Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Show me you ain't playin..Come on...
Just do it.
Prove you're serious tuondoe mashaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Show me you ain't playin..Come on...
Just do it.
Unachekesha sana na hii COMMENT yakoHuo utakuwa umejitakia tu mwenyewe; kwa mwanaume ni rahisi sana kupata mwenza wa kuishi naye na kumpa kampani kuliko mwanamke.
Kwa hiyo huo upweke wako ni wakujitakia.
I gave you a task but you didn’t fulfill it, I dunno what’s wrong.Show me you ain't playin..
Prove you're serious tuondoe mashaka.
Huo ndio ukweli, mwanaume ndio anayeamua amuoe nani, na si mwanamke anayeamua aolewe na naniUnachekesha sana na hii COMMENT yako
Nafahamu..I gave you a task but you didn’t fulfill it, I dunno what’s wrong.
Hii ya kwangu ni simple na nilikwambia juzi tu.Nafahamu..
Nilikupatia pia lakini kwa ukimya sikukuambia na there's one task you've nailed sikutegemea and you deserve a reward for that.
Hapana huwezi kuifahamu hadi nitakapokuambia.Hii ya kwangu ni simple na nilikwambia juzi tu.
Can’t wait for that reward.
Sana Mkuu,na unanitafuna mimi miaka yote.Upweke mbaya sana
Sipokei pole mpaka nitakapoambiwa ni mtihani gani nilipita bila kujua😂😂😂Hapana huwezi kuifahamu hadi nitakapokuambia.
Nimekuwa msiri..pole sana
Haya maneno yatafutie siku,uniambie huku unanitizama🤣Sipokei pole mpaka nitakapoambiwa ni mtihani gani nilipita bila kujua😂😂😂
Ni pm
Huu mwaka umegonga miaka mingapi kwani?Binadamu yeyote anahitaji kuwa na furaha, pamoja na kuzungukwa na watu mbali mbali ambao watamfanya achangamke na kuondoa au kupunguza tatizo la msongo wa mawazo.
Hii imekuwa ikitokea kwa baadhi ya familia, baada ya kukuza watoto wao na kwenda kujitegemea, na hatimaye kuwaacha wazazi wao wakiwa wapweke huku wakizungukwa na majengo au vyumba visivyokuwa na watu.
Njia ninazoweza kuwashauri jamii ya namna hii, kugawa kiwanja au jengo katika sehemu tatu; sehemu ya kwanza inaweza kutumiwa kama karakana ya kutengeneza vitu fulani n.k.
Sehemu ya pili itakuwa makazi ya familia, na sehemu ya tatu unaweza kuweka biashara yoyote iwe ni ya vinywaji n.k
Hii itasaidia kuwa na mzunguko mkubwa wa watu, na itapunguza uwezo wa mtu kukaa pekee yake pamoja na kuwepo kwa msongo wa mawazo.
Karibuni kwa hoja
Pole sanaSana Mkuu,na unanitafuna mimi miaka yote.
nilikua natafuta comment yangu asanteYeah safi.
Wengine tuko na upweke hata kabla hatujazeeka.
Nakaribia kupoteza meno yote mjukuu wanguHuu mwaka umegonga miaka mingapi kwani?
😂😂😂😂Hongera sanaNakaribia kupoteza meno yote mjukuu wangu
Vipi huko upweke haukusumbui?😂😂😂😂Hongera sana