Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaingizwa kwenye mfumo
Ashajaa tayari😂Unaingizwa kwenye mfumo
2003 kashamaliza chuo?.. kuna data haziko sawa unaficha any waaykwanini mliachana mkuu
Naijua hiyo mkuu ngoja kesho aje achezee bolo atembee mbeleUnaingizwa kwenye mfumo
No mkuu nilikosea kazaliwa 20012003 kashamaliza chuo?.. kuna data haziko sawa unaficha any waay
Naichapa nawaachia wengineUichape uiache nini hyo sasa?
Ubaya ubwera.
Mkuu nilipanga kesho nimle kwa mara ya mwisho halafu nimpotezee au nimpotezee saiv😂 30k kila week 🙌 noma sana, akipata wasee kama nyie 5 kwa week ana 150k, achana nae aisee atakuja kukupiga tukio hauta amini kitakachotokea
Nini maana ya gold diggerYaan bado unakaa gheto then unaita watoto wa watu gold digger, anadig nini sasa hapo?
Mkuu huyu nataka kesho nichape niibwage mazimaAshajaa tayari😂
Sawa mkuu leta kazi tuingie mzigoniKila wiki nakutumia tips tumkamie muhindi..achana na huyo chuma ulete
mkuu hiyo ni kwa ajili ys nauli tu bado mambo mengineElfu30 kwa Kila wiki pesa ndogo sana tena huyo tombonae kila siku au vushe gap la siku moja
Mkui hiyo ni nauli ya kwenda job tuMbona hela ndogo sana kaomba wala hukupaswa kumuita golddigger
Tunajue huwezi ushajaa mkuu😂Mkuu huyu nataka kesho nichape niibwage mazima
Mkuu hapa hujapewa mix by yas kweli, binti kakunyea ushadata Melancholicna anajua mapenzi kinoma
Mbona kakuomba Pesa ndogo hivo Jamani 😅😅angeomba laki tano Je?Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.