Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Unamfundisha mtu kitu halafu unamwambia don't try ....umemfundisha ya nini sasa
Hili neno `Don`t try this at home ...` lilipata nguvu kutokana na wale jamaa wacheza mieleka kina John Cina na wenzake, but pamoja na kutoa hadhari hatujawahi sikiwa maswahiba ya watu kutumia mbinu z mieleka kuumizana So,

Mkuu hii mbinu ya vinasaba unaweza kuitumia endapo unahisi wewe mwenyewe ni muaminifu kwa mwenza wako, but ukihisi ni upepo don`t try this but at your own risk, so kufundishwa siyo sababu ya kufanya uasi au jambo la hatari.
 
lazeni mbegu za 'mnyonyo' majibu unaya pata kwa muda mchache kabisaa………...
 
Hili neno `Don`t try this at home ...` lilipata nguvu kutokana na wale jamaa wacheza mieleka kina John Cina na wenzake, but pamoja na kutoa hadhari hatujawahi sikiwa maswahiba ya watu kutumia mbinu z mieleka kuumizana So,

Mkuu hii mbinu ya vinasaba unaweza kuitumia endapo unahisi wewe mwenyewe ni muaminifu kwa mwenza wako, but ukihisi ni upepo don`t try this but at your own risk, so kufundishwa siyo sababu ya kufanya uasi au jambo la hatari.
Kabisa, naona bibie Khantwe anakuwa muoga tu bila sababu.
 
Unaacha kujaribu kwa mwanao unajaribu kwa jirani unataka kuvunja ndoa ya watu eeh?
Najaribu na mtoto wa jirani kisha nitarudia na mwanangu, kuna tofauti na kile unachoenda kufanya wewe?
 
Nimesema ntaenda "KUJARIBU"

Kwanza mama yao alishaolewa huko afu kaachika kwa hiyo hata majibu kama sio haina shida
Ikikubali tu umemrahisishia wife kuifungua simu yako
 
Huijui Apple ID wewe hata hapo kwa Ice Cube na mwanae inakataa. Inagoma kwa mapacha na Wachina wanaofanana sembuse watoto wako. Algorithm ya facial recognition inapima vitu vingi hata umbali wa space ya macho, mtoto ana kichwa kidogo kitakataa.

Ila masimu mengine nishaweka ya Infinix nikiwa shule ikafunguliwa na jamaa hata sio ndugu yangu.
FB_IMG_1643437832936.jpg
 
Huijui Apple ID wewe hata hapo kwa Ice Cube na mwanae inakataa. Inagoma kwa mapacha na Wachina wanaofanana sembuse watoto wako. Algorithm ya facial recognition inapima vitu vingi hata umbali wa space ya macho, mtoto ana kichwa kidogo kitakataa.

Ila masimu mengine nishaweka ya Infinix nikiwa shule ikafunguliwa na jamaa hata sio ndugu yangu. View attachment 2102621
Wamejaribu?
 
Hii inafanya kazi kwa Watoto wa kiume umri kuanzia miaka 9 na kuendeleea...

Chukua simu yako yenye face recognition, iwe Apple, Xiaomi n.k

Mchukue mtoto wako set face yake kwenye simu yako. Lock [emoji357] simu then wakati wakufungua tumia face yako wewe isipofungua jua Asilimia za huyo mtoto kuwa wakwako ni ndogo sana...

Au kama umeseti face yako wewe, wakati unataka kutoa screen lock yako mchukue mtoto weka simu mbele yake, isiporecognise dah uwezekano wakuwa umepigwa ni mkubwa.

Ikikubali jua 99% dogo ni damu yako.

Tahadhari: Zoezi hili ukilifanya kizembe linaweza kuleta mgogoro katika familia.
Kuwa Makini.

Uwe na muda mzuri.
Uran
Kweli uongo mwingine bwana, kuna simu hata mapacha hazifunguki ije kuwa mtoto 🤣🤣🤣
Aisee facial ID hasa kwa simu kama iphone ni zaidi ya kufananankwa sura.
 
Mbona wife kaweka bintiye imegoma.... Kweli hii ramli chonganishi imejielekeza kwa mtoto wa kiume ..hahahaha..
 
Kweli uongo mwingine bwana, kuna simu hata mapacha hazifunguki ije kuwa mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee facial ID hasa kwa simu kama iphone ni zaidi ya kufananankwa sura.
Huyo jamaa anatumia simu za rimoti kama Itel. Apple ID ina error probability ya 0.000001 kwenye kufananisha sura.

Wakati mimi namuona Ridhiwani hafanani na Jakaya, muda huo Apple ID ishamkataa muda mrefu sana.
 
Huyo jamaa anatumia simu za rimoti kama Itel. Apple ID ina error probability ya 0.000001 kwenye kufananisha sura.

Wakati mimi namuona Ridhiwani hafanani na Jakaya, muda huo Apple ID ishamkataa muda mrefu sana.
Try and come to comment.
 
Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuelewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Jicho lipi mkuu?.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom