Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Hii inafanya kazi kwa Watoto wa kiume umri kuanzia miaka 9 na kuendeleea...

Chukua simu yako yenye face recognition, iwe Apple, Xiaomi n.k

Mchukue mtoto wako set face yake kwenye simu yako. Lock [emoji357] simu then wakati wakufungua tumia face yako wewe isipofungua jua Asilimia za huyo mtoto kuwa wakwako ni ndogo sana...

Au kama umeseti face yako wewe, wakati unataka kutoa screen lock yako mchukue mtoto weka simu mbele yake, isiporecognise dah uwezekano wakuwa umepigwa ni mkubwa.

Ikikubali jua 99% dogo ni damu yako.

Tahadhari: Zoezi hili ukilifanya kizembe linaweza kuleta mgogoro katika familia.
Kuwa Makini.

Uwe na muda mzuri.
Uran

Wale Waliocomment Kwamba Iphone haifunguki...

Tizama hapa

 
Usiombee bange iwe mbichi
Bange
IMG-20220130-WA0034.jpg
 
Hii inafanya kazi kwa Watoto wa kiume umri kuanzia miaka 9 na kuendeleea...

Chukua simu yako yenye face recognition, iwe Apple, Xiaomi n.k

Mchukue mtoto wako set face yake kwenye simu yako. Lock [emoji357] simu then wakati wakufungua tumia face yako wewe isipofungua jua Asilimia za huyo mtoto kuwa wakwako ni ndogo sana...

Au kama umeseti face yako wewe, wakati unataka kutoa screen lock yako mchukue mtoto weka simu mbele yake, isiporecognise dah uwezekano wakuwa umepigwa ni mkubwa.

Ikikubali jua 99% dogo ni damu yako.

Tahadhari: Zoezi hili ukilifanya kizembe linaweza kuleta mgogoro katika familia.
Kuwa Makini.

Uwe na muda mzuri.
Uran
mkuu leo umetumia mzigo wa chuga au ule wa tarime aiseee maana sio kwa ubichi huo wa bange
 
mkuu leo umetumia mzigo wa chuga au ule wa tarime aiseee maana sio kwa ubichi huo wa bange
Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuelewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
 
Back
Top Bottom