cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kuna mengine unaona tu.Ulikuwa wapi weye?Nikakosa wa kumtania.
Nipo kujaa tele.. wewe endelea zako kule kwa Dadiii... 🤣.. usingizi umekuisha kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengine unaona tu.Ulikuwa wapi weye?Nikakosa wa kumtania.
Nataka nikupime vinasaba kabla sijarudi kule.Kaa uzuri!😂😂😂Nipo kujaa tele.. wewe endelea zako kule kwa Dadiii... 🤣.. usingizi umekuisha kabisa...
Aiseeeeh ushawaletea shida nyingine watanzania[emoji846][emoji846][emoji846]Hii inafanya kazi kwa Watoto wa kiume umri kuanzia miaka 9 na kuendeleea...
Chukua simu yako yenye face recognition, iwe Apple, Xiaomi n.k
Mchukue mtoto wako set face yake kwenye simu yako. Lock [emoji357] simu then wakati wakufungua tumia face yako wewe isipofungua jua Asilimia za huyo mtoto kuwa wakwako ni ndogo sana...
Au kama umeseti face yako wewe, wakati unataka kutoa screen lock yako mchukue mtoto weka simu mbele yake, isiporecognise dah uwezekano wakuwa umepigwa ni mkubwa.
Ikikubali jua 99% dogo ni damu yako.
Tahadhari: Zoezi hili ukilifanya kizembe linaweza kuleta mgogoro katika familia.
Kuwa Makini.
Uwe na muda mzuri.
Uran
Nataka nikupime vinasaba kabla sijarudi kule.Kaa uzuri!😂😂😂
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]imefunga nayoSasa,weka ya ng'ombe mwenyewe, ambaye ukimuangalia kwenye kioo utamuona.
Woah! Kwako imefanya kazi hadi kwa mtoto wa kike.Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Tena sana! Ada hazitalipwa hapaAiseeeeh ushawaletea shida nyingine watanzania[emoji846][emoji846][emoji846]
Mkuu kuna wengine walibadilishiwa Bistol huko sasa si utaharibu mkuuBefore you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Ku............Meniiinaaa.Hii inafanya kazi kwa Watoto wa kiume umri kuanzia miaka 9 na kuendeleea...
Chukua simu yako yenye face recognition, iwe Apple, Xiaomi n.k
Mchukue mtoto wako set face yake kwenye simu yako. Lock [emoji357] simu then wakati wakufungua tumia face yako wewe isipofungua jua Asilimia za huyo mtoto kuwa wakwako ni ndogo sana...
Au kama umeseti face yako wewe, wakati unataka kutoa screen lock yako mchukue mtoto weka simu mbele yake, isiporecognise dah uwezekano wakuwa umepigwa ni mkubwa.
Ikikubali jua 99% dogo ni damu yako.
Tahadhari: Zoezi hili ukilifanya kizembe linaweza kuleta mgogoro katika familia.
Kuwa Makini.
Uwe na muda mzuri.
Uran