Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Utamkuta mpwayungu village na 'Tiss Uchwara' nyboma wanavyojichanganya kwenye viwanja vya kishua kutafuta sifa za kijinga kwa kununua Jack Daniels na mishahara ya 250k take home. Na kupiga mizinga ya hatariiii.
Hapo SAUT napachukia kwasababu popoma alisomaNgoja ni print niende nayo pale SAUT kuna vitoto vikali
Sisi ndio tunawafundisha kuogelea, kucheza kwenye mawimbiNinyi subirini ndege au meli zikianguka Huko.
HOLIDAY Nani awawaze mafundi mchundo bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki [emoji15]!.
Siku kama ya leo ile njia ya kwenda Jembe Beach kunachafuka watoto wa SAUTAlafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki π³!.
Cocastic bado upo hapo chuo au ulishatoka, maana me kwa uzee wangu huu nilibaki naduwaa ila, kuna jambo nimejifunza kwa nyie mabinti wa vyuo yaani ni balaa kubwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitu nilichogundua maisha hayataki uwe serious sana π π πLeo ni holiday, siku ya kutuliza injini.
Muda wa kuwa Serious umekwisha.
Nimekuwa Serious Mwaka mzima nimeshindwa kununua hata kiwanja cha milioni mbili.
Nikitaka kwenda kuangali misambwanda naenda pale geti la SAUT. HatariAlafu mkuu hapo SAUT - Malimbe ukifika pale getini kuna lile bango la jinsi wanachuo wanatakiwa kuvaa, ila humo eneo la tukio daaa ni balaa, mabinti wanashindana kupigilia nguva style, yaani mwenye shape na asiye na shape dadadeki π³!.
Kitu nilichogundua maisha hayataki uwe serious sana π π π
Nipo nauza kiduka cha mangi hapa, pisikali zinajigonga zenyewe bila hata kua na laki tano wala viwalo vikali.
π―π€ utaanza kumtafuta nani anakuroga π€£π€£π€£πππ
Ukiwa serious Sana utashindwa kuishi
Tips za kikuhani π
π―π€ utaanza kumtafuta nani anakuroga π€£π€£π€£
Leo kweli Christmas.
π―π€Pambana ukimuachia aliyekuumba. Ukipata shukuru na furahia.
Ukikosa Fresh