Namna ya ku-deal na Gold digger

Namna ya ku-deal na Gold digger

Yeah namla mkuu japo hudum zake kidogo ni kubwa maana bado nina k nyingine zinanitegemea
Ila wanaume shida zingine mnajitafutiaga wenyewe, hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja na bado wote muwagharamie ndio mana malalamiko ni mengi.
 
Ebu kimbia hapo, acha ubwegeee!!
Mkuu najua unanipenda sana na upendi kuona napotea sasa naomba unijibu hili swali vp nimpotezee sasa hv au hiyo kesho nimle ndio nimpotezee nina ahidi kufuata ushauri utakaonipa hapa
 
Mkuu najua unanipenda sana na upendi kuona napotea sasa naomba unijibu hili swali vp nimpotezee sasa hv au hiyo kesho nimle ndio nimpotezee nina ahidi kufuata ushauri utakaonipa hapa
Kwavile umesema ni mtamu,
Wewe kesho mle ya mwisho mwisho na umpe hiyo 30k halafu mpotezee.

Haiwezekani demu anaomba hela kwa kuforce kama vile ni haki yake.
 
Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?

Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
una cheti cha kuzaliwa cha ndugu Melancholic ??
 
Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???

Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.

Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.

Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.

Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.

wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.

Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??

Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Kweli wasukuma mnaonewa na Mademu...cheki huyu anavokamuliwa na inaonyesha kipato chenyewe tia maji tia maji.
 
Back
Top Bottom