Namna ya ku-deal na Gold digger

Namna ya ku-deal na Gold digger

Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???

Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.

Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.

Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.

Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.

wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.

Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??

Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Ngoja nikamuulize chat gpt maana ya melancholic nini
 
Kaza man, usikubali mwanamke akakuendesha.
Mkuu kesho kasema anakuja hapo lazima nichome kuanzia 60k na nilipanga akija nikipiga mara mwisho nisirudie sema naona kama ntakuwa najitengenezea mazingira ya kutokutoka naona nimpotezee tu kuanzia sasa hv ili ili biashara iishe leo
 
Daah mkuu yani ni wazi najua huyu mtoto anifai but inakuwa ngumu kumpotezea
Usijilazimishe kumuacha kwa vile anatii KIU yako so far....
We mle tu bila malengo itafika siku tabia zake zitakukeraa utajikuta tu umemuacha kimtindo.
Ukiwa na chochote kitu mpatie muende sawa.
Ila utembee na ngala (zana ya kazi) maana bi dada anaonekana pesa mbele
 
Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?

Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Mwanaume anaoa mwanamke wa umri wowote..Eti mwanao!Mwache mleta mada mkuu..
 
Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?

Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Sasa we shetani badala ya kufanya kazi yako ya kupotosha watu wewe ndio kwanza unaanza kutoa ushauri mzuri
Shetani gani wewe!!!
 
Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???

Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.

Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.

Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.

Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.

wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.

Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??

Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Mpigishe Bata after Bata party after party chape pocket money kabla haijaisha unmuongeza mara mbili ya ile ya awali after five years ya kula sterehe ataanza kupoteza Nuru na kuchuja atakuomba ndoa mwenyewe
 
Mkuu kesho kasema anakuja hapo lazima nichome kuanzia 60k na nilipanga akija nikipiga mara mwisho nisirudie sema naona kama ntakuwa najitengenezea mazingira ya kutokutoka naona nimpotezee tu kuanzia sasa hv ili ili biashara iishe leo
inaonesha tangu mnafahamiana ulimzoesha pesa na akajua unazo, hakukupenda bali alipenda pesa zako.

Ukimuhitaji weka dau mezani kula endelea na life lako ila huyo sio ke wa kufanya nae maisha.
 
Back
Top Bottom