Aisee kweli, siku na tambulishwa I was like whaat???Wanaume halisi(waoaji) ni wachache, ndio maana unamuona hivyo mdogo wako.
Kweli wanaume wamepungua aisee!!! God help...Wanaume halisi(waoaji) ni wachache, ndio maana unamuona hivyo mdogo wako.
Msingi ni pamoja na kumspoil babe wako lakin...Fedha siku zote huwa haitoshelezi, muhimu ukiipata ufanyie mambo ya msingi tu
Inatia huruma Sana the way unavoset akili kuamini vitu vya ovyo akili nayo inafnya kuwa ndo SheriaMaybe that "haki sawa" shit imewaingia...
Au wamekuwa wavivu kuhonga...
Au ni era...imebadirika???
Seriously speeking...wanaume wamebadirika sana...nina my young sis...ana boyfriend wake, namuona kama yeye sasa ndo anamuhonga !!
Vitu vingi vinawaharibu mpaka wengine kutamani kuwa wanawakeAisee kweli, siku na tambulishwa I was like whaat???
Yaan jamaa ana lamba lips, ana mapozi...
Kweli wanaume wamepungua aisee!!! God help...
Itategemea na aina ya mwanamke, kimtazamo utajua huyu ni wife material or not; hapo ndipo utajua kama ni sahihi kufanya matumizi ya muda mrefu.Msingi ni pamoja na kumspoil babe wako lakin...
Thats the point!!!Itategemea na aina ya mwanamke, kimtazamo utajua huyu ni wife material or not; hapo ndipo utajua kama ni sahihi kufanya matumizi ya muda mrefu.
Ukweli mchungu sana sana, shukrani sanaMahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.
Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.
Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.
Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.
Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.
Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.
Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.
Unatakiwa ufanye hivi:-
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
- Usimpigie simu, muache yeye akutafute
- Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
- Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
- Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
- Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
- Usisababishe ugomvi naye
- Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Mkuu, unaelewa kuwa kuna wanaume wamekuwa walevi kupindukia na wengine biashara zao kuporomoka kwa sababu ya kuwa kwenye mahusiano na mtu amabaye siye sahihi?Thats the point!!!
Kumbe bado mpo!! Maana ku generalize sio sawa...
You good!!!
Inabidi kubadilika, tusirudie makosaUmepiga mle mle mkuu
Sema neno mkuuAiseeee au basi
hakikaInabidi kubadilika, tusirudie makosa
🙏🙏🙏Ukweli mchungu sana sana, shukrani sana
I know...mifano ni mingi kwa jamii...lakini swala la mahusiano ni complex..Mkuu, unaelewa kuwa kuna wanaume wamekuwa walevi kupindukia na wengine biashara zao kuporomoka kwa sababu ya kuwa kwenye mahusiano na mtu amabaye siye sahihi?
Huyu nilie nae akiona nimekaa kimya huwa anatuma hela unashangaa Imethibitishwa 50000...Mahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.
Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.
Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.
Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.
Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.
Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.
Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.
Unatakiwa ufanye hivi:-
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
- Usimpigie simu, muache yeye akutafute
- Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
- Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
- Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
- Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
- Usisababishe ugomvi naye
- Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Tunashukuru kwa mbinu zako acha tutest kama.tutafanikiwaMahusiano kwa upande wa mwanaume yana gharama sana.
Kama hutokuwa makini, hutofanya kitu cha maana katika maisha yako. Utajikuta kila siku, wewe ni mtu wa kutoa hela tu.
Ukija kupiga mahesabu, kwa fedha ulizozitumia kwa mwezi mzima katika mahusiano, inazidi kipato chako.
Na hii imepelekea baadhi ya wanaume kuwa na madeni mengi, kutokujenga miji yao, kutokumiliki biashara, kutokujinunulia mavazi n.k.
Na yote anafanya ili kumridhisha mwanamke ambaye sio mke wake; ambaye leo na kesho anaweza kuwa na mwanaume mwingine.
Kutokana na uzoefu; nawashauri wanaume wenzangu; mwanamke ambaye tayari umeshatembea naye; tambua, hakuna jipya lingine utakalolipata, zaidi ya kuendelea kutoa huduma huku mambo yako ya msingi yakiteketea.
Hakuna haja ya wewe kuendelea kujipendekeza kwake tena; kufanya hivyo unajiongezea nafasi ya kuendelea kubeba majukumu mazito, na mwisho wa siku hutotimizi ndoto zako.
Unatakiwa ufanye hivi:-
Popote pale atakapokuwa anakwenda, atakuwa anakuwaza wewe; mwisho wa siku atajileta mwenyewe kwa gharama zake; na utapelekea moto bure.
- Usimpigie simu, muache yeye akutafute
- Jiongezee thamani kwenye kuongea, muonekano n.k
- Usikubali kila 'out' anayotaka mtoke
- Usimuonee wivu, hata kama anatoka na wengine
- Wekeza kwenye vitu vyako vya msingi
- Usisababishe ugomvi naye
- Jiweke katika mazingira ya kumkinai/kumchoka
Hii sms no kiboko Sana ukiijibu tu imekula kwakoPotezea meseji za “babe nikuambie kitu”