cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
HuweziiiMkuu nimedhamiria kumbwaga mazima
Kila ukikumbuka mdudu anasimama Dede 🥒
Kuna mmoja alitest mke wa mtu ameshindwa kabisa kumuacha wakat aliingia tu kuonja Mara moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HuweziiiMkuu nimedhamiria kumbwaga mazima
Kaza man, usikubali mwanamke akakuendesha.Mkuh niokoeni aisee
Uchumi wanatembea nao eehWatu wanajua kutumia K...u...ma shost we acha tu
Daah mkuu yani ni wazi najua huyu mtoto anifai but inakuwa ngumu kumpotezeaHuweziii
Kila ukikumbuka mdudu anasimama Dede 🥒
Kuna mmoja alitest mke wa mtu ameshindwa kabisa kumuacha wakat aliingia tu kuonja Mara moja
Huyo mwanamke analalamika utadhani lucky dube kwenye remember me 😂
Ngoja nikamuulize chat gpt maana ya melancholic niniWakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Mkuu kesho kasema anakuja hapo lazima nichome kuanzia 60k na nilipanga akija nikipiga mara mwisho nisirudie sema naona kama ntakuwa najitengenezea mazingira ya kutokutoka naona nimpotezee tu kuanzia sasa hv ili ili biashara iishe leoKaza man, usikubali mwanamke akakuendesha.
mimi ni raisi wa ma jobless pro max, sijui kuhusu matofali mkuu😂Huyo mwanamke analalamika utadhani lucky dube kwenye remember me 😂
Hivi 30K ni tofali ngapi? Intelligent businessman
Usijilazimishe kumuacha kwa vile anatii KIU yako so far....Daah mkuu yani ni wazi najua huyu mtoto anifai but inakuwa ngumu kumpotezea
Mwanaume anaoa mwanamke wa umri wowote..Eti mwanao!Mwache mleta mada mkuu..Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?
Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Nimeshtuka sana30 Ndio unakaita katoto ka watu Gold digger kweli ?
Sasa we shetani badala ya kufanya kazi yako ya kupotosha watu wewe ndio kwanza unaanza kutoa ushauri mzuriHuyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?
Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Mpigishe Bata after Bata party after party chape pocket money kabla haijaisha unmuongeza mara mbili ya ile ya awali after five years ya kula sterehe ataanza kupoteza Nuru na kuchuja atakuomba ndoa mwenyeweWakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
inaonesha tangu mnafahamiana ulimzoesha pesa na akajua unazo, hakukupenda bali alipenda pesa zako.Mkuu kesho kasema anakuja hapo lazima nichome kuanzia 60k na nilipanga akija nikipiga mara mwisho nisirudie sema naona kama ntakuwa najitengenezea mazingira ya kutokutoka naona nimpotezee tu kuanzia sasa hv ili ili biashara iishe leo
😂Sasa we shetani badala ya kufanya kazi yako ya kupotosha watu wewe ndio kwanza unaanza kutoa ushauri mzuri
Shetani gani wewe!!!
Mkuu hiyo ni nauli ya kwenda kazini tu huduma nyingine bado zipoNimeshtuka sana
Kwamba 120k ni gold 🤔🤔🤔!?
Kule UWABATA si una cheo au umejisahau?mimi ni raisi wa ma jobless pro max, sijui kuhusu matofali mkuu😂
HeheheUnaendeshwaje kama gari bovu na kitoto cha 2002,
wenzio walipiga na kusepa na wakitaka wanapiga tena kwa afu tatu ya chipsi mayai na mirinda
HeheheMwone Aziz Ki mshirikiane namna ya kujing'atua.