Tulia wew hujatembea na hujui ramani na Congo ni kubwa na njia rahisi ya kwenda Moba ni Sumbawanga au Kigoma via Tanganyika.Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
kubwa ukilinganisha ni kitu gani?bajeti aliyoitenga Kamugisha ulikuwa unaijua?Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.
Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?
Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Ahsante...Kumbe mnyiramba hujui nchi hi imekaje kiramani embu punguza ujinga naona aibu mm kukuelewesha kuwa tunduma ndio njia panda kuu ya kuelekea sumbawanga ,zambia na Congo ,Zimbabwe ,Namibia Hadi south Africa ,upo mzee babaa
Acha kukariri unafikiri n njia ipi itakupeleka sumbawanga Zaid ya mbeya ?? Au lbda upite maporini huko mlowwo paka kamsamba .
Na kama umetokea mpanda lazma umepitia njia ya tabora Kisha mpanda Kisha sumbawanga Kisha tunduma Kisha mbeya .safari ya kwenda swaxc .. sumbawanga inaanzia hapa dsm Kisha Moro ,Kisha iringa Kisha mbeya Kisha tunduma Basi Hilo majinnja iatafika tunduma saa nne had tano za usku Kisha na kuendeleaa na safari kuelekea swax ,, sumbawanga itafika saa nane za usku mjini sumbawanga ..Kama kunawaoendelea na safari kwenda mpanda watala pale Kisha asbh wakamate. Gar za namanyere nkasi na kuelekea mpanda. Town
Kutoka tunduma Hadi swax Ni km 250 kutoka tunduma Hadi mpanda kilimoter 450 kutoka sumbawanga hyo Hadi nnkasi namanyere Ni km 87 zote Ni lami tupu ,hapo aliko pita umughaka kwenda kirando na kipili Ni Kama nawaona ,mm nilifanya kaz za minara hvyo naifahamu mno njia hzo ndio area yangu ya Kaz ilikuwa
Yaani lami kutoka tunduma Hadi kwa mzee pinda mizengo Kisha unakatziza mbuga ya katavi km 70 unaikuta lami ya kukupeleka mpandaa town Kisha karema ,kigoma Hadi kwenye machimbo ya dhahabu na kkuelekea wilaya ya tanganyiaka huko ndani ndani kutoka mpanda town Hadi karema km 120 rough rod tupu
Kama.ujaelewa njjoo dm by the way ile gorofa lako limeisha [emoji3]
Kijan. ....umughaka aliko taj kote nKupata hiwenda hata mmilliki wa boti namfahamu mnk nimaeno yangu ya lkaz mwambao lote Hilo la ziwa tanganyiaka [emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16]Hujui kitu we mpumbavu, too much know kama mabasha wa Kariakoo
Duuuh...Wenyewe ni tofauti kidogo , unapewa mtihani sio wa kuua ni mtihani tu mdogo ukifanikiwa unakuwa tajiri
Mfano, unaambiwa kuwa utakutana na KAMBA njiani uichukue Urudi nayo kwa Mganga lakini unaenda unakutana na Nyoka mkubwa ukiwa jasiri na ukakumbuka mkamate ukimshika tu anakuwa KAMBA
Wengi wanashindwa sababu mazingira ya jaribio ni ngumu kuhimili au kukumbuka ,
Bariadi wengi wametajirika kwa Ndagu
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
mkuu usifananishe maisha yako na ya wengine,wewe ukiwa na mil 5,ni mtaji tosha kwa biashara,kwa mwingine ni hela ya matumizi kwa mwezi mmoja tu...Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.
Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?
Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Bosi na huku upo tuAsante kwa kushukuru nipo2
Ww ni mtu wa bariad mkuu?Wenyewe ni tofauti kidogo , unapewa mtihani sio wa kuua ni mtihani tu mdogo ukifanikiwa unakuwa tajiri
Mfano, unaambiwa kuwa utakutana na KAMBA njiani uichukue Urudi nayo kwa Mganga lakini unaenda unakutana na Nyoka mkubwa ukiwa jasiri na ukakumbuka mkamate ukimshika tu anakuwa KAMBA
Wengi wanashindwa sababu mazingira ya jaribio ni ngumu kuhimili au kukumbuka ,
Bariadi wengi wametajirika kwa Ndagu
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Kwa mahesabu ya haraka ni zaid ya mil 3Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.
Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?
Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Nipo bariadi hapa sima, kesho nlitaka nirud dar ila hapana nataka nirud na utajirDuuuh...
Nami nipo Bariadi...nitafuatilia
Mwingne yupi mkuu? Huyo anayekwenda kazini kwa mkopo wa bodaboda mwezi mzima?mkuu usifananishe maisha yako na ya wengine,wewe ukiwa na mil 5,ni mtaji tosha kwa biashara,kwa mwingine ni hela ya matumizi kwa mwezi mmoja tu...
Kama huijui inchi hii kaa kimya mkuuYaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Mkuu kongo Haina barabara za kuunganisha miji na miji Kama ilivyokwetu hukuYaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
🤣🤣🤣🤣Kamugisha "Lakini kaka huyu jamaa ndiye mtu anayetusaidia sisi!"
Mtanzania "Acha utani !"
Mi mwenyewe nipo Sima mkuu..Nipo bariadi hapa sima, kesho nlitaka nirud dar ila hapana nataka nirud na utajir
HV una kichaaa nn kuwekeza kariakoo unadhani Ni jepesi kama kula mbuzuza unajuwa Bei za fremu pale kumngoa mtu milion 80 ,100+ nje ya Kodi ya mwezi milinion 1 au 2 milion alfu ulipe kwa mwaka unachekesha ...sanaaNimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.
Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?
Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Sa ukichaa wangu umetoka wapi mzee, ko wanaofanya biashara Kariakoo wana kende 3?HV una kichaaa nn kuwekeza kariakoo unadhani Ni jepesi kama kula mbuzuza unajuwa Bei za fremu pale kumngoa mtu milion 80 ,100+ nje ya Kodi ya mwezi milinion 1 au 2 milion alfu ulipe kwa mwaka unachekesha ...sanaa
Au unataka wakaekeze kuuza screen protector na kutanda nguo Chini za buku buku
Mkuu kariakoo CYO kwepesi Kiasi hicho