Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Baba kitanda hakizai haramu !! Tunza hao ni watoto wako. Baba bora ni yule anayelea. Masuala ya kupigwa au kutopigwa tutayakuta mbinguni.
Naunga mkono hoja.
 
Ntarudia tena wakishafikisha miaka 9, maana watoto nahudumia wakiwa kwa shangazi yao huko

Mama yao anapambana maisha yake nilishaachana nae miaka miwili nyuma
Ok...ngoja na mimi nijaribu kwa mtoto wa jirani hapa
 
Jamaa ana chochea moto kwa miti ya bangi
😆😆 umenikumbusha kuna mjeda mmoja aliletwa sehemu fulani hivi akiwa hoi anatetemeka tu mwili mzima yaani kuongea kwenyewe shida,, sasa maelezo yake ndo yalikuwa kituko, eti aliona mtandaoni kuwa juisi ya bangi ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume, kwahiyo alichemsha bangi halafu akagida glass nzima ndo baada ya muda akawa hajielewielewi....
 
Back
Top Bottom