Namna ya Kupima Vinasaba (DNA) Kirahisi

[emoji23][emoji23]hapo kwenye tahadhari nimecheka sn
 
Before you ignore this, mkuu inafanya kazi hii na siyo kwa mtoto wa kiume tu course binti yangu alikuwa ananiuliza why akiface simu inafunguka, sikuwa nimemuelewa mpaka pale nilipo jaribu kuscan jicho ndipo nilipogundua vinasaba vinashabihiana.
Duh!
Bira we umetuthibitishia,kuna watu humu wanapenda kunisa tu kila kitu
Au wanaogopa [emoji16]
 
Lakini mara nyingi blood group hutofautiana kati ya pacha mmoja na mwingine hata mafanane DNA
 
Lakini mara nyingi blood group hutofautiana kati ya pacha mmoja na mwingine hata mfanane DNA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…