Namna ya ku-deal na Gold digger

Namna ya ku-deal na Gold digger

Ktuma pesa nyumbani natuma kila wiki na hata sasa nimetoka kutuma

Elfu 30
Inanunua Heater
pasi ya umeme
Mapazia pair mbili.
Mashuka special
Duvet Moja
Bill ya maziwa.

Laki na ishirini kwa mwezi inanunua
Pressure Cooker
Feni ya Kisasa
Sabufa au redio ya kawaida
Saa ya ukutani
Zulia la manyoya
N.k.

Wazazi wanavyo vitu hivyo nyumbani?
 
Elfu 30
Inanunua Heater
pasi ya umeme
Mapazia pair mbili.
Mashuka special
Duvet Moja
Bill ya maziwa.

Laki na ishirini kwa mwezi inanunua
Pressure Cooker
Feni ya Kisasa
Sabufa au redio ya kawaida
Saa ya ukutani
Zulia la manyoya
N.k.

Wazazi wanavyo vitu hivyo nyumbani?
Umembananisha vizuri, kama hataelewa basi kichwa kibovu
 
Nimekuelewa mkuu nitafanyia kazi ushauri wako

Nashukuru Sana Mkuu.

Kutumia jasho lako vibaya ni kujidharau na kujidharaulisha kwa Watu.
Usipothamini jasho lako(pesa au kipato chako) inamaanisha huthamini Utu wako.

HUNA Sababu hata Moja ya kuwa na huyo mwanamke mpenda Pesa

Mbona Sisi tunataka na wanawake wazuri na hatutoi hizo pesa kindezi ndezi.
Badili vigezo. Wewe bado unajitafuta. Maskini.

Kigezo cha kwanza awe mwanamke mwenye Kazi au anayejiweza kiuchumi. Vingine ndio vifuate.

Shauri yako usijesema Kaka zako hatukukuambia
 
Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?

Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Ati someone else's child is your fellow adult .
 
Nashukuru Sana Mkuu.

Kutumia jasho lako vibaya ni kujidharau na kujidharaulisha kwa Watu.
Usipothamini jasho lako(pesa au kipato chako) inamaanisha huthamini Utu wako.

HUNA Sababu hata Moja ya kuwa na huyo mwanamke mpenda Pesa

Mbona Sisi tunataka na wanawake wazuri na hatutoi hizo pesa kindezi ndezi.
Badili vigezo. Wewe bado unajitafuta. Maskini.

Kigezo cha kwanza awe mwanamke mwenye Kazi au anayejiweza kiuchumi. Vingine ndio vifuate.

Shauri yako usijesema Kaka zako hatukukuambia
Mkuu nimekuelewa sana hakika haya maneno yako yamenitia uchungu naahidi kubadilika ila nachoshukuru sikuwahi kuanza kumpa hiyo pesa kama anavyodai na ndio haswa ugomvi wetu unapokuja
 
Elfu 30 kwa wiki unalalamika na kuweka uzi kabisa hapa?, ulitaka upewe bure tu au?
Acha hizo toa pesa
 
Mkuu nimekuelewa sana hakika haya maneno yako yamenitia uchungu naahidi kubadilika ila nachoshukuru sikuwahi kuanza kumpa hiyo pesa kama anavyodai na ndio haswa ugomvi wetu unapokuja

Bora iwe hivyo.

Nawaelewa Wanawake akili Zao zilivyo.
Huwa nashangaa wanaotumia jasho Lao vibaya kwaajili ya hao viumbe tena ambao sio Mke, mama au binti yako.

Wanadharau Sana
Hawana adabu
Wanatabia ya Paka

Lazima ule Pesa yake kama anavyokula yako.
Kwenye sex wote mna- share. Anafurahia na wewe unafurahia so why umpe hela na wewe zake huzili?

Badili vigezo.
Tafuta mwanamke mwenye Kazi, au Kibiashara ambaye ukimpa hiyo elfu 30 yeye kwake unauwezo wa kuchukua elfu 15
 
Bora iwe hivyo.

Nawaelewa Wanawake akili Zao zilivyo.
Huwa nashangaa wanaotumia jasho Lao vibaya kwaajili ya hao viumbe tena ambao sio Mke, mama au binti yako.

Wanadharau Sana
Hawana adabu
Wanatabia ya Paka

Lazima ule Pesa yake kama anavyokula yako.
Kwenye sex wote mna- share. Anafurahia na wewe unafurahia so why umpe hela na wewe zake huzili?

Badili vigezo.
Tafuta mwanamke mwenye Kazi, au Kibiashara ambaye ukimpa hiyo elfu 30 yeye kwake unauwezo wa kuchukua elfu 15
Sawa mkuu barikiwa sana shukran kwa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom