Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi.ndiomana tukawepo chawa wa kupeleka taarifa.😂😂😂😂😂 mwambie natafta namna ya kuonana naye face to face
ooh bango,hii pia nimeipendaHuwa hawaropoki, njia nimekuwa naiona kwa wengi ni kukaa mstari wa mbele au kubeba mabango yenye kumshawishi Rais alisome na kuamua upewe mic...
Kinyume cha hapo huwa ni kupangana kabla Rais hajapita...
unaona sasa?kamahuna tatizo unataka kuonana nae wanini?alhamdulillah am okay, sina tatizo
zote kila taalifa anawapa maelekezo watu husika.mna uhakika mnapeleka taarifa zote?? je ni taarifa zipi raisi huzitilia mkazo
wewe, umeona hapo juu kuna watu kibao waatamani ila hawajajua namna sasa mimi ndio nimeongea kwa niaba yao hope hii thread itakua maufaa kwa vizazi naviazi hata nikiwa sitakuepo kwenye ulimwengu huuunaona sasa?kamahuna tatizo unataka kuonana nae wanini?
haya njoo pm sasa..yaani
wewe, umeona hapo juu kuna watu kibao waatamani ila hawajajua namna sasa mimi ndio nimeongea kwa niaba yao hope hii thread itakua maufaa kwa vizazi naviazi hata nikiwa sitakuepo kwenye ulimwengu huu
inawezekana.lakini Hadi shida yako utueleze sisi chawa Kwanza ndio atuambie tukuruhusu au tukupotezee.je nikitaka kuonana mwenyewe haiwezekani??
yes maramoja tuu.kunakitu nakuelekeza halafu utakuja kuendelea na mada yako.chap kidogo..pm tena🙈🙈
yani Hadi unieleze nikamuambie ili ajue mtu anaekuja anata kuongea nini.so wee ukifika huongei Bali yeye ndio anakuuliza maswali kupitia maelezo nilio mpa Mimi.yaani mpaka nikueleze wewe ndipo umweleze yeye, je nikitaka kuonana naye mwenyewe wewe ukiwa kama kiunganishi haiwezekani??
kwa manufaa ya wengine hope kunamwengine huko angetaman kujua, je nitajuaje wewe upo karibu na raisi??yani Hadi unieleze nikamuambie ili ajue mtu anaekuja anata kuongea nini.so wee ukifika huongei Bali yeye ndio anakuuliza maswali kupitia maelezo nilio mpa Mimi.
fika maeneo yaikulu vaa kistaarabu waambie walinzi shida yako.utapitishwa ngazi baada ya ngazi sawa?kwa manufaa ya wengine hope kunamwengine huko angetaman kujua, je nitajuaje wewe upo karibu na raisi??