Namna wenzetu wanavyoona aibu kuiba mali za Umma

Namna wenzetu wanavyoona aibu kuiba mali za Umma

Kumbukeni Japan sio jamhuri ya muungano, ni republic! Nchi ambayo ni United republic huwa na matatizo ya rushwa, ufisadi na kutojali. Ili nchi ipate maendeleo ya haraka inatakiwa ihame kutoka United republic kuwa republic! Vinginevyo itabaki maskini milele.
Mbona minchi mingi ya Africa ni Republic but Rushwa ndio nyumbani kwao?
 
Nchi hizo zenye sheria kali kwao ndo washenz wa kuandika mkataba mibovu kwetu. Tenders zote wanalamba wao kwa kutumia tamaa yetu yakupenda rushwa na Elim ndogo na vyeti VINGI.
FB_IMG_1677049967412.jpg
 
Back
Top Bottom