Maana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza hela zao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafanikiweIla nawaonea huruma mabinti wa sasa...
Maana wanaume wa siku hizi... wanakwepa majukumu....those days...wanaume walikuwa wanatoa pesa...na bado walitoboa...
Spidi ya utokaji wa hela huwa ni mkubwa sana, kuliko spidi ya kupata helaIla nawaonea huruma mabinti wa sasa...
Maana wanaume wa siku hizi... wanakwepa majukumu....those days...wanaume walikuwa wanatoa pesa...na bado walitoboa...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣YOTE KWA YOTE TUTAFUTE HELA TUSAHAU HAYA MAMBO YA UBAHILI
Ukishatembea naye, muache yeye akutafutewasichana wa sikuizi matapeli tu mtu anawanaume kumi kidogo unategemea nini
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Tunajifunza tu kutokana na mazingira tuliopoEquation x the love expert! 😊
Ni wachache sana ambao wako hivyoMaana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza helazao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafanikiwe
Daaah...wasichana wa sikuizi matapeli tu mtu anawanaume kumi kidogo unategemea nini
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ukiona anaanza kusema hivyo, kata simu na singizia chaji imeishaPotezea meseji za “babe nikuambie kitu”
[emoji23][emoji23]tumekuelewa lichadiwasichana wa sikuizi matapeli tu mtu anawanaume kumi kidogo unategemea nini
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Unakuja kwa kasi boss, hongera.Tunajifunza tu kutokana na mazingira tuliopo
Kawaida tu mkuuUnakuja kwa kasi boss, hongera.
Maybe that "haki sawa" shit imewaingia...Maana halisi ya love and caring haipo wakati wote wanawaza helazao tu na kuwatumia wanawake wanasahau kuwa baadhi ya wanawake wanawaombea Sana wafa
Basi inabidi, muongeze mbinu zaidi za kutafuta wadogo zangu...Spidi ya utokaji wa hela huwa ni mkubwa sana, kuliko spidi ya kupata hela
Kwa kweli sina nilijualo😀😀😀Tupe uzoefu, kwa nini huwa wanang'ang'ania😂😂😂?
Wanaume halisi(waoaji) ni wachache, ndio maana unamuona hivyo mdogo wako.Maybe that "haki sawa" shit imewaingia...
Au wamekuwa wavivu kuhonga...
Au ni era...imebadirika???
Seriously speeking...wanaume wamebadirika sana...nina my young sis...ana boyfriend wake, namuona kama yeye sasa ndo anamuhonga !!
Fedha siku zote huwa haitoshelezi, muhimu ukiipata ufanyie mambo ya msingi tuBasi inabidi, muongeze mbinu zaidi za kutafuta wadogo zangu...
Ngoja tusubiri wakulungwa watupe majibu 🤣🤣🤣Kwa kweli sina nilijualo😀😀😀
Kawaida tu mkuu, ndio kutafuta maarifa pia + refreshmentWe jamaa ni kiwanda cha kufyatua NYUZI,upo vizuri.