Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Namna ya kuepuka gharama kwenye mahusiano

Ila nawaonea huruma mabinti wa sasa...
Maana wanaume wa siku hizi... wanakwepa majukumu....those days...wanaume walikuwa wanatoa pesa...na bado walitoboa...
Maana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza hela zao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafanikiwe
 
Ila nawaonea huruma mabinti wa sasa...
Maana wanaume wa siku hizi... wanakwepa majukumu....those days...wanaume walikuwa wanatoa pesa...na bado walitoboa...
Spidi ya utokaji wa hela huwa ni mkubwa sana, kuliko spidi ya kupata hela
 
Maana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza helazao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafanikiwe
Ni wachache sana ambao wako hivyo
 
Maana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza helazao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafa
Maybe that "haki sawa" shit imewaingia...
Au wamekuwa wavivu kuhonga...
Au ni era...imebadirika???

Seriously speeking...wanaume wamebadirika sana...nina my young sis...ana boyfriend wake, namuona kama yeye sasa ndo anamuhonga !!
 
Maybe that "haki sawa" shit imewaingia...
Au wamekuwa wavivu kuhonga...
Au ni era...imebadirika???
Seriously speeking...wanaume wamebadirika sana...nina my young sis...ana boyfriend wake, namuona kama yeye sasa ndo anamuhonga !!
Wanaume halisi(waoaji) ni wachache, ndio maana unamuona hivyo mdogo wako.
 
Back
Top Bottom