Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
 
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija ukipiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayota mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
Yote kwa yote tutafute hela tusahau haya mambo ya ubahili
 
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayota mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
Yote yanafanyika sabbu ya upendo
Mapenzi yakikufika kila kitu utafanya kwaajili ya unaempenda

Na mwanaume ukipata bahati ya kupendwa mwanamke wako lazima aku support sio kwa kumwambia automatic tu na huwez kuwa maskini lbda Mungu mwenyew awe amekupangia
 
Ila nawaonea huruma mabinti wa sasa...
Maana wanaume wa siku hizi... wanakwepa majukumu....those days...wanaume walikuwa wanatoa pesa...na bado walitoboa...
 
Yote yanafanyika sabbu ya upendo
Mapenzi yakikufika kila kitu utafanya kwaajili ya unaempenda

Na mwanaume ukipata bahati ya kupendwa mwanamke wako lazima aku support sio kwa kumwambia automatic tu na huwez kuwa maskini lbda Mungu mwenyew awe amekupangia
Ni wanawake wachache sana wanaotumia pato lao kwa ajili ya mwanaume
 
Back
Top Bottom