Namna ya kuonana na Rais

Namna ya kuonana na Rais

Kuna chawa wake namba moko! Namjua Ila uhakikishe amekulakula hela zako kwanza na wewe mwenyewe amekukula hlf mengine ndiyo yatafata!
abakie tu na uchawa wake kama mpaka anile mimi
 
Utachezea virungu.....nje ya geti pale ikulu magogoni nilipita Kwa mbali nikitokea ferry Kwa nje pale nilimwona askari mmoja very well equipped.....for sure sizan kama atakuruhusu umsogelee.....

Alivalia gwanda la jeshi ila lipo tofaut kidogo nala Jwtz...mkononi ana mashine nzito kwenye medani za kivita...jamaa yupo sharp na very active..... kwenye magoti kavaa gadi za chuma.....

Pale sio pa kwenda kichwa kichwa utaingia matatani Bure....ushaur fuata protocol

Usijidanganye kwenda pale getin Kwa kujileleka....

Kuna kipindi Cha Uongozi wa JK msukuma mmoja enzi hizo aliendesha baiskeli from mwanza to dar es salaam Kuja kumwona JK na alifanikiwa hopefully ilikua planned.....
oooh okay kufata protocal itakayokuchukua mwaka mzima??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyo hana shida kuna watu wanashida hata huo muda wa kuandika utumbo hana je ni insta au tweeter?? kuna muda hua nawaza hata hizo ac zaweza kua kuna mtu anaziendesha sio yeye
Obviously kuna Mtu/Watu wanaziendesha na sio yeye.
 
January nikiwa na rafiki zangu tupo baharini maeneo ya Ocean Road ukapita msafara wake alikua anatoka Ikulu kuelekea Diamond Jubilee, basi gari yake haina tinted tukamuona na yeye akatuona tukampungia mikono kwa furaha na yeye akanyanyua kidogo aisee tulifurahiii tukasema mwaka umeanza vizuri huu, bado tunasubiri tuone kama mkono wake utatupa kheir [emoji120][emoji1783]
 
kwa manufaa ya wengine hope kunamwengine huko angetaman kujua, je nitajuaje wewe upo karibu na raisi??
Nenda pale Ikulu getini utapokelewa kwa bashasha na unyenyekevu mkubwa kutoka kwa wahudumu waliobobea kwenye suala zima la customer care.... waeleze lengo lako la kufika pale na kuwaomba muongozo watakupa ABCD zote.
 
January nikiwa na rafiki zangu tupo baharini maeneo ya Ocean Road ukapita msafara wake alikua anatoka Ikulu kuelekea Diamond Jubilee, basi gari yake haina tinted tukamuona na yeye akatuona tukampungia mikono kwa furaha na yeye akanyanyua kidogo aisee tulifurahiii tukasema mwaka umeanza vizuri huu, bado tunasubiri tuone kama mkono wake utatupa kheir [emoji120][emoji1783]
Tatizo la akili hili
 
Habari wanabodi,

Naomba kufahamishwa au kujuzwa je, nikitaka kuonana na mama Samia yani face to face nifanyeje? Wazo hili limenijia kwa mfano unataka kuongea naye je, unamngoja akiwa kwenye msafara unamuomba? Unamngoja afike ikulu ndogo mkoa anaotembelea unamfata?

Akiwa safarini unampigia makelele "mama nina shida ya kuonana na wewe" je, inaruhusiwa kwa mwananchi wa kawaida kumuona raisi wa nchi akaongea naye ana kwa ana? Je, hua anajibu dm huko tweeter au instagram?

Yaani ikitokea unataka kuonana na raisi ukiwa mwananchi wa kawaida unatakiwa kufata hatua zipi?

Inategemea na maelezo yako pale reseption. Utakavyojieleza,una shida gani na una lengo gani.na utaangaliwa kwanza na makamisaa wakiridhika unakaribishwa (ila utapewa siku ya kumwona na huwezi mwona peke yako lazma kutakuwa na wageni wengine pia
 
Inategemea na maelezo yako pale reseption. Utakavyojieleza,una shida gani na una lengo gani.na utaangaliwa kwanza na makamisaa wakiridhika unakaribishwa (ila utapewa siku ya kumwona na huwezi mwona peke yako lazma kutakuwa na wageni wengine pia
Kwahiyo hata kama kuna siri baina yako na mheshimiwa maana yake wote waliomo humo watasikia?
 
