Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka yeye ndio aiakufate wewe huko kigoma?so kama nipo kigoma had nimfate dar au dodoma??
Inawezekana isimfikie maana yeye hachani Bahasha kusoma barua. Hawa ni wafalme / malkia ,Mungu wadogo/ wakubwa. Tafuta Malaika, Tena Gabriel. Lema Ingawa siyo Chawa, anaweza maana Yuko determined kusaidia mtu! Anaweza kuwa na access naye hata Kwa simu.....just thinking aloud!hivi huo utaratibu rasmi ni upi kuandika barua ofisini kwake??
ninachokiona hapa kumuona raisi kwa kupitia formal ways ni ngumu sana kuliko kupitia mifumo isoo rasmiInawezekana isimfikie maana yeye hachani Bahasha kusoma barua. Hawa ni wafalme / malkia ,Mungu wadogo/ wakubwa. Tafuta Malaika, Tena Gabriel. Lema Ingawa siyo Chawa, anaweza maana Yuko determined kusaidia mtu! Anaweza kuwa na access naye hata Kwa simu.....just thinking aloud!
Ibrahim Juma CJ, uje huku Kuna shida kidogoKwakweli watu wengi wanatamani kumpata mkombozi wa kutatua matatizo mbalimbali Kwani Mahakama na vyombo vingi wameamua kujiunga na wadhulumaji.
Mke wa mtu huyu ujue, ukajenge Nini?Karibu tuyajenge hii ni jeiefu.
lets say sasa mimi from no where nimesikia Mama Samia anapita sehem flani ambayo nipo nikajiendea nikamropokea "mama nina shida ya kuongea na wewe anakwa ana" inawezekana?? sitabebwa mzobe mzobe kama nimeiba?? atanipokeaje??Wale wa njiani huwa wanapangwa nadhani na serikali za vijiji au la hasha huwa inatokea tu kama coincidence...
niambie Mimi nipeleke ujumbe wako.kwani unashida gani?kuna mtu ananambia hapa mtumie msg kwenye insta yake anaweza kukujibu jamani inawezekana kweli??
yap.haya niambie chap kabla mama hajatoka hapa nilipo.wewe ndie chawa??
lets say sasa mimi from no where nimesikia Mama Samia anapita sehem flani ambayo nipo nikajiendea nikamropokea "mama nina shida ya kuongea na wewe anakwa ana" inawezekana?? sitabebwa mzobe mzobe kama nimeiba?? atanipokeaje??
Kile ambacho sio hicho unachofikiria.Mke wa mtu huyu ujue, ukajenge Nini?