Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Tulia wew hujatembea na hujui ramani na Congo ni kubwa na njia rahisi ya kwenda Moba ni Sumbawanga au Kigoma via Tanganyika.
 
Sehemu kubwa ya matajiri vijana wa mbeya,dawa zake wametoa Congo,mfano,,kuku kudonoa punje za mahindi,kufuga kinyoka,unakufa na kuoza kwa siku 3 alafu unafufuka nk...
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
kubwa ukilinganisha ni kitu gani?bajeti aliyoitenga Kamugisha ulikuwa unaijua?
 
Kumbe mnyiramba hujui nchi hi imekaje kiramani embu punguza ujinga naona aibu mm kukuelewesha kuwa tunduma ndio njia panda kuu ya kuelekea sumbawanga ,zambia na Congo ,Zimbabwe ,Namibia Hadi south Africa ,upo mzee babaa

Acha kukariri unafikiri n njia ipi itakupeleka sumbawanga Zaid ya mbeya ?? Au lbda upite maporini huko mlowwo paka kamsamba .

Na kama umetokea mpanda lazma umepitia njia ya tabora Kisha mpanda Kisha sumbawanga Kisha tunduma Kisha mbeya .safari ya kwenda swaxc .. sumbawanga inaanzia hapa dsm Kisha Moro ,Kisha iringa Kisha mbeya Kisha tunduma Basi Hilo majinnja iatafika tunduma saa nne had tano za usku Kisha na kuendeleaa na safari kuelekea swax ,, sumbawanga itafika saa nane za usku mjini sumbawanga ..Kama kunawaoendelea na safari kwenda mpanda watala pale Kisha asbh wakamate. Gar za namanyere nkasi na kuelekea mpanda. Town

Kutoka tunduma Hadi swax Ni km 250 kutoka tunduma Hadi mpanda kilimoter 450 kutoka sumbawanga hyo Hadi nnkasi namanyere Ni km 87 zote Ni lami tupu ,hapo aliko pita umughaka kwenda kirando na kipili Ni Kama nawaona ,mm nilifanya kaz za minara hvyo naifahamu mno njia hzo ndio area yangu ya Kaz ilikuwa

Yaani lami kutoka tunduma Hadi kwa mzee pinda mizengo Kisha unakatziza mbuga ya katavi km 70 unaikuta lami ya kukupeleka mpandaa town Kisha karema ,kigoma Hadi kwenye machimbo ya dhahabu na kkuelekea wilaya ya tanganyiaka huko ndani ndani kutoka mpanda town Hadi karema km 120 rough rod tupu

Kama.ujaelewa njjoo dm by the way ile gorofa lako limeisha [emoji3]

Kijan. ....umughaka aliko taj kote nKupata hiwenda hata mmilliki wa boti namfahamu mnk nimaeno yangu ya lkaz mwambao lote Hilo la ziwa tanganyiaka [emoji3][emoji3]
Ahsante...
 
Wenyewe ni tofauti kidogo , unapewa mtihani sio wa kuua ni mtihani tu mdogo ukifanikiwa unakuwa tajiri

Mfano, unaambiwa kuwa utakutana na KAMBA njiani uichukue Urudi nayo kwa Mganga lakini unaenda unakutana na Nyoka mkubwa ukiwa jasiri na ukakumbuka mkamate ukimshika tu anakuwa KAMBA

Wengi wanashindwa sababu mazingira ya jaribio ni ngumu kuhimili au kukumbuka ,

Bariadi wengi wametajirika kwa Ndagu

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Duuuh...
Nami nipo Bariadi...nitafuatilia
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
mkuu usifananishe maisha yako na ya wengine,wewe ukiwa na mil 5,ni mtaji tosha kwa biashara,kwa mwingine ni hela ya matumizi kwa mwezi mmoja tu...
 
Wenyewe ni tofauti kidogo , unapewa mtihani sio wa kuua ni mtihani tu mdogo ukifanikiwa unakuwa tajiri

Mfano, unaambiwa kuwa utakutana na KAMBA njiani uichukue Urudi nayo kwa Mganga lakini unaenda unakutana na Nyoka mkubwa ukiwa jasiri na ukakumbuka mkamate ukimshika tu anakuwa KAMBA

Wengi wanashindwa sababu mazingira ya jaribio ni ngumu kuhimili au kukumbuka ,

Bariadi wengi wametajirika kwa Ndagu

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Ww ni mtu wa bariad mkuu?
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
Kwa mahesabu ya haraka ni zaid ya mil 3
 
Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Kama huijui inchi hii kaa kimya mkuu
 
Yaani ufike Tunduma boda kisha uende tena sumbawanga [emoji276]chai hii sio poa,Ikifika Tunduma ndio boda ya nakonde ilipo then unaingia zambia hadi kapiri mposhi ndio unaingia congo
Mkuu kongo Haina barabara za kuunganisha miji na miji Kama ilivyokwetu huku
 
Nimesoma huu uzi mstari kwa mstari kuanzia mwanzo hadi sehemu ya 7, nilipoingia sehemu ya 8 imani ikaanza kupungua na maswali yakaanza kuwa mengi kichwani nikaanza kurukaruka.

Anyway sina sababu za kutosha za kutofautiana na mwandishi ila nimewaza sana hizo gharama zote za fedha zilizotumika safarini mbona kama ni kubwa sana, huyo daktari alikuwa na akiba kiasi gani mbona kama kuna sehemu mwandishi kaonyesha daktari alikuwa analalama mshahara wake haulipi?

Hizo fedha mlotumia safarini mngewekeza Kariakoo mngetoboa tu.
HV una kichaaa nn kuwekeza kariakoo unadhani Ni jepesi kama kula mbuzuza unajuwa Bei za fremu pale kumngoa mtu milion 80 ,100+ nje ya Kodi ya mwezi milinion 1 au 2 milion alfu ulipe kwa mwaka unachekesha ...sanaa


Au unataka wakaekeze kuuza screen protector na kutanda nguo Chini za buku buku


Mkuu kariakoo CYO kwepesi Kiasi hicho
 
HV una kichaaa nn kuwekeza kariakoo unadhani Ni jepesi kama kula mbuzuza unajuwa Bei za fremu pale kumngoa mtu milion 80 ,100+ nje ya Kodi ya mwezi milinion 1 au 2 milion alfu ulipe kwa mwaka unachekesha ...sanaa


Au unataka wakaekeze kuuza screen protector na kutanda nguo Chini za buku buku


Mkuu kariakoo CYO kwepesi Kiasi hicho
Sa ukichaa wangu umetoka wapi mzee, ko wanaofanya biashara Kariakoo wana kende 3?
 
Back
Top Bottom