Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Maybe that "haki sawa" shit imewaingia...
Au wamekuwa wavivu kuhonga...
Au ni era...imebadirika???
Seriously speeking...wanaume wamebadirika sana...nina my young sis...ana boyfriend wake, namuona kama yeye sasa ndo anamuhonga !!
Inatia huruma Sana the way unavoset akili kuamini vitu vya ovyo akili nayo inafnya kuwa ndo Sheria
Wanaamini Sana hakuna mapenz now pesa aisee utapata wa kukuchuna ushangae

Lkn ukiamini mazuriyapo kwenye mapenz utapata mtu ambae utaona kbisa kweli hiki ndo nilikuwa nataka na hkuna gharama utayoona inakuathiri
 
Aisee kweli, siku na tambulishwa I was like whaat???
Yaan jamaa ana lamba lips, ana mapozi...

Kweli wanaume wamepungua aisee!!! God help...
Vitu vingi vinawaharibu mpaka wengine kutamani kuwa wanawake
 
Msingi ni pamoja na kumspoil babe wako lakin...
Itategemea na aina ya mwanamke, kimtazamo utajua huyu ni wife material or not; hapo ndipo utajua kama ni sahihi kufanya matumizi ya muda mrefu.
 
Itategemea na aina ya mwanamke, kimtazamo utajua huyu ni wife material or not; hapo ndipo utajua kama ni sahihi kufanya matumizi ya muda mrefu.
Thats the point!!!
Kumbe bado mpo!! Maana ku generalize sio sawa...
You good!!!
 
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
Ukweli mchungu sana sana, shukrani sana
 
Thats the point!!!
Kumbe bado mpo!! Maana ku generalize sio sawa...
You good!!!
Mkuu, unaelewa kuwa kuna wanaume wamekuwa walevi kupindukia na wengine biashara zao kuporomoka kwa sababu ya kuwa kwenye mahusiano na mtu amabaye siye sahihi?
 
Mkuu, unaelewa kuwa kuna wanaume wamekuwa walevi kupindukia na wengine biashara zao kuporomoka kwa sababu ya kuwa kwenye mahusiano na mtu amabaye siye sahihi?
I know...mifano ni mingi kwa jamii...lakini swala la mahusiano ni complex..
Unaweza mpata bingwa wa ku pretend!! Baada ya muda akabadirika, au ukapata alie bora..ila maisha, mazingira, na muda ukambadilisha....
 
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
Huyu nilie nae akiona nimekaa kimya huwa anatuma hela unashangaa Imethibitishwa 50000...
Ili tu nimpigie nimwambie Asante nimepata, sasa tayari hapo nitakuwa tayari nimeshampigia nimevunja mashart
 
Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.

Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.

Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.

Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.

Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.

Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.

Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.

Unatakiwa ufanye hivi:-
  • Usimpigie simu, muache yeye akutafute
  • Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
  • Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
  • Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
  • Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
  • Usisababishe ugomvi naye
  • Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
Tunashukuru kwa mbinu zako acha tutest kama.tutafanikiwa
 
Back
Top Bottom