Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

Aiseeeeh ushawaletea shida nyingine watanzania[emoji846][emoji846][emoji846]
 
Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Woah! Kwako imefanya kazi hadi kwa mtoto wa kike.
Hii nzuri, nilijaribu kwa wakiume tu...
 
Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Mkuu kuna wengine walibadilishiwa Bistol huko sasa si utaharibu mkuu
 
Ku............Meniiinaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…