ndio maana magazeti na tv zao zimeandika mno.

Pia tukumbuke media house za Kenya zinajielewa mno, zisingekubali ingia mkenge.

Tujiulize kwanini Kenya haijakana au hiyo hospital kwanini haijakana
 
Magazeti ya kenya yamesema aliyosema lissu,mi kama vile wamemsemea(kumshtaki) kwa mamlaka,labda kwa nia njema au mbaya,lissu amekoroga sana hapa!
Unadhani wajinga wasifate kuhakikisha?

Magazeti ya Kenya ndiyo yamesema hadi Ward aliyolazwa
 
Uzi wako ni mzuri ndugu mleta mada

Hata hivyo, umetulisha tango pori kwa kusema CNN ili report kifo cha Kim

Ilicho report ni 'umahututi' wake tu, haikuwahi kusema alifariki
 
[emoji848][emoji848][emoji848] Hilo nalo neno!
 
Mkuu jaribu kuweka akiba ya maneno maana bado rais ajaonekana hadharani. Hii serikali si ya kuamini hata kidogo maana imejaa uongo mwingi.

Mimi nadhani ungesubili kwanza aonekane hadharani ndipo uanze hizo kejeri zako. Ikija kubainika ya kuwa haya yanayo semwa yapo utajiona mpumbavu kwa hichi ulicho kiandika.
 
Jiwe yuko likizo buheri wa afya na kama mgonjwa namuombea apone siku akijitokeza watu wataweka wapi sura zao sijui
huwa ni aibu tuu..wataanza kujitetea, ooh tulikuwa tunataka tujue alipo[emoji23]
 
Mkuu, mimi hata nifanyiwe ubaya gani, but sitajaribu kumuombea mtu huyo mabaya/Ajali, kuugua ama kifo. Watamuombea mabaya lakini ipo siku nao watatangulia mbele ya haki.
Huu msemo wa siwezi mtakia mbaya mtu aliye nifanyia ubaya huwa ni msemo wa kupumbavu na mara nyingi hutumiwa na watu wanafiki.
Siku umetoka kazini kufika nyumbani unakuta majamaa 4 yameingia ndani ya nyumba yako yakambaka mkeo kwa zamu mpaka akazimia yakaona haitoshi yakamchinja.
Hayakutosheka na hayo yakamchukua binti yako wa miaka 4 na mwenyewe yakambaka yakaona haitoshi na mwenye yaka mchinja, sidhani kama unaweza kuja kuuandika huo msemo wenu wa kinafiki.

Hakuna binadamu anaye weza kimpenda mtu anaye mtakia mabaya hata siku moja.
Mtu akupige risasi na akufanye kilema alafu eti umpende?
Mtu atumie hila kukuharibia biashara yako ambayo ndio tegemeo lako la kusomesha na kulisha watoto wako alafu umpende.
Hebu hayo maneno nenda kayaongee mbele ya watoto,baba, mama,mke wa Azory Gwanda ambaye alitekwa na kuuawa bila kosa.
Tuache unafiki ukitaka kutedewa wema na ww tenda wema kwanza.
 
huwa ni aibu tuu..wataanza kujitetea, ooh tulikuwa tunataka tujue alipo[emoji23]
Mkuu jaribu kutulia maana bado hajaoneka hadharani isije ikabainika ni kweli ukaumbuka.
Mm nime tulia tu nasubili upepo utakapo vumia na mm naenda huko huko.
 
Back
Top Bottom