Namna ya kunasa Vitoto vya kishua msimu huu wa Sikukuu

Namna ya kunasa Vitoto vya kishua msimu huu wa Sikukuu

Utamkuta mpwayungu village na 'Tiss Uchwara' nyboma wanavyojichanganya kwenye viwanja vya kishua kutafuta sifa za kijinga kwa kununua Jack Daniels na mishahara ya 250k take home. Na kupiga mizinga ya hatariiii.

Tayari ninakifaa cha kuwabaini wazamiaji. Wakinisogelea kifaa kitalia njwaa! Hao tayari Mpango kazi wangu ushawawekea mikakati WA kuwadhibiti
 
Alafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki [emoji15]!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki 😳!.
Siku kama ya leo ile njia ya kwenda Jembe Beach kunachafuka watoto wa SAUT
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cocastic bado upo hapo chuo au ulishatoka, maana me kwa uzee wangu huu nilibaki naduwaa ila, kuna jambo nimejifunza kwa nyie mabinti wa vyuo yaani ni balaa kubwa!
 
Hatuw kwa hatua ila ni nzuri iko kipengele cha kwanza kwa wanao andaa trading plan kinawafaaa sana
 
Nipo nauza kiduka cha mangi hapa, pisikali zinajigonga zenyewe bila hata kua na laki tano wala viwalo vikali.
 
Alafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki 😳!.
Nikitaka kwenda kuangali misambwanda naenda pale geti la SAUT. Hatari
 
Back
Top Bottom