Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

Hiyo ndiyo ipo hivyo duniani kote au ni nadharia yako unataka ifanye kazi Tz?
Hapa umeninukuu halafu ukafuta ulichonukuu?

Kwangu unatokea umeninukuu halafu ulichonukuu sikioni.
 
Hapa umeninukuu halafu ukafuta ulichonukuu?

Kwangu unatokea umeninukuu halafu ulichonukuu sikioni.
Niliandika hivi:
"Hiyo ndiyo ipo hivyo duniani kote au ni nadharia yako unataka ifanye kazi Tz?"
 
Niliandika hivi:
"Hiyo ndiyo ipo hivyo duniani kote au ni nadharia yako unataka ifanye kazi Tz?"
Elewa swali kabla ya kujibu.

Kama hujaelewa, uliza.

Nilikuuliza hivi.

Hapa umeninukuu halafu ukafuta ulichonukuu?

Kwangu unatokea umeninukuu halafu ulichonukuu sikioni.
 
Kwa hiyo sisi tunaishi mitandaoni?
Naweza kusema hivyo,kwa sababu yaliyopo humu asilimia kubwa hayatokei huko mitaani na ndio maana wengi wameficha hata utambulisho wao.
 
Wewe hujaficha utambulisho ndiyo maana jina lako halisi ni Uhuru? shame on you
Ndio maana nikasema kilichopo humu asilimia kubwa hakipo huko mitaani,kwahiyo tunaishi humu tu ila tukiwa uraiani ni maisha mengine.
 
Muulize anaefuga misukule iitwayo wasiojulikana inayopiga watu risasi, kufunga watu kwenye sandarus etc Kwanza huoni tangu aanze kuumwa nchi imetulia hakuna wanaopotea au kuuawa hivyo
 
Magazeti ya kenya yamesema aliyosema lissu,mi kama vile wamemsemea(kumshtaki) kwa mamlaka,labda kwa nia njema au mbaya,lissu amekoroga sana hapa!
Amelikoroga lipi na akati mtu yupo huko kwenye Comma akiwa kaunganishwa na mipipe utadhani mtungi wa Oxyacetylene lukonyombobutane
Jiwe yuko likizo buheri wa afya na kama mgonjwa namuombea apone siku akijitokeza watu wataweka wapi sura zao sijui
Acha ujinga unaanzaje kumuomba Mungu kwa kitu usicho na hakika?
 
Amelikoroga lipi na akati mtu yupo huko kwenye Comma akiwa kaunganishwa na mipipe utadhani mtungi wa Oxyacetylene lukonyombobutane

Acha ujinga unaanzaje kumuomba Mungu kwa kitu usicho na hakika?
Tuna imani kubwa
 
Ataibuka siku ya uteuzi Wa MK ccm.
 
Anapata faida gani?,zaidi ya fedhea anapojikuta asilimia kubwa ya wananchi wanamnenea mabaya,wengine wanakufuru kuwa wameshaandaa tafrija.

Mwisho Wa siku anakuja kuumia kisaikolojia yeye anaecheza na akili za waponzani bila kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…