Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu hana asilipunguza ushetani wako kidogo
Vita ya sisiminzi na tembo kutoka patakatifu huwezi shinda maana amezidiwa vyote akili, nguvu na umbounamaanisha nn??
tangu jana unangea vitu hueleweki kama unaona huwezi kumwelekezamtu naomba tubukae kwa kutulia shetani kasoro mkiaVita ya sisiminzi na tembo kutoka patakatifu huwezi shinda maana amezidiwa vyote akili, nguvu na umbo
Lakini huyo mdogo kapewa utawala shida yake nikuupuuza
Yaani akijibu tu DM yangu hata nisipoonana nae basi tafarijika.😂😂😂😂 au anzia insta au tweeter huko dm huwezi jua ikawa siku nzuri raisi akakujibu, can you imagine unachat na raisi pm aloo!!
kwa hio nitamuona au la nikishasema shida yangu receptionActually hakuna tatizo kumuona rais. Nenda Ikulu kesho asubuhi. You can go by walking if you like.
Ukifika pale reception utaulizwa una shida gani. Utasema unataka kumuona rais,and why.
Sasa yule atakuambia,"Sasa,hiyo shida yako,ulipaswa kwenda kwa Katibu Kata. " That's all. I ASSURE YOU. Hakuna atakayekuambia,"Kuja hapa ulipaswa kuwa na barua ya rufaa kutoka kwa RC.'
Hili ndio tatizo mnawalaumu walimu wanafelisha kumbe wanafunzi ni kama nyie hata wafundishe uchi hamwelewitangu jana unangea vitu hueleweki kama unaona huwezi kumwelekezamtu naomba tubukae kwa kutulia shetani kasoro mkia
Shukran sana.jaribu mkuu, kwenye kujaribu kuna mawili kufanikiwa au kutokufanikiwa lakini kivyovyote vile utakua umejaribu
Mfuate mchengerwaahahahaha kwa hio nitumie njia gani
Utachezea virungu.....nje ya geti pale ikulu magogoni nilipita Kwa mbali nikitokea ferry Kwa nje pale nilimwona askari mmoja very well equipped.....for sure sizan kama atakuruhusu umsogelee.....fika maeneo yaikulu vaa kistaarabu waambie walinzi shida yako.utapitishwa ngazi baada ya ngazi sawa?