Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wanawake kuna muda mkilenga hamkosei target. Binti wa 2003 kashaanza kula mafao mapema kabisa.Kumbe kuna mishahara kwa week hamsemii😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake kuna muda mkilenga hamkosei target. Binti wa 2003 kashaanza kula mafao mapema kabisa.Kumbe kuna mishahara kwa week hamsemii😅
Yeah verry sure mkuu nilikuwa nimemuwekea ngumu ya kumpa hela na yeye akasusaMkuu endelea kutafuta hela na ukizipata ziba mifereji inayozitoa hela zako, hiyo miezi miwili hamjakutana kwasababu upo majalala.
Tutafute hela nduguMimi frateriiii haya mambo mageni kwangu
Ebu kimbia hapo, acha ubwegeee!!
Mbona hata hana makuu.Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
You must be fun at the parties🧏 Unknown
Wewe una shida gani? wewe nani kwanza🤣Dada ephen mm naingia kulala🤔🤔🤔
Anakuuzia huyo na anae mwamba haupo peke yako.Yeah verry sure mkuu nilikuwa nimemuwekea ngumu ya kumpa hela na yeye akasusa
Ngoja akumbwe na kikokotoo na fao La kukosa ajira baada ya kuachwaWanawake kuna muda mkilenga hamkosei target. Binti wa 2003 kashaanza kula mafao mapema kabisa.
We kijana wewe! Mi Sina muda wa kukupoteza huyo mwenzako unaekula nae pension ndo anakupotezaMkuu acha kunipoteza
Yeah I know mzee sema sikutaka tufike huko nataka nimuache sasa hv vp nipige kesho cha mwisho au nimpotezee leo leo maana k zakupiga zipo tena ni afodable kabisaMega kijanja huyo ana njaa ndio maana licha ya kumbania hela bado yupo, kiufupi akipatikana mtoaji mzuri wa pesa anahamia huko.
😂😂😂 buku unakula nini kila siku au ndio unakula ugali na mboga ya uji wa ugalidah mambo mengi, ila hiyo 30k ni mlo wa mwezi mzima😂
Huyu mapema tu mkuu namkatia mferej wa mafaoNgoja akumbwe na kikokotoo na fao La kukosa ajira baada ya kuachwa
Ndio nataka nimuache sasaWe kijana wewe! Mi Sina muda wa kukupoteza huyo mwenzako unaekula nae pension ndo anakupoteza
Maamuzi ni yako kama unampotezea we kula buyu tu hakuna haja ya kumwambia umemuacha.Yeah I know mzee sema sikutaka tufike huko nataka nimuache sasa hv vp nipige kesho cha mwisho au nimpotezee leo leo maana k zakupiga zipo tena ni afodable kabisa
Atatia huruma sana, ila sabuni si zipo bei nafuu kabisa.Ngoja akumbwe na kikokotoo na fao La kukosa ajira baada ya kuachwa
Kumbe yupo normalMbona hata hana makuu.
Hujakutana na demu anataka gari ee