Mkuu; kwanza ukumbuke na kuzingatia kwamba Rais ni mtu/binadamu kama ww na mm. Pili zingatia kwamba kwa nafasi yake kama Rais, anawajibika au anahudumia waTz zaidi ya milioni 60. Kwa mantiki hiyo ukiwa unataka kuonana naye uso kwa uso lazima uwe umejiandaa vema na kuzingatia Taratibu zilizopo i.e. Utapewa Appointment inayoonesha mahali na muda. Lakini cha muhimu zaidi ujiulize Je, Wasaidizi wake wameshindwa kukusikiliza? Yani Mtendaji Kata, DED, DC, Mkuu wa Mkoa, Katibu Mkuu na Waziri wanaohusika na Hoja yako wameshindwa kukusikiliza?(Kumbuka hao ndo wanamwakilisha Rais katika nafasi zao). Je, naye Mbunge wako ameshindwa? Ila kama unataka eti kuonana naye tu ili umsalimie, umpe na kaumbeya kidogo au upige naye picha ....dah! Hilo ni gumu kidogo japokuwa inawezekana.
Kama una kero nyeti au kitu so touching kwamba ni yeye tu "in person" inafaa akisikie kwa masikio yake, nenda kwa Mkuu wa Mkoa wako atakupa mwongozo au Ikulu Nyumbani kwake. Ila ONYO usiende na jambo ambalo limeruka ngazi/hatua za ufumbuzi kama nilivyobainisha hapo juu.

Kwa kuongezea,

Kama una jambo ambalo ni maslahi ya Taifa na ufumbuzi unamuhitaji yeye.
 
Kwahiyo hata kama kuna siri baina yako na mheshimiwa maana yake wote waliomo humo watasikia?
Kama ni raia wa kawaida basi hapo hakuna Siri , na Raisi anakuwa anajua unakuja kumwambia nn.

Kama wewe ni chaumbea wake Kuna njia unaweza ku meet, au mkaishia ku wasiliana Kwa CODES TU Yan 😂
 
Habari wanabodi,

Naomba kufahamishwa au kujuzwa je, nikitaka kuonana na mama Samia yani face to face nifanyeje? Wazo hili limenijia kwa mfano unataka kuongea naye je, unamngoja akiwa kwenye msafara unamuomba? Unamngoja afike ikulu ndogo mkoa anaotembelea unamfata?

Akiwa safarini unampigia makelele "mama nina shida ya kuonana na wewe" je, inaruhusiwa kwa mwananchi wa kawaida kumuona raisi wa nchi akaongea naye ana kwa ana? Je, hua anajibu dm huko tweeter au instagram?

Yaani ikitokea unataka kuonana na raisi ukiwa mwananchi wa kawaida unatakiwa kufata hatua zipi?
Anza na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa hapo ulipo
 
Mkuu; kwanza ukumbuke na kuzingatia kwamba Rais ni mtu/binadamu kama ww na mm. Pili zingatia kwamba kwa nafasi yake kama Rais, anawajibika au anahudumia waTz zaidi ya milioni 60. Kwa mantiki hiyo ukiwa unataka kuonana naye uso kwa uso lazima uwe umejiandaa vema na kuzingatia Taratibu zilizopo i.e. Utapewa Appointment inayoonesha mahali na muda. Lakini cha muhimu zaidi ujiulize Je, Wasaidizi wake wameshindwa kukusikiliza? Yani Mtendaji Kata, DED, DC, Mkuu wa Mkoa, Katibu Mkuu na Waziri wanaohusika na Hoja yako wameshindwa kukusikiliza?(Kumbuka hao ndo wanamwakilisha Rais katika nafasi zao). Je, naye Mbunge wako ameshindwa? Ila kama unataka eti kuonana naye tu ili umsalimie, umpe na kaumbeya kidogo au upige naye picha ....dah! Hilo ni gumu kidogo japokuwa inawezekana.
Kama una kero nyeti au kitu so touching kwamba ni yeye tu "in person" inafaa akisikie kwa masikio yake, nenda kwa Mkuu wa Mkoa wako atakupa mwongozo au Ikulu Nyumbani kwake. Ila ONYO usiende na jambo ambalo limeruka ngazi/hatua za ufumbuzi kama nilivyobainisha hapo juu.
Umenena vyema afuate taratibu.
 
Kwahiyo hata kama kuna siri baina yako na mheshimiwa maana yake wote waliomo humo watasikia?

Huwezi ruhusiwa ukae nae tuu pale sebuleni eti upige nae umbea,labda Rais mwenyewe aseme/atoe ruhusa hiyo.na hili hadi iwe hivyo labda uwe mmoja wapo wa familia ya Rais au uwe na card maalum(president discarion) .naaomba niishie hapo tafadhali sitaki tena maswali niko bize stendi huku
 
Back
Top Bottom