Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

Namna Vyombo vya Habari vya Kimataifa vilivyoingia mtegoni kueneza uvumi wa kifo cha Kim Jong Un

Nazo wapo walioziombea mabaya awamu zilizopita. Nakumbuka Kikwete mpaka alirushiwa mawe mkoani Mbeya. Akaitwa Rais dhaifu mno! Mkapa tuliambiwa aliruhusu ufisadi kwa viongozi na kuleta ufukara wa kutisha ulioitwa "ukapa".

Mwinyi alilaumiwa kuruhusu kila kitu hata uchafu. Tukaambiwa hana maamuzi na msimamo, eti anashauriwa na mkewe. Kejeli kibao!

Mwalimu Nyerere alinusurika kupinduliwa mara mbili, na wengine walimwita Musa, eti alitutoa Misri na kuja kututesa jangwani. Akaitwa haambiliki!

Hakuna Rais malaika lakini watu wengi hukumbuka uzuri wa kitu au mtu akishaondoka. Akiwepo wanaona mabaya tu!
Ni kweli, lakini kwanini iwe awamu yangu tu ndiyo inaombewa mabaya na wakati na awamu zingine nazo zilikuwa na binadamu mkuu?
 
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali inayotokea hapa Jamii forum, kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais wetu Dr John Pombe Magufuli kwa muda wa wiki mbili sasa toka Feb 27, 2021.

Mijadala hiyo imekuwa inanisikitisha, hasa kutoka kwa wapinzani wa serikali. Kinachonisikitisha, ni kuona wapinzani wa serikali ya JPM wanajiona wamesoma lakini, JPM anawachezesha ngoma ya mdundiko pasipo wao kujitambua. Kwanza nataka niwambie, ndugu zangu JPM yupo vizuri sana kiakili.

Ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa akili. Hii issue ameamua kuifanya kama issue ya kiongozi wa Korea Kusini,kwamba haonekani hadharani, lakini baadae ataonekana, na ataendelea na kazi kama kawaida.

Kinachosikitisha, ni kuona wapinzani kina Lissu wanakimbia na unspecified, rumors na speculation huku na huku. Oh, yupo Nairobi hospital. Oh sasa wanataka kumpeleka India. Yaan mnajishushia heshima Kabisa. Mnachezeshwa mdundiko bila nyie kujitambua. Yaan Lissu umejishushia heshima Kabisa.
 
Unadhani serikali ya Kenya ingeacha magazeti yake yaseme uongo halafu yadhalilike baadaye?
 
Hio ndio imebakia sasahivi kuzushiana uongo eti fulani anaumwa mara fulani huyu nae anaumwa kwani kuugua siku hizi ni dhambi? Maradhi ni kawaida Kwa binamu. Tumekuwa na roho mbaya yakutakiana mabaya, hivi roho za hivi tumezitoa wapi haraka haraka hivyo?
 
Acha ujinga mleta mada jiwe yuko njia Ile pana kwa Sasa. Maana njia nyembamba siyo yake.
 
Kwahiyo style hii kaianza baada ya 27 Feb? Basi sawa, ni suala la muda.
 
Unadhani serikali ya Kenya ingeacha magazeti yake yaseme uongo afu yadhalilike baadaye?
Hajui huyo kwamba Daily Nation kwa mfano ni gazeti lenye heshima zote nchini Kenya.
 
Kiongozi wa taifa ni mgonjwa, na ni wajibu Taifa kujulishwa. Hii iko kisheria kabisa hata wewe kuhoji. Mambo ya Korea Kaskazini na TZ wapi na wapi?
 
Unadhani serikali ya Kenya ingeacha magazeti yake yaseme uongo afu yadharirike baadaye?
Magazeti ya kenya yamesema aliyosema lissu,mi kama vile wamemsemea(kumshtaki) kwa mamlaka,labda kwa nia njema au mbaya,lissu amekoroga sana hapa!
 
Una maanisha haka ka jamaa

1615571283006.png
 
Back
Top Bottom