Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usijaribu kama waifu alibadilishiwa lebawadi je???Ntaenda kujaribu kwa watoto wawili nilionao japokuwa mmoja ana miaka mitano mwingine ana miaka miwili
Usiogope mwanamke nilishaachana nae miaka miwili iliyopita watoto wapo kwa shangazi yaoMkuu usijaribu kama waifu alibadilishiwa lebawadi je???
Umeambiwa inafanya kazi kuanzia miaka 9 au ndio kutafutiana sababuNtaenda kujaribu kwa watoto wawili nilionao japokuwa mmoja ana miaka mitano mwingine ana miaka miwili
Nimesema ntaenda "KUJARIBU"Umeambiwa inafanya kazi kuanzia miaka 9 au ndio kutafutiana sababu
Obviously haitaleta matokeo chanya, utafanyaje ukishajaribu?Nimesema ntaenda "KUJARIBU"
Ntarudia tena wakishafikisha miaka 9, maana watoto nahudumia wakiwa kwa shangazi yao hukoObviously haitaleta matokeo chanya, utafanyaje ukishajaribu?
Ok...ngoja na mimi nijaribu kwa mtoto wa jirani hapaNtarudia tena wakishafikisha miaka 9, maana watoto nahudumia wakiwa kwa shangazi yao huko
Mama yao anapambana maisha yake nilishaachana nae miaka miwili nyuma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂utakuwa na vinasaba vya ng'ombemm nmejarb kuweka ya ndama ika unlock[emoji22]
😆😆 umenikumbusha kuna mjeda mmoja aliletwa sehemu fulani hivi akiwa hoi anatetemeka tu mwili mzima yaani kuongea kwenyewe shida,, sasa maelezo yake ndo yalikuwa kituko, eti aliona mtandaoni kuwa juisi ya bangi ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume, kwahiyo alichemsha bangi halafu akagida glass nzima ndo baada ya muda akawa hajielewielewi....Jamaa ana chochea moto kwa miti ya bangi
Why jamaa ametoa hadhari, (italeta mgogoro) so don`t try this bu it` has your own risk.Mkuu kuna wengine walibadilishiwa Bistol huko sasa si utaharibu mkuu
Unamfundisha mtu kitu halafu unamwambia don't try ....umemfundisha ya nini sasaWhy jamaa ametoa hadhari, (italeta mgogoro) so don`t try this bu it` has your own risk